Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,353
- 1,234
- Thread starter
- #121
Hahaha...kumbe!!
Anyway Watanzania wengi ndivyo walivyo, wakishamfahamu Mungu basi wao hugeuka miungu wadogo wenye kutaka kunyenyekewa...
Lakini ashukuriwe Bwana, kwani yeye husema..."Utafuteni kwanza Ufalme wangu na Haki yangu na hayo mengine yote mtazidishiwa"...
Ukiona mtu anakuwa kikwazo kwa wewe kuutafuta uso wa Mungu, pambana maana pengine hapo ndipo ilipo Haki ya Mungu.
Siku zote mambo ya Mungu hayaji kwa ubwete ubwete...
Hii ni njia moja wapo ya kupambana Mkuu