Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,839
- 103,694
No ile Lagos Metro blue commuter train wanadai ati treni kote! Ni wapuuzi kama Kundurenda! Wanadai zinakimbia 300 km/h! 🤣🤣Nigeria has no electric trains, plus why hawa Waaafrica treni yetu wanaiita SGR, ipi kati ya hizo sio SGR? Kwanini inakuwa ngumu kuadmit kuwa ni high speed train?
High speed train inakua considered kama inauwezo wa kwenda mwendo kuanzia 250km/hr kwenye hiyo reli iliyojengwa..Nigeria has no electric trains, plus why hawa Waaafrica treni yetu wanaiita SGR, ipi kati ya hizo sio SGR? Kwanini inakuwa ngumu kuadmit kuwa ni high speed train?
wanasema treni ikifika Mukatupora, inamea mabawa na kupaa hadi Isaka na kuendelea na safari.Ila huu mfuatano wa ujenzi wa vipande vya SGR sijui ni akili ya wapi.
Mwanza-Isaka (63%) ikikamilika itakaa tu bila matumizi kusubiri hivyo vipande viwili vya Makutupora-Tabora (15%) na Tabora-Isaka (7%)
Unasafirisha nini au nani Mza-Isaka?
🤣🤣🤣 yaani leo nilikua sijacheka tokea asubuhi...Nigeria has no electric trains, plus why hawa Waaafrica treni yetu wanaiita SGR, ipi kati ya hizo sio SGR? Kwanini inakuwa ngumu kuadmit kuwa ni high speed train?
Ni kuanzia 200 na slowest treni yetu inakwenda kwa 208 na EMU inakwenda kwa 250.High speed train inakua considered kama inauwezo wa kwenda mwendo kuanzia 250km/hr kwenye hiyo reli iliyojengwa..
Ni kuanzia 250 ndio high speed.. Na reli yetu imekua designed kwa 160 tu..Ni kuanzia 200 na slowest treni yetu inakwenda kwa 208 na EMU inakwenda kwa 250.
Huna akili!Ni kuanzia 250 ndio high speed.. Na reli yetu imekua designed kwa 160 tu..
Kenge mmoja tu wewe..Huna akili!