Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,346
- 33,183
Kwa sisi Tuliopo nje ya Tanzania ukifika kiwanja cha ndege ukisha toka nje unapelekwa Hoteli ya bei ghali sana kiasi ambapo hata uwezo wa kulipia hizo hoteli huna. Mheshimiwa Rais Magufuli Mheshimiwa Waziri Mkuu Mr Majaliwa na Mheshimiwa Waziri wa Afya Bi Ummi hebu ingilieni hilo Tatizo letu jamani tunaumia . Kwa kupelekwa Hoteli zenye Bei ghali sana mutuoneni huruma. Angalia Video mama huyo akilalamika.👇👇👇😭😭