Hili suala ni la kitaaluma zaidi, ila ikiwekwa mihemuko ya kiasa hatutafanikiwa kabisa.Kwa kufahamisha tena, ili kutunza mazingira kutokana na hiyo sumu, lazima hapo hapo kujengwe kiwanda cha kuzalisha sulfuric acid, hapo hapo ilikuzuia vumbi lazima kijengwe kiwanda cha kuzalisha gypsum. Inahitajika mtaji mkubwa sana
Ndiyo maana Nyerere aliwaza kuhusu mafuta baharini akasema yaacheni tu kwa sasa.