Coordinator wa SCOAN Tanzania

Coordinator wa SCOAN Tanzania

Dear Martha,
Mimi sijaomba kuwa coordinator wa SCOAN Tanzania.
Ila ni ngumu kwenda SCOAN bila kupitia kwenye OFISI YAKO YA BENJAMIN MKPA ULIYOJAA UKILITIMBA.
TB Joshua haihitaji kusujudiwa kama wewe!
Nilkichoomba hapa ni ku-imorove customer care.
Is this too much for you?

Huyu mama ni mpumbavu sana, ndiyomaana walilshindwa kumvumilia PPF tower wakamtimua kaja kubanana pale Mkapa tower. Majib yake ni ya kishetani mno. Sumba - wanga wala usijali bila hata yeye we can. Ila watanzania improve customer care, udhaifu siyo pale kwake tu, hata sehemu zingine tumeonyesha udhaifu mno.
 
Wewe Tabby haya maneno yanakuuma. una kiburi na umefilisika km unadhani unatoa huduma bora. na question kiwango chako cha kiroho. umeomba leo asubuhi?
Mimi pia sikupenda huduma zenu na aliyenituma nikamwambia aende mwenyewe ofisini kwenu. shame on you maana mnamuaibisha TB Joshua. badilikeni.

Ajabu ni kwa nini hawataki kuambiwa ukweli?
Kutafuta huduma za kiroho ndio chanzo cha kunyanyaswa???
 
Watumishi wa Mungu ni wanyenyekevu. Yesu alinyenyekea hata mauti. Kwa kifupi Tabby nikifanya summary ya maneno yako unasema...
Kelele za mlango hazimzuii mwenye nyumba kulala...au
Usipokuja wewe watakuja wengine...

Yani kwa heshima aliyokuwa nayo TB you dont deserve to be even the last person on the line serving on his behalf. Hapi ndiyo utaona tofauti ya kufanya huduma kama huduma au kazi kama kazi.
Pole sana.

Chupaku you could not say better!!!
 
Last edited by a moderator:
päiva;6435571 said:
Njia nyingine ya kwenda SCOAN ni kufuata maelekezo yaliyoko kwenye website yao wala huhitaji kupitia kwa mtu. Nimeshafanya hivyo mara tatu na kufanikiwa. Ubarikiwe sana.

Naomba jinsi ya kufanya.
Naomba utueleze jinsi ya kufanya na jinsi ya kwenda.
Nimejaribu mara nyingi na web site yao hai respond kabisa.
Naomba msaada niachane na karaha za Martha.
 
Mkuu Chupaku nimeanza kuamini haya madai ni ya kweli maana wanaJF wengi wanalalamika so ni vyema akajirekebisha kwani hapo wanamuharibia mtumishi wa Mungu Tb Joshua.

Jamani mkitaka kuamini naomba niwape namba ya Martha.
Au nenda kwenye ofisi yake Benjamin Mkapa.
Utajionea mwenyewe
 
Zinapatikana ofisi za scoan,posta mpya,jengo la benjamin william mkapa...na hyo coordinator anaelalamikiwa hapa ndo unamuona hapo
Shardcole nenda kwenye ofisi zake benjamin Mkapa utakiona cha Moto!
Ni bara hata kwenda wa Mkuu wa Kaya
 
Last edited by a moderator:
u a ryt mkuu!kwanza wa2 wanaofanya kazi na tb joshua hawapo hivyo,...
Nilikuwa scon frm xmass up 2 new yr! Yaani TB Joshua yupo tofauti na hao wanaojifanya wanamjua sn,mnyenyekevu,hana majivuno, tofauti na huyu coordinator

Wale wanaosema tunamwonea Martha, pateni ushahidi kwa mtu aliyewahi kwenda Nigeria
 
ww unaebisha vitu usivyovijua bora ukae kimya! Na prophet ashapewa hizi taarifa!
....mleta mada upo sahihi, nilikuwa huko,na nilipitia hyo njia ya coordinator,bt nikienda tena i wont use that way!
...acheni 2 martha ni tatizo hasa kwawale wasioelewa ki2,wanapata shida,im telling u coz huwa na volunteer aisee km huna moyo huwezi vumilia
christine ibrahim asante sana kwa taarifa kwamba hata Prophet ameshapata hizi taarifa. Nina imani kwamba mateso haya yanakaribia mwisho
 
Last edited by a moderator:
Anointing water na sticker vinapayikana pale Benjamini Mkapa. Ila unahitaji kuwa na moyo waziada ili kuvipata. Huyu mtu anaye itwa Martha kweli anachokifanya pale sio kizuri kabisa. Anataka kuwa Mungu mtu hapa duniani, anataka kufanya iwe bila yeye huwezi fika SCOAN. Ana manyanyaso sana. Nilikwenda pale na hela mkononi akanizunguusha siku mbili na hakuniuzia maji. Kwanza anajibu mabaya sana na hata heshima hana. Mimi nadhani anahitaji kuombewa ili aweze kufanya hiyo kazi.
uniq mungu atusaidie twende kwa T.B.Joshua tukamfanyie maombi.
Kiburi, nyodo na dharau za Martha sio za kawaida.
Sio bure
 
Last edited by a moderator:
.....huyo ndo aliyetayari kutumika...maana biblia yasema atanyanyua mawe kumuimbia.....nyie mnaojiona wasafi mko wapi kutumika??sioni sababu ya kupiga saana kelele..martha,martha.....kama vp tumika wewe!Mungu humwita mtu kwenye madhaifu yake na kisha humbadilisha hatua kwa hatua
........TUKISEMA HATUNA DHAMBI TUNAJIDANGANYA WALA KWELI HAIMO NDANI MWETU


Wonders shall never end!
 
Huyu mama ni mpumbavu sana, ndiyomaana walilshindwa kumvumilia PPF tower wakamtimua kaja kubanana pale Mkapa tower. Majib yake ni ya kishetani mno. Sumba - wanga wala usijali bila hata yeye we can. Ila watanzania improve customer care, udhaifu siyo pale kwake tu, hata sehemu zingine tumeonyesha udhaifu mno.

Kumbe alishawahi kutimuliwa PPF tower?
Marta na watetezi wake wote wanaonyesha mentality ya watanzania!
 
Back
Top Bottom