Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,353
- 1,234
- Thread starter
- #141
Nyakati zamwisho watakuja manabii wa uongo (mwenye macho aambiwi tazama) Leohii mpaka nabii wa kike wapo, bado mpaka mutaletewa nabii shoga.
Makubwa!
Nyakati zamwisho watakuja manabii wa uongo (mwenye macho aambiwi tazama) Leohii mpaka nabii wa kike wapo, bado mpaka mutaletewa nabii shoga.
Siku za hizi karibuni tumeshuhudia watanzania wengi wakijitahidi kwenda kwa Mchungaji T.B. Joshua, wa SCOAN Nigeria kwa maombezi. Hiki kinachotokea kwa sasa ni kielelezo tosha kwamba watu wengi wana mahangaiko makubwa sana na wangependa kumrudia Mungu wao kwa Uponyaji.
Naomba nizungumzie tabia za kukera za Coordinator wa SCOAN hapa Tanzania, Martha. Huyu dada ni kiburi sana, anamajidai, hajali watu, anajibu jeuri, na ku treat watu wazima kama vile wanafunzi wa sekondari. Huyu dada amejisahau, anaona kama vile anafanya kazi White House, amekosa kabisa maadili ya watu wanaosaidia watu wa Mungu.
Last week wafanyakazi wa SCOAN walikuja Diamond Jubilee. Huyo dada aliadhirika sana kwa kiburi chake, ni tofauti sana na watu wa SCOAN kutoka Nigeria.
Kwa kweli huyo dada, ni janga la taifa.
Haujaeleza Ubaya wake, umefichaficha lakini unataka tumuone Mmbaya....funguka tuskie bhana!
Na kama kweli hana maadili na ana maringo basi hafai katika kazi za kiroho, kazi za kiroho zinahitaji UPENDO!!..na hao wanaomtetea kwa madai kuwa kwenye mambo ya imani hauhitaji "kubembelezwa" sioni jina zuri la kuwaita isipokuwa ni WAPUMBAVU!
Unataka kwenda SCOAN. Pitia hapa Visit Us fuata maelezo jaza kama inavyostahili. SCOAN watakujibu na kukutumia barua ya mwaliko. Nenda ubalozini ukaombe visa. Kata tiketi ya ndege ambayo ni stahili yako. Ukifika maswala ya mahali pakufikia utakuta wamesha kuandalia kwa jinsi ulivyo chagua unataka kukaa wapi. Utahudhuria ibada mpaka utakapo ondoka kurudi TZ. Na kweli utasema hakuna haja ya kuwa na Martha TZ ili uweze kwenda SCOAN.
Kwa Babu ni kikombe maji ya mizizi na jero jero, ila kwa TB Joshua ni maji na dola kadhaa !
Ile wote kazi yao ni kutibu magonjwa na kuombea watu utajiri !
Haujaeleza Ubaya wake, umefichaficha lakini unataka tumuone Mmbaya....funguka tuskie bhana!
Na kama kweli hana maadili na ana maringo basi hafai katika kazi za kiroho, kazi za kiroho zinahitaji UPENDO!!..na hao wanaomtetea kwa madai kuwa kwenye mambo ya imani hauhitaji "kubembelezwa" sioni jina zuri la kuwaita isipokuwa ni WAPUMBAVU!
U a wrong!n u dont knw who is TB Joshua!...better ask kuliko kuandika vitu ambavyo huna uhakika navyo
Kama kuna mtu aliekwenda Diamond juzi walipo kuja ma Wisemen. Mliona alivyokuwa anahaha. Na mliona watu walivyokuwa wana lalamika juu yake. Hata Wisemen aliposema ameacha maji kwa Martha anayetaka akachukue kwake, Martha amegoma kuuza hayo maji kisa watu wamemsemea. Nilipita pia kwenye website ya SCOAN nikakuta malamiko ya wa TZ juu ya Martha. Ninaimani malamiko yetu yata saidia kubadikika kwa huyu mama.
Kama kuna mtu aliekwenda Diamond juzi walipo kuja ma Wisemen. Mliona alivyokuwa anahaha. Na mliona watu walivyokuwa wana lalamika juu yake. Hata Wisemen aliposema ameacha maji kwa Martha anayetaka akachukue kwake, Martha amegoma kuuza hayo maji kisa watu wamemsemea. Nilipita pia kwenye website ya SCOAN nikakuta malamiko ya wa TZ juu ya Martha. Ninaimani malamiko yetu yata saidia kubadikika kwa huyu mama.
Am i missing something wandugu?? Yaani kuna maji yanauzwa? Naombeni mnielewesha tafadhali!
Am i missing something wandugu?? Yaani kuna maji yanauzwa? Naombeni mnielewesha tafadhali!
Umaskini ni mbaya sana.
Umaskini unamfanya mtu hata uwezo wa kufikiri upungue. Pamoja na kwamba mimi ni muumini Mkatoliki mzuri, lakini hizi imani zinazoibuka zina mlengo zaidi wa kimaslahi kuliko kiroho. Naomba kujua gharama za hicho kichupa cha maji (Anointed Water).
Viongozi wa kidini wamekuwa wafalme kuliko Bwana wao wanaye mhubiri. Yesu alikuwa mnyenyekevu, mtoto wa seremala. Tunaona wanaojiita manabii wanachuma sadaka kwa wasiojiweza, wao wanaendesha Hammer! Bahati mbaya sana hata ukisema watu hawakusikii!
Yes!bt sio hyu tunaemuongelea
U a wrong!n u dont knw who is TB Joshua!...better ask kuliko kuandika vitu ambavyo huna uhakika navyo
Unajua watu wanaongea ushabiki tu mimi ninaushahidi kuna mtu ametozwa dolla 1700 kwajili ya kwenda SCOAN, toka mwezi wakwanza mpaka leo hajaenda anazunguushwa tu na kujibiwa majibu ya dhihaka na karaha. Mimi niliangalia tiketi mwezi wa nne kwenda SCOAN mtu mmoja ilikuwa ina gharimu tiketi tu dolla 750. Ukiweka malazi na chakula inaweza ikafika dolla 1100. Sasa huu si wizi halafu wakirudi anawarudishia dolla 100 watu wanafurahi wanasema ni muaminifu hakuna kitu mwizi mkubwa yule.
..sio maji ya kawaida km unayoyajua ww,by the way....it seems hujui kinachoendelea kuhusu hii ministry....