Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Hapo ni wapi?

Mbona hakuna power installations?
ww unaona ni wapi?
IMG_20240623_150819-1.jpg
 
BRT ina miaka 10 kwenye operations.

Basi zimechoka, zimebaki chache.

Ila kuna BUS, CNG Powered 200 ziko njiani.

Kenya hata kujenga BRT mmeshindwa mko busy na uchafu wa Nganya
miaka 10 na abiria wako wa kutosha,,, kwanini ijifie tu yenyewe au hao abiria hupanda bure? hakuna hela ya marekebisho na ununuzi wa basi mpya?
Kenya hakuna shida hio ya public transport ndio maana hatutilii maanani BRT.
4o85xs1GitOcLcro.jpeg
 
miaka 10 na abiria wako wa kutosha,,, kwanini ijifie tu yenyewe au hao abiria hupanda bure? hakuna hela ya marekebisho na ununuzi wa basi mpya?
Kenya hakuna shida hio ya public transport ndio maana hatutilii maanani BRT.
View attachment 3332021
Kuna shida imetokea, ndio maana kwasasa itaendeshwa kwa PPP...

Majiji yote ya KISASA duniani kote lazima yawe na aidha:

  • BRT
  • Trams au
  • Trains

Ninyi mmefeli na Nganya chaos mnaiofanya jiji la kisasa, ovyoo
 
BRT ina miaka 10 kwenye operations.

Basi zimechoka, zimebaki chache.

Ila kuna BUS, CNG Powered 200 ziko njiani.

Kenya hata kujenga BRT mmeshindwa mko busy na uchafu wa Nganya
Sema Kunguni Transmitter , Yaani mfano mdogo, Kunguni kutoka kwa akina lee hadi kwa akina Edward Wanjala 😂😂😂😂😂 bila nauli !
 
Kuna shida imetokea, ndio maana kwasasa itaendeshwa kwa PPP...

Majiji yote ya KISASA duniani kote lazima yawe na aidha:

  • BRT
  • Trams au
  • Trains

Ninyi mmefeli na Nganya chaos mnaiofanya jiji la kisasa, ovyoo
hujielewi...
 
Walileta hilo behewa kwa ajili ya kujifariji tu, wana donda flani ambalo linauma muda wote na donda lenyewe liko rohoni aisee 😩 hapo bado treni ya ghorofa na behewa za mizigo
😂😂😂 chizi ww.
 
Back
Top Bottom