Coronapocalypse

Coronapocalypse

How you do, bit.ch ass nigga Nyani?

Gay asa nigga Njabu.

Don’t be sucking dyck lest you get corona 😄.

I’d hate to see your mushy gay ass die.

Dog-walking your gay ass is my favorite pastime of them all.

If you decide to suck your boyfriend’s man meat make sure you rub it with some sanitizer.
 
Gumzo la dunia hivi sasa ni kirusi cha Corona.

Kirusi hiki kimeleta kizaizai na sokomoko kila pembe ya dunia.

Nchini Marekani kuna sintofahamu kubwa.

Hakuna ajuaye mwisho wa huyu kirusi.

Hali hiyo imepelekea kutokea kitu kinachoitwa ‘panic buying’.

Sasa hivi ukienda kwenye maduka-masoko [supermarket] mengi kuna baadhi ya bidhaa kuzipta ni mbinde.

Bidhaa hizo ni kama karatasi za chooni, taulo za karatasi, jeli za kusafishia mikono, na kadhalika.

Rafu za maduka-masoko mengi zipo tupu. Hiyo ni kwa sababu watu wengi wanazinunua hizo bidhaa kwa wingi kuliko ilivyo kawaida. Jambo linalopelekea kuwepo na uhaba wa hizo bidhaa kwa sasa.

Hebu ona hizo rafu hapo chini. Ni kutoka duka-soko la Publix.

View attachment 1388155View attachment 1388157View attachment 1388158View attachment 1388159

Sielewi kwa nini watu wanakimbilia sana kuzinunua hizo bidhaa na kuzihodhi majumbani mwao.

Kwangu jambo lenye mantiki zaidi na bora ni kujiwekea akiba ya pesa kuliko kutumia pesa na kununua vitu ambavyo kama itatokea umeugua na hicho kirusi, havitakusaidia kupata nafuu.

Badala ya kununua dawa, watu wananua makaratasi ya chooni!

Halafu Wamarekani wana tabia ya ku-panic sana.

Corona siyo kiama. Lakini jinsi watu wanavyofanya mambo hivi sasa, utadhani kiama ndo kimefika.

Sielewi. Na wala siogopi.

I ain’t never scared
Akiba ya pesa? Kuwa serious mkuu...

Hivi unajua lockdown inavokuwa.

Ikipigwa lockdown hapa. Hizo pesa zitakuwa ni takataka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Corona ilishaingia Bongo tokea mwaka jana. Mimi niliupata huu ugonjwa Desemba mwaka jana nikapona sema kulikuwa hakuna jina au publicity lakini symptoms zote za ugonjwa zilikuwa positive
Nakubaliana na wewe! Na wimbi lilikuwa kubwa sana hadi serikali ikatoa waraka wa kusema ni "common flue"
Nilipata pia, homa yake ilikuwa kali sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
naona wazungu wana exaggerate mambo sana,

corona asilimia kubwa ya wagonjwa wanapona na unaweza kupata iyo corona kimya kimya alafu usijue life likaendelea, vifo ni vichache kuliko wanao recover.. kwa facts hizi sioni tishio kubwa la huyu kirusi (corona)

sielewi uko ulaya wanadatika na nini haswa kwa hili gonjwa
Ndio wanapona... Lakini umefikiria kuhusu kasi yake ya usambaaji. Hivi jamii nzima ikiumwa nani atamsaidia mwenzie, au umeshawaza kuhusu idadi ya wagonjwa na wataalamu wa afya kama itakua na speed hii hii.. Je kuna madawa ya kutosha watu wote, na watu wote wana access na hizo dawa?

Chukulieni poa tuu kisa hauui instantly ila mkiugua wote, kwa wakati mmoja ndio mtajua kwa nini wazungu wanapanick.
 
Ndio wanapona... Lakini umefikiria kuhusu kasi yake ya usambaaji. Hivi jamii nzima ikiumwa nani atamsaidia mwenzie, au umeshawaza kuhusu idadi ya wagonjwa na wataalamu wa afya kama itakua na speed hii hii.. Je kuna madawa ya kutosha watu wote, na watu wote wana access na hizo dawa?

