Coordinator wa SCOAN Tanzania

Coordinator wa SCOAN Tanzania

Huyu Martha yupo hapa na nadhani keshasikia,na sio mara ya kwanza kusikia habari zake.
Kazi ya Mungu ifanye kwa moyo,na kuwa mwakilishi wa SCOAN Tanz sio ndo mbinguni bibi we.. Jirekebishe.

#kirohosafi #
 
Huyu Martha yupo hapa na nadhani keshasikia,na sio mara ya kwanza kusikia habari zake.
Kazi ya Mungu ifanye kwa moyo,na kuwa mwakilishi wa SCOAN Tanz sio ndo mbinguni bibi we.. Jirekebishe.

#kirohosafi #

Ni vema kama yupo na habari zimefika.
La maana zaidi ya kufikisha habari, ni kufanyia kazi anayolalamikiwa.
 
Jamani ukiumwa si unakwenda hospitali na unategemea kukuta wagonjwa wenzio? Sasa ukiingia ukakutana na maiti tupu juwa umekosea njia hapo ni mochuari na usilazimishe pabadilike pawe hospitali kama unavyotaka wewe au ulivyotegemea! Sasa basi my point is hiyo sehemu ingekuwa ya mungu ungekuta watu wa kimungu na kama hujawakuta basi funguka hiyo hiyo sio sehemu ya mungu na usilazimishe iwe sehemu ya mungu! Kuna manabii wengi sana wa uongo siku hizi wanadiriki hata kutumia uchawi kuponya ili waaminike kuwa ni manabii! So inawezekana huyo .Martha katumwa na mungu kuwaokoa watu kuungana na shetani u never know akikufanyia kiburi ukisusa kwenda huko ndio umeokoka kwenye ushetani! Just opinions I know nothing about TB Joshua so can't judge him!
 
Hapa kuna personal conflict na ndiyo maana unaona hata mlalamikaji hana maelezo ya moja kwa moja juu ya vitendo ambavyo hajapendezwa navyo! Me naamini kuna Customer care & service nzuri tuu ndani ya Tanzania! Unayesema Tanzania hatupo vizuri katika kuhudumia wateja hadi wanaletwa Ma-meneja wa kenya umeangalia kitu kidogo sana.. Sasa umesahau meneja ni mmoja wafanyakazi 50, Je Meneja ndo anatoa huduma? Anyekutana na wateja muda wote ni nani? Ukiona mtu analeta fitina hadi kwenye Taasisi za kidini ujue huyo ameshapotea..
 
Hapa kuna personal conflict na ndiyo maana unaona hata mlalamikaji hana maelezo ya moja kwa moja juu ya vitendo ambavyo hajapendezwa navyo! Me naamini kuna Customer care & service nzuri tuu ndani ya Tanzania! Unayesema Tanzania hatupo vizuri katika kuhudumia wateja hadi wanaletwa Ma-meneja wa kenya umeangalia kitu kidogo sana.. Sasa umesahau meneja ni mmoja wafanyakazi 50, Je Meneja ndo anatoa huduma? Anyekutana na wateja muda wote ni nani? Ukiona mtu analeta fitina hadi kwenye Taasisi za kidini ujue huyo ameshapotea..

Kweli kila tendo lina matokeo yake!
Pamoja na ushuhuda wote uliomwagwa hapa bado unadai nina personal conflicts?
Ina maana hao wote waliotoa ushuhuda wana personal conflict?
This is very serious!
 
Unajua watu wanaongea ushabiki tu mimi ninaushahidi kuna mtu ametozwa dolla 1700 kwajili ya kwenda SCOAN, toka mwezi wakwanza mpaka leo hajaenda anazunguushwa tu na kujibiwa majibu ya dhihaka na karaha. Mimi niliangalia tiketi mwezi wa nne kwenda SCOAN mtu mmoja ilikuwa ina gharimu tiketi tu dolla 750. Ukiweka malazi na chakula inaweza ikafika dolla 1100. Sasa huu si wizi halafu wakirudi anawarudishia dolla 100 watu wanafurahi wanasema ni muaminifu hakuna kitu mwizi mkubwa yule.
 
Unajua watu wanaongea ushabiki tu mimi ninaushahidi kuna mtu ametozwa dolla 1700 kwajili ya kwenda SCOAN, toka mwezi wakwanza mpaka leo hajaenda anazunguushwa tu na kujibiwa majibu ya dhihaka na karaha. Mimi niliangalia tiketi mwezi wa nne kwenda SCOAN mtu mmoja ilikuwa ina gharimu tiketi tu dolla 750. Ukiweka malazi na chakula inaweza ikafika dolla 1100. Sasa huu si wizi halafu wakirudi anawarudishia dolla 100 watu wanafurahi wanasema ni muaminifu hakuna kitu mwizi mkubwa yule.
Bahalulu una cha zaidi ndugu yangu?
Ongea mengine
 
Last edited by a moderator:
Kipindi cha nyuma alikusanya pesa zaidi tb joshua akamwambia awarudishie watu.
Niliwahi kwenda pale benj mkapa kuchukua maji yani wote tuliokuwa pale tulikoma. Mtu katoka mkoani anaambiwa aje kesho plus nyodo kibao. Cha kushangaza tb joshua mwenyewe yuko simple na mnyenyekevu sana ila hawa macoordinator kwa kweli wana kiburi sana, watu hawawezi kulalamika bure, mtu anajidai utafikiri yeye ndo wise man. Mungu awasamehe bure
 
Jamani Watanzania tuache upumbavu maana hata bwana mungu amesema watu wangu wanateketea kwa kukosa maarifa. Scoan ni mojawapo ya maarifa bwana aliiyotuletea ili tupone. Martha ni kituko hujawahi kuona, coordination siyo kitu kigumu jamani, ni kitui cha kawaida hakihitaji elimu ya ajabu. Tusikubali Martha atunyime mamilioni ya watanzania maarifa ambayo siyo yake. Hata kwa sisi tuliokwisha fika scoan huko nyuma hakuna tabia hizi chafu huko si kwa prophet mwenyewe, wala ma wisemen wala ma evangelist ambao ndio wanaotuhudumia mchana na usiku. Martha atolewe tumuandikie TB joshua anuani zake zimo kwenye website kwa nguvu zote, watanzania tunahangaika wakati solution imezibwa na mtu mmoja mjinga mwenye kiburi tu kwa kuwa ameolewa na mzungu. Nchi ambazo zina coordinator wazuri wanasafiri kila siku, nchi kama south Africa, Kenya, watu wa west africa wanabadilika na kufanikiwa, Huyu mpuuzi anatu treat kama vile sisi watumishi wake, na wale vibaraka wake ndio wanajiona kama miungu. Sasa kuna sababu gani ya kusema kuwa ofisi iko wazi saa moja mpaka saba mchana wakati muda huo hayupo na vile vitoto vya darasa la nne vinavyokaa pale havina uwezo wa kukupa taarifa zozote? anakkusanya hela za watu na kukaa nazo benk miezi halafu ukitaka kurudishiwa eti anakukuta.

Tumeshauriwa na scoan wenyewe kama tunamalalamiko tuwasiliane nao, mimi nawahamasisha tuanze kuandika kwenyew facebook, email na hata kupiga simu kwako tuwaeleze huyu bibie arudi kushughulika na wanaume wa kizungu ndio analoweza.

Nachukizwa sana na watu humu ndani wanaotaka kuburuzwa na kujaa woga hata katika mambo ya kimungu. Nani kasema kwa mambo ya kimungu tuburuzwe tu? huyu mama hata ukienda na upako wake atakukwaza. Kan'gan'gania wanaomramba miguu, na mafisadi wakina Blandina Nyoni eti ndio wako kimbelembele hiyo diamond kwa nini hakuto utaratibu anasumbua watu wanabeba wagonjwa wao toka muhimbili ukifika pale huna jibu la nini cha kufanya na wala uanzie wapi. Watanzania wanaleta mchezo hata kwenye uhai na maisha ya watu, serikali itusumbue na Martha Kaaya pia? hebu angalieni wa afrika kusini wangapi, wakenya wangapi wengine wanatoka mpaka amerika watu wanamiminika kupokea uponyaji sisi huyu kilaza anajifanya mungu mtu. Nawaomba sana wanaowasiliana na prophet pia wamwambie habari ya uzi huu tumechoswa na huyu mama.
 
Siwezi fikia huko, l mean kumsemea uongo mtumishi wa Mungu kwa mapungufu ya one insignificant individual.
T.B Joshua is one of the few humble man na hata mkewe pia.
Madhaifu ya Martha ni ya kwake, na ndio maana wanaohudumu scoan ni wastaarabu sana.

waambie hao wanaojifanya kumjua sana,au wanafikiri kila mtumishi ni walewale
 
Hahaha...kumbe!!
Anyway Watanzania wengi ndivyo walivyo, wakishamfahamu Mungu basi wao hugeuka miungu wadogo wenye kutaka kunyenyekewa...
Lakini ashukuriwe Bwana, kwani yeye husema..."Utafuteni kwanza Ufalme wangu na Haki yangu na hayo mengine yote mtazidishiwa"...
Ukiona mtu anakuwa kikwazo kwa wewe kuutafuta uso wa Mungu, pambana maana pengine hapo ndipo ilipo Haki ya Mungu.
Siku zote mambo ya Mungu hayaji kwa ubwete ubwete...
 
Jamani Watanzania tuache upumbavu maana hata bwana mungu amesema watu wangu wanateketea kwa kukosa maarifa. Scoan ni mojawapo ya maarifa bwana aliiyotuletea ili tupone. Martha ni kituko hujawahi kuona, coordination siyo kitu kigumu jamani, ni kitui cha kawaida hakihitaji elimu ya ajabu. Tusikubali Martha atunyime mamilioni ya watanzania maarifa ambayo siyo yake. Hata kwa sisi tuliokwisha fika scoan huko nyuma hakuna tabia hizi chafu huko si kwa prophet mwenyewe, wala ma wisemen wala ma evangelist ambao ndio wanaotuhudumia mchana na usiku. Martha atolewe tumuandikie TB joshua anuani zake zimo kwenye website kwa nguvu zote, watanzania tunahangaika wakati solution imezibwa na mtu mmoja mjinga mwenye kiburi tu kwa kuwa ameolewa na mzungu. Nchi ambazo zina coordinator wazuri wanasafiri kila siku, nchi kama south Africa, Kenya, watu wa west africa wanabadilika na kufanikiwa, Huyu mpuuzi anatu treat kama vile sisi watumishi wake, na wale vibaraka wake ndio wanajiona kama miungu. Sasa kuna sababu gani ya kusema kuwa ofisi iko wazi saa moja mpaka saba mchana wakati muda huo hayupo na vile vitoto vya darasa la nne vinavyokaa pale havina uwezo wa kukupa taarifa zozote? anakkusanya hela za watu na kukaa nazo benk miezi halafu ukitaka kurudishiwa eti anakukuta.

Tumeshauriwa na scoan wenyewe kama tunamalalamiko tuwasiliane nao, mimi nawahamasisha tuanze kuandika kwenyew facebook, email na hata kupiga simu kwako tuwaeleze huyu bibie arudi kushughulika na wanaume wa kizungu ndio analoweza.

Nachukizwa sana na watu humu ndani wanaotaka kuburuzwa na kujaa woga hata katika mambo ya kimungu. Nani kasema kwa mambo ya kimungu tuburuzwe tu? huyu mama hata ukienda na upako wake atakukwaza. Kan'gan'gania wanaomramba miguu, na mafisadi wakina Blandina Nyoni eti ndio wako kimbelembele hiyo diamond kwa nini hakuto utaratibu anasumbua watu wanabeba wagonjwa wao toka muhimbili ukifika pale huna jibu la nini cha kufanya na wala uanzie wapi. Watanzania wanaleta mchezo hata kwenye uhai na maisha ya watu, serikali itusumbue na Martha Kaaya pia? hebu angalieni wa afrika kusini wangapi, wakenya wangapi wengine wanatoka mpaka amerika watu wanamiminika kupokea uponyaji sisi huyu kilaza anajifanya mungu mtu. Nawaomba sana wanaowasiliana na prophet pia wamwambie habari ya uzi huu tumechoswa na huyu mama.

mkuu umeongea point na hope watu wameelewa.

Mkuu... Umeandika Mungu kwakuanzia herufi ndogo halafu Martha umeipa heshima kidogo..
🙁
bora ungeandika virceversa(jus kdn)
 
Jamani Watanzania tuache upumbavu maana hata bwana mungu amesema watu wangu wanateketea kwa kukosa maarifa. Scoan ni mojawapo ya maarifa bwana aliiyotuletea ili tupone. Martha ni kituko hujawahi kuona, coordination siyo kitu kigumu jamani, ni kitui cha kawaida hakihitaji elimu ya ajabu. Tusikubali Martha atunyime mamilioni ya watanzania maarifa ambayo siyo yake. Hata kwa sisi tuliokwisha fika scoan huko nyuma hakuna tabia hizi chafu huko si kwa prophet mwenyewe, wala ma wisemen wala ma evangelist ambao ndio wanaotuhudumia mchana na usiku. Martha atolewe tumuandikie TB joshua anuani zake zimo kwenye website kwa nguvu zote, watanzania tunahangaika wakati solution imezibwa na mtu mmoja mjinga mwenye kiburi tu kwa kuwa ameolewa na mzungu. Nchi ambazo zina coordinator wazuri wanasafiri kila siku, nchi kama south Africa, Kenya, watu wa west africa wanabadilika na kufanikiwa, Huyu mpuuzi anatu treat kama vile sisi watumishi wake, na wale vibaraka wake ndio wanajiona kama miungu. Sasa kuna sababu gani ya kusema kuwa ofisi iko wazi saa moja mpaka saba mchana wakati muda huo hayupo na vile vitoto vya darasa la nne vinavyokaa pale havina uwezo wa kukupa taarifa zozote? anakkusanya hela za watu na kukaa nazo benk miezi halafu ukitaka kurudishiwa eti anakukuta.

Tumeshauriwa na scoan wenyewe kama tunamalalamiko tuwasiliane nao, mimi nawahamasisha tuanze kuandika kwenyew facebook, email na hata kupiga simu kwako tuwaeleze huyu bibie arudi kushughulika na wanaume wa kizungu ndio analoweza.

Nachukizwa sana na watu humu ndani wanaotaka kuburuzwa na kujaa woga hata katika mambo ya kimungu. Nani kasema kwa mambo ya kimungu tuburuzwe tu? huyu mama hata ukienda na upako wake atakukwaza. Kan'gan'gania wanaomramba miguu, na mafisadi wakina Blandina Nyoni eti ndio wako kimbelembele hiyo diamond kwa nini hakuto utaratibu anasumbua watu wanabeba wagonjwa wao toka muhimbili ukifika pale huna jibu la nini cha kufanya na wala uanzie wapi. Watanzania wanaleta mchezo hata kwenye uhai na maisha ya watu, serikali itusumbue na Martha Kaaya pia? hebu angalieni wa afrika kusini wangapi, wakenya wangapi wengine wanatoka mpaka amerika watu wanamiminika kupokea uponyaji sisi huyu kilaza anajifanya mungu mtu. Nawaomba sana wanaowasiliana na prophet pia wamwambie habari ya uzi huu tumechoswa na huyu mama.

U a very ryt mkuu,
Umesahau kina Dotnatha,na baadhi ya wabunge,na watu wny vihelahela ndo anakumbatia hata ukienda na kuwe na wa2 km hao utakavyojibiwa utajuta!
....na kuwasiliana na prophet wote tusadiane,kwa kutuma email, km ambavyo wengine wanafanya mpaka prophet atatuelewa
.....Its true that nchi nyingi ma coordinator wa nchi nyingine wako vzr ht km wanamapungufu yao,lkn angalia wanavyoenda nw n then,lkn Tz yaani hiki ni kikwazo!
Bt glory b to God kuna njia ya nyingin,unawasiliana nao online na unaenda fresh 2
 
Unajua watu wanaongea ushabiki tu mimi ninaushahidi kuna mtu ametozwa dolla 1700 kwajili ya kwenda SCOAN, toka mwezi wakwanza mpaka leo hajaenda anazunguushwa tu na kujibiwa majibu ya dhihaka na karaha. Mimi niliangalia tiketi mwezi wa nne kwenda SCOAN mtu mmoja ilikuwa ina gharimu tiketi tu dolla 750. Ukiweka malazi na chakula inaweza ikafika dolla 1100. Sasa huu si wizi halafu wakirudi dolla 100 watu wanafurahi wanasema ni muaminifu hakuna kitu mwizi mkubwa yule.

Hija ya walokole kumbe iko Nigeria !
 
Kipindi cha nyuma alikusanya pesa zaidi tb joshua akamwambia awarudishie watu.
Niliwahi kwenda pale benj mkapa kuchukua maji yani wote tuliokuwa pale tulikoma. Mtu katoka mkoani anaambiwa aje kesho plus nyodo kibao. Cha kushangaza tb joshua mwenyewe yuko simple na mnyenyekevu sana ila hawa macoordinator kwa kweli wana kiburi sana, watu hawawezi kulalamika bure, mtu anajidai utafikiri yeye ndo wise man. Mungu awasamehe bure

Kumbe kuna la kukosa uaminifu pia? Mimi nililete huu uzi kwa kulalamikia mambo ambayo @nndondo ameyaweka vizuri na wazi kabisa. wale "royalists" wa Martha waje na jingine.

Haya sasa kumbe hata la kuwazidishia watu gharama nalo lipo.
Tutasikia mengi

Praise the Lord!
 
Unajua watu wanaongea ushabiki tu mimi ninaushahidi kuna mtu ametozwa dolla 1700 kwajili ya kwenda SCOAN, toka mwezi wakwanza mpaka leo hajaenda anazunguushwa tu na kujibiwa majibu ya dhihaka na karaha. Mimi niliangalia tiketi mwezi wa nne kwenda SCOAN mtu mmoja ilikuwa ina gharimu tiketi tu dolla 750. Ukiweka malazi na chakula inaweza ikafika dolla 1100. Sasa huu si wizi halafu wakirudi anawarudishia dolla 100 watu wanafurahi wanasema ni muaminifu hakuna kitu mwizi mkubwa yule.

Mkuu kwny suala la hela hapa,ni kweli huwa tunatoa 1700dola,bt kurudishiwa i think ni kutokana ulivyotoa...coz tuliotoa 1700 tulirudishiwa laki 4 karibia na nusu hvi....ss labda hyo alitoa chini ya dola 1700
...by the way,naomba kuuliza hivi visa huwa ni sh ngapi? Maana pale huwa tunaambiwa tutoe laki 1
 
Jamani Watanzania tuache upumbavu maana hata bwana mungu amesema watu wangu wanateketea kwa kukosa maarifa. Scoan ni mojawapo ya maarifa bwana aliiyotuletea ili tupone. Martha ni kituko hujawahi kuona, coordination siyo kitu kigumu jamani, ni kitui cha kawaida hakihitaji elimu ya ajabu. Tusikubali Martha atunyime mamilioni ya watanzania maarifa ambayo siyo yake. Hata kwa sisi tuliokwisha fika scoan huko nyuma hakuna tabia hizi chafu huko si kwa prophet mwenyewe, wala ma wisemen wala ma evangelist ambao ndio wanaotuhudumia mchana na usiku. Martha atolewe tumuandikie TB joshua anuani zake zimo kwenye website kwa nguvu zote, watanzania tunahangaika wakati solution imezibwa na mtu mmoja mjinga mwenye kiburi tu kwa kuwa ameolewa na mzungu. Nchi ambazo zina coordinator wazuri wanasafiri kila siku, nchi kama south Africa, Kenya, watu wa west africa wanabadilika na kufanikiwa, Huyu mpuuzi anatu treat kama vile sisi watumishi wake, na wale vibaraka wake ndio wanajiona kama miungu. Sasa kuna sababu gani ya kusema kuwa ofisi iko wazi saa moja mpaka saba mchana wakati muda huo hayupo na vile vitoto vya darasa la nne vinavyokaa pale havina uwezo wa kukupa taarifa zozote? anakkusanya hela za watu na kukaa nazo benk miezi halafu ukitaka kurudishiwa eti anakukuta.

Tumeshauriwa na scoan wenyewe kama tunamalalamiko tuwasiliane nao, mimi nawahamasisha tuanze kuandika kwenyew facebook, email na hata kupiga simu kwako tuwaeleze huyu bibie arudi kushughulika na wanaume wa kizungu ndio analoweza.

Nachukizwa sana na watu humu ndani wanaotaka kuburuzwa na kujaa woga hata katika mambo ya kimungu. Nani kasema kwa mambo ya kimungu tuburuzwe tu? huyu mama hata ukienda na upako wake atakukwaza. Kan'gan'gania wanaomramba miguu, na mafisadi wakina Blandina Nyoni eti ndio wako kimbelembele hiyo diamond kwa nini hakuto utaratibu anasumbua watu wanabeba wagonjwa wao toka muhimbili ukifika pale huna jibu la nini cha kufanya na wala uanzie wapi. Watanzania wanaleta mchezo hata kwenye uhai na maisha ya watu, serikali itusumbue na Martha Kaaya pia? hebu angalieni wa afrika kusini wangapi, wakenya wangapi wengine wanatoka mpaka amerika watu wanamiminika kupokea uponyaji sisi huyu kilaza anajifanya mungu mtu. Nawaomba sana wanaowasiliana na prophet pia wamwambie habari ya uzi huu tumechoswa na huyu mama.
nndondo umemaliza kila kitu.
Sasa tuanze kudai haki yetu ya kupata huduma hii kama waumini wengine duniani.
Hii ni njia moja wapo. nndondo ameonyesha njia nyingine
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom