Umenikumbusha kina Charles Lucky Luciano, moja ya waanzilishi wa shughuli za kimafia nchini marekani, Gambino, Galante na wengine kina John Gotti, Raph Natale nk.
Hahahah mwenyewe nina ombi langu kuu kuhusu Fidel Castro alivyoweza kupangua assassinations mission za CIA.
Hili pia linaingia ktk list,atalifanyia kazi mkuu...tusubiri
Hahahah mwenyewe nina ombi langu kuu kuhusu Fidel Castro alivyoweza kupangua assassinations mission za CIA.
Hili pia linaingia ktk list,atalifanyia kazi mkuu...tusubiri