Chukulieni poa tuu kisa hauui instantly ila mkiugua wote, kwa wakati mmoja ndio mtajua kwa nini wazungu wanapanick.
haha mkuu usipanic hivyo kama wadhungu! ni vi flue tu vya kawaida

kwanza ushanunua toilet papers zako zakutosha?
 
Naona watu wamezid kuogopa Covid-19 kuliko malaria na kipindupindu!


Gumzo la dunia hivi sasa ni kirusi cha Corona.

Kirusi hiki kimeleta kizaizai na sokomoko kila pembe ya dunia.

Nchini Marekani kuna sintofahamu kubwa.

Hakuna ajuaye mwisho wa huyu kirusi.

Hali hiyo imepelekea kutokea kitu kinachoitwa ‘panic buying’.

Sasa hivi ukienda kwenye maduka-masoko [supermarket] mengi kuna baadhi ya bidhaa kuzipta ni mbinde.

Bidhaa hizo ni kama karatasi za chooni, taulo za karatasi, jeli za kusafishia mikono, na kadhalika.

Rafu za maduka-masoko mengi zipo tupu. Hiyo ni kwa sababu watu wengi wanazinunua hizo bidhaa kwa wingi kuliko ilivyo kawaida. Jambo linalopelekea kuwepo na uhaba wa hizo bidhaa kwa sasa.

Hebu ona hizo rafu hapo chini. Ni kutoka duka-soko la Publix.

View attachment 1388155View attachment 1388157View attachment 1388158View attachment 1388159

Sielewi kwa nini watu wanakimbilia sana kuzinunua hizo bidhaa na kuzihodhi majumbani mwao.

Kwangu jambo lenye mantiki zaidi na bora ni kujiwekea akiba ya pesa kuliko kutumia pesa na kununua vitu ambavyo kama itatokea umeugua na hicho kirusi, havitakusaidia kupata nafuu.

Badala ya kununua dawa, watu wananua makaratasi ya chooni!

Halafu Wamarekani wana tabia ya ku-panic sana.

Corona siyo kiama. Lakini jinsi watu wanavyofanya mambo hivi sasa, utadhani kiama ndo kimefika.

Sielewi. Na wala siogopi.

I ain’t never scared 💪🏿
 
Gumzo la dunia hivi sasa ni kirusi cha Corona.

Kirusi hiki kimeleta kizaizai na sokomoko kila pembe ya dunia.

Nchini Marekani kuna sintofahamu kubwa.

Hakuna ajuaye mwisho wa huyu kirusi.

Hali hiyo imepelekea kutokea kitu kinachoitwa ‘panic buying’.

Sasa hivi ukienda kwenye maduka-masoko [supermarket] mengi kuna baadhi ya bidhaa kuzipta ni mbinde.

Bidhaa hizo ni kama karatasi za chooni, taulo za karatasi, jeli za kusafishia mikono, na kadhalika.

Rafu za maduka-masoko mengi zipo tupu. Hiyo ni kwa sababu watu wengi wanazinunua hizo bidhaa kwa wingi kuliko ilivyo kawaida. Jambo linalopelekea kuwepo na uhaba wa hizo bidhaa kwa sasa.

Hebu ona hizo rafu hapo chini. Ni kutoka duka-soko la Publix.

View attachment 1388155View attachment 1388157View attachment 1388158View attachment 1388159

Sielewi kwa nini watu wanakimbilia sana kuzinunua hizo bidhaa na kuzihodhi majumbani mwao.

Kwangu jambo lenye mantiki zaidi na bora ni kujiwekea akiba ya pesa kuliko kutumia pesa na kununua vitu ambavyo kama itatokea umeugua na hicho kirusi, havitakusaidia kupata nafuu.

Badala ya kununua dawa, watu wananua makaratasi ya chooni!

Halafu Wamarekani wana tabia ya ku-panic sana.

Corona siyo kiama. Lakini jinsi watu wanavyofanya mambo hivi sasa, utadhani kiama ndo kimefika.

Sielewi. Na wala siogopi.

I ain’t never scared

Corona ni ugonjwa wa kawaida tu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni mpaka Europe
Adjustments.jpg



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Back
Top Bottom