Coordinator wa SCOAN Tanzania

Coordinator wa SCOAN Tanzania

XXLIZ acha kumsingizia TB Joshua kwamba anatoa maagizo yote kwa martha. Kuna kipindi martha aliwatoza hela zaidi watu tbj mwenyewe akamwambia awarudishie na habari ziliwekwa mpaka facebook tbj akawatahadharisha macoordinator wote wakumbuke wito wao na wasitafute kunufaika kupitia shida za watu

Nakubaliana na wewe but mind you kama ni mtazamaji mzuri wa emmanuel tv haikuwa martha peke yake aliyefanya hivyo kulikuwa na other coordinators walionfanya the same eg zimbabwe. Na prophet alitoa agizo hilo baada ya coordinators wenyewe kureport kwake kuwa hiyo mia watu walikuwa wanalalamika sana kwamba it was too much for them . Stop making her look so evilish and greedy , kazi anayofanya ni kubwa hata kama hatakusaidia wewe amewasaidia wengine and only god is a judge. And you know better than me about that may be
 
Last edited by a moderator:
Nimetoa majibu yote niliyoulizwa fuatilia thread za nyuma , anyway kila la kheri katika kuwasilisha malamiko yenu ili Martha angolewe Just after being chosen to coordinate Kenya this year . I stand for wht i know sikuwa hapa kulumbana na mtu wala kumshushua mtu its not my thing. Wanaowajua wawest africa wanajua kuwa sio watu wa kumbembeleza mtu na kupeti pet nawaombea mfike SCOAN not through the coorditor ili mpate Huduma mnayotegemea by Gods Grace !
kwa wale wanaweza kuendelea kumtumia coordinator Mungu awape Hekima na Patience na uvumilivu pale utakapohitajika ili mfikie malengo yenu . ila humu ndani sio sehemu ya kujikweza , nani anamjua nani humu ? Nijikweze ili unisujudie kwa lipi .... I am not perfect and neither are you so... ONLY GOD CAN JUDGE
 
Siku za hizi karibuni tumeshuhudia watanzania wengi wakijitahidi kwenda kwa Mchungaji T.B. Joshua, wa SCOAN Nigeria kwa maombezi. Hiki kinachotokea kwa sasa ni kielelezo tosha kwamba watu wengi wana mahangaiko makubwa sana na wangependa kumrudia Mungu wao kwa Uponyaji.

Naomba nizungumzie tabia za kukera za Coordinator wa SCOAN hapa Tanzania, Martha. Huyu dada ni kiburi sana, anamajidai, hajali watu, anajibu jeuri, na ku treat watu wazima kama vile wanafunzi wa sekondari. Huyu dada amejisahau, anaona kama vile anafanya kazi White House, amekosa kabisa maadili ya watu wanaosaidia watu wa Mungu. anajipangia tu muda wa watu na siku za kwenda ofisini kwake bila kujali kwamba hao watu wanatoka mikoani, au dar! Hata Dar yenewewe ina foleni, unapowaambia watu wafike Benjamini Mkapa saa moja kamili anafikiria nini? Na hata ukimwambia kwamba unatoka mbali hajali, atakupa jibu la karaha.

Last week wisemen from SCOAN- Nigeria walikuja Diamond Jubilee. Huyo dada aliadhirika sana kwa kiburi chake, kwa maana matendo yake na tabia zake ni tofauti sana na watu wa SCOAN kutoka Nigeria. hakuwapaa watz taarifa za kutosha madhumuni ya safari yao. Hili lilileta usumbufu mkubwa sana. Waliokuwepo Diamon Jubilee ni mashahidi zangu.

nasikia amesusa kuuza maji baada ya kuona kwamba watu wamemsemea,
Typical of Tanzanians behavior, sasa kazi ni yako unasusa nini?
Unamsusia nani?
Kwa nini uliikubali? Kama hutaki si uache?

Kwa kweli huyo dada, ni janga la taifa.

Hapo hakuna Mungu bali ni biashara kwa kwenda mbele tu......Mtahangaika sana lakini dini ni moja tu nayo ni...........'
 
