Corona: Wizara ya Elimu yaukana waraka wa Prof. Elifas Tozo Bisanda Makamu wa Chuo Kikuu Huria (OUT)

naunga nkono sio tu kusimsimishwa afukuzwe uamuzi aliochukua ni mzito ulitakiwa uhusishe bodi ya chuo na wamiliki wa chuo ambao ni serikali

kuamua tu kufunga chuo bila wamiliki kushirikishwa sio sahihi kile chuo sio mali yake binafsi kina wenyewe
Kwa hiyo Wizara ndio Bodi ya Chuo?
 
Shut up MATAGA!! Watu wanapukutika kama nzige halafu wewe unaleta lugha za hovyo kama hizi? Huyu prof ni wa kuungwa mkono na wote wenye akili wanaoitakia mema Tanzania na sote tunapaswa kumuunga mkono na kumtetea! Halafu kesho baba yenu utasikia kamtumbua kwa sababu za ujinga. Huyu ni Prof wa ukweli na anaongelea sayansi sahihi ya kujikinga na Korona.

Besides, wanafunzi wa OUT husoma wakiwa nje, wengi huja kwa consultation na kuingia library, ndiyo maana ya Open University, hivyo going virtual is the way! Lakini pia wanafunzi wengi wanaosema nje kwa mfano China wamerudi nyumbani pale Korona ilipo pamba moto, lakini kila siku wanasoma virtually, masomo yako interactive live mwanafunzi anaweza kuwasiliana na mwalimu, mitihani kila leo, na ukifeli lazima kurudia! Sasa watanzani mmelishwa matango pori na huyo baba yenu, eti kaomba Korona ikakimbia! Shame!! Yeye kakimbilia kwao kujificha na kujifukiza, nyie mmebaki humu mnapinga matarumbeta ya ujinga! Mnaudhi sana mjue! Where is you brain??
Profesa Bisanda ameitendea haki taaluma yake. Amefanya Jambo jema mno!


Tumuunge mkono badala ya kumbeza kama wengine wanavyojaribu kufanya hapa kwa masilahi yao binafsi badala ya kuangalia masilahi ya umma.
 
Unamkumbuka yule mbunge wa Kigamboni Ndungulile?

Sana sana Profesa akiondolewa hapo atapelekwa sehemu nyingine, pengine yenye hadhi zaidi ya huo umakamu.

Usione hivi, hata dikteta anaujua ukweli, pamoja na kujifanya yeye ndiye mwenye ukweli pekee.

Muda si mrefu, kama hali hii iliyopo itaendelea kuwa mbaya kama inavyoelekea, utaanza kusikia sauti tofauti kabisa na zile ulizosikia huko nyuma.
Vuta subira kidogo utaona vitendo na kusikia sauti hizo tofauti sana na hizi tulizozoea.
Tatizo tunaisha mkuu
 
Waraka wa kwanza ni TEC,
Waraka wa pili ni wa wasomi UDSM, OUT na SUA
Waraka wa 3?
 
Corona ipo Akili za kuambiwa changanya na zako mm ukikaa mbele yangu alafu uniambie kolona hakuna nakupasua na panga au jiwe sitaki upumbavu. KOLONA ipoooooooooooo na inaua kwa kasi sana.
 
Si wamesema Mungu yupo upande wetu na amehamishia makao yake makuu hapa ili kuzuia na kupambana na korona?
 
I was not referring to the president

Wakuu wa idara na wa wizara need to manage communication protocols

Tangazo la prof ni zuri Sana na hakuna Chembur ya negativity... Ila la aliyemjibu linaivunjavunja image ya wizara in terms of protocols kwani tusingeshtuka Kwamba Wana ombwe
Ombwe limeanzia juu ofisi kuu mkuu. Unadhani wao hawajui hali halisi ilivyo?
 
Proffressor gani uchwara huyo asiyejua chain of command? kuamua kufunga chuo haliko ndani ya mandate yake sio mali yake binafsi hiyo
Asante prof.kuokoa watoto wetu.Eti wameia phenemonia.Wenye akili kazi kwetu.tuelemisheni familia zetu.Mvalishe mtoto wako ba.......a anapokwenda shule.Akirudi,kabla hajaingia ndani anawe mikono.
 
Corona ipo Akili za kuambiwa changanya na zako mm ukikaa mbele yangu alafu uniambie kolona hakuna nakupasua na panga au jiwe sitaki upumbavu. KOLONA ipoooooooooooo na inaua kwa kasi sana.
Sio corona.Inaitwa nimonia au kushindwa kupumua.Usiite Corona kwa sauti kubwa.Iite nimonia ili tupone.
 
Back
Top Bottom