Lia polepole... ukilia kwa sauti watu watakucheka.Kampuni ya ngapi hiyo? Kuanzia Betchel?
One thing I genuinely admire about Kenyans is your boldness to disseminate lies! By all these pictures one might mistaken Kenya for China. Kumbe asijue kuwa hiki ni kabehewa kamoja tu kwenye mchanganyiko wa mavitu ya hovyo yanayo vutwa na diesel engine. 😂 😂 😂
Badala ya kuweka miradi, unaweka 3D images.Lia polepole... ukilia kwa sauti watu watakucheka.
View attachment 3317646
Mkuu, huo ni mfano tu wa mambo yatakavyokuwa. Subiria mradi kuanza kisha utapata majibu. Subiria kuona more than 30 interchanges namna hii 👇👇Badala ya kuweka miradi, unaweka 3D images.
Kenya haina pesa ya kujenga hiyo kitu.
Unless you give it to Chinese again, for 60 years mpite kwa kulipia.
Mlishapata mkopo wa kupeleka Diesel SGR to Malaba😂😂😂
View attachment 3318287
pole kama nimekukwaza 🤣One thing I genuinely admire about Kenyans is your boldness to disseminate lies! By all these pictures one might mistaken Kenya for China. Kumbe asijue kuwa hiki ni kabehewa kamoja tu kwenye mchanganyiko wa mavitu ya hovyo yanayo vutwa na diesel engine. 😂 😂 😂