Nimetoa majibu yote niliyoulizwa fuatilia thread za nyuma , anyway kila la kheri katika kuwasilisha malamiko yenu ili Martha angolewe Just after being chosen to coordinate Kenya this year . I stand for wht i know sikuwa hapa kulumbana na mtu wala kumshushua mtu its not my thing. Wanaowajua wawest africa wanajua kuwa sio watu wa kumbembeleza mtu na kupeti pet nawaombea mfike SCOAN not through the coorditor ili mpate Huduma mnayotegemea by Gods Grace !
kwa wale wanaweza kuendelea kumtumia coordinator Mungu awape Hekima na Patience na uvumilivu pale utakapohitajika ili mfikie malengo yenu . ila humu ndani sio sehemu ya kujikweza , nani anamjua nani humu ? Nijikweze ili unisujudie kwa lipi .... I am not perfect and neither are you so... ONLY GOD CAN JUDGE

XXLIZ you got it very wrong.
Hakuna mtu anayehitaji/demand ku kubembelezwa wala kupetiwa petiwa.
Hiyo ni kazi wa wapenzi wetu, sio ya Martha.
Martha afanye kazi inavyotakiwa.
Usipoteze mada.
 
Last edited by a moderator:
Ndugu wa JF
Nadhani si busara sana kumshambulia Martha Kaaya as a person kwani kila mtu anaudhaifu wake katika eneo moja ama jingine.Hata hivyo ni vyema labda Mama Martha ajichunguze kiroho kwani yamkini naye anahitaji deliverance kutoka katika hasira kali kama wale anaowasaidia kwenda SCOAN.Kwa upande wa pili napenda kuwashauri/kuwaarifu ndugu wanaopenda kwenda SCOAN kwamba si lazima wapitie kwa madam Martha kwenda SCOAN kwani inakugharimu zaidi kwa kupitia kwake kuliko kwenda wewe mwenyewe.
MFANO
Sno
Jinsi ya kwenda SCOAN
Air Ticket
Ticket Price
Chakula na malazi kwa siku 5
1
Kwenda mwenyewe
Lipa mwenyewe
Ethiopia Air Maximum Usd 600 (ukinunua online)
Kulipa mwenyewe Maximum usd 300
2
Kupitia kwa Martha
Unamlipa Martha
Usd 900
Kulipa through Martha Usd 800
Mbali na ughali wa kwenda SCOAN kupitia kwa Martha LAKINI kuna huduma nyingi utazipa pale SCOAN kama utaenda kupitia kwa coordinator madam Martha mfano huduma/maombi na ushauri kutoka kwa wisemen na T.B Joshua hata muda ambao si wa Ibada.Kwa wale wanaotaka kwenda wenyewe naweza kuwaongoza (For free) jinsi ya kwenda SCOAN (i.e. Jinsi ya kupata Visa, Online Ticket na Book Hotel karibu na SCOAN nk).

Ahsante
 
The co-ordinators arranging groups to visit The SCOAN in each country of the world, don’t forget your promise when you were called to be co-ordinators.
Your promise, if I may remind you, was to give rest to the sick, distressed and unsaved. This is the only we can commit more faith and love to the society of which we are a part. God’s goodness will continue towards us if we respond by obeying Him, by giving rest to others and by helping our neighbours.
In Matthew 25:45, Jesus said, “Whatsoever you do or fail to do to the least of my brothers, that you do unto Me.” In other words, Jesus was saying here, “I have no farm where I expect you to work for me or an office where I expect you to help me in checking files. My farm and office are your fellow brothers. Whatever help you render to the least of them, whatever problem you help someone else to solve, that you render unto Me.”
I have received many emails and newspaper reports on the internet complaining of registration fees of $100. What then makes us an evangelist? When people go to concerts, they also register with $100. If we are evangelists, co-ordinating for God’s sake, all our concerns, aspirations and heart desires must be subjected to the Gospel through works of charity by helping the sick, distressed and unsaved instead of collecting registration fees of $100 from them before giving succour, I mean, attending to them. This cannot be justified; it amounts to taking a portion of their situation. If we are focused on making money only, a large slice of life will pass us by. We should spend less on ourselves and more on others.
Those who have already paid $100 for the registration should be refunded, for God’s sake. 
I am impressed by the prompt action of the co-ordinators in Tanzania and Zimbabwe who have been refunding the $100 paid by each person as a registration fee. I believe all others will act likewise.
He who honours a prophet because he is a prophet will receive a prophet’s reward


Source.Important Notices
 
Ndugu wa JF
Nadhani si busara sana kumshambulia Martha Kaaya as a person kwani kila mtu anaudhaifu wake katika eneo moja ama jingine.Hata hivyo ni vyema labda Mama Martha ajichunguze kiroho kwani yamkini naye anahitaji deliverance kutoka katika hasira kali kama wale anaowasaidia kwenda SCOAN.Kwa upande wa pili napenda kuwashauri/kuwaarifu ndugu wanaopenda kwenda SCOAN kwamba si lazima wapitie kwa madam Martha kwenda SCOAN kwani inakugharimu zaidi kwa kupitia kwake kuliko kwenda wewe mwenyewe.
MFANO
SnoJinsi ya kwenda SCOANAir TicketTicket PriceChakula na malazi kwa siku 5
1Kwenda mwenyeweLipa mwenyeweEthiopia Air Maximum Usd 600 (ukinunua online)Kulipa mwenyewe Maximum usd 300
2Kupitia kwa MarthaUnamlipa MarthaUsd 900Kulipa through Martha Usd 800
Mbali na ughali wa kwenda SCOAN kupitia kwa Martha LAKINI kuna huduma nyingi utazipa pale SCOAN kama utaenda kupitia kwa coordinator madam Martha mfano huduma/maombi na ushauri kutoka kwa wisemen na T.B Joshua hata muda ambao si wa Ibada.Kwa wale wanaotaka kwenda wenyewe naweza kuwaongoza (For free) jinsi ya kwenda SCOAN (i.e. Jinsi ya kupata Visa, Online Ticket na Book Hotel karibu na SCOAN nk).

Ahsante
EH_Mzalendo ulikuwa wapi?????
This is very useful information.
I wish tungejua hayo kabla.
Unaona sasa, tumeonekana ni maadui, wanafiki, tuna roho mbaya, tuna chuki binafis na tunapenda kupetiwa petiwa, imagine, tofauti ya hizi gharama????
Kweli wajinga ndio waliwao.
However, it is not too late

Ndio maana tunaambiwa Martha anatumia pesa zake katika kutoa huduma ya Mungu!
XXLIZ, Tobby, nndondo, maria poa Mtambuzi queeny MTK Suzie
 
You are talking nonsense coz you dont know God and you think you can use your foolishness to define Spiritual things. Poor guy, do you think God is gonna rely on your stupid politics? Do you think He needs your votes to decide on peoples destinies? You need to know God first before thinking of your spiritual levels! If you have ever heard anything about God, you dont have to be reminded that in heavenly realms there is neither racism nor professionalism!. Now keep on displaying your ignorance here! shame on you alone!

Shetani KTK kazi hana mzaha
 
Siku za hizi karibuni tumeshuhudia watanzania wengi wakijitahidi kwenda kwa Mchungaji T.B. Joshua, wa SCOAN Nigeria kwa maombezi. Hiki kinachotokea kwa sasa ni kielelezo tosha kwamba watu wengi wana mahangaiko makubwa sana na wangependa kumrudia Mungu wao kwa Uponyaji.

Naomba nizungumzie tabia za kukera za Coordinator wa SCOAN hapa Tanzania, Martha. Huyu dada ni kiburi sana, anamajidai, hajali watu, anajibu jeuri, na ku treat watu wazima kama vile wanafunzi wa sekondari. Huyu dada amejisahau, anaona kama vile anafanya kazi White House, amekosa kabisa maadili ya watu wanaosaidia watu wa Mungu. anajipangia tu muda wa watu na siku za kwenda ofisini kwake bila kujali kwamba hao watu wanatoka mikoani, au dar! Hata Dar yenewewe ina foleni, unapowaambia watu wafike Benjamini Mkapa saa moja kamili anafikiria nini? Na hata ukimwambia kwamba unatoka mbali hajali, atakupa jibu la karaha.

Last week wisemen from SCOAN- Nigeria walikuja Diamond Jubilee. Huyo dada aliadhirika sana kwa kiburi chake, kwa maana matendo yake na tabia zake ni tofauti sana na watu wa SCOAN kutoka Nigeria. hakuwapaa watz taarifa za kutosha madhumuni ya safari yao. Hili lilileta usumbufu mkubwa sana. Waliokuwepo Diamon Jubilee ni mashahidi zangu.

nasikia amesusa kuuza maji baada ya kuona kwamba watu wamemsemea,
Typical of Tanzanians behavior, sasa kazi ni yako unasusa nini?
Unamsusia nani?
Kwa nini uliikubali? Kama hutaki si uache?

Kwa kweli huyo dada, ni janga la taifa.

mmh, kama anafanya hayo huyo hamjui mungu anahitaji deliverence kwanza, tb joshua hafundishi hivyo, nasema usipende kusujudiwa bali mungu ndo wa kusujudiwa, na hayo ayafanyayo sio kwa uwezo wake bali uwezo wa mungu
 
Yaani watu mnataka mnyenyekewe hata kwenye masuala ya kiroho? Embu tubu umuombee acha kulalama kama mjane alozulumiwa urithi wa mumewe
acha imani haba angetubu ibrahim unafikir leo hii angekuwa baba wa imani kuna mambo mengine unatakiwa utamke ili usonge mbele ukiona giza ubnatoka kama ibrahim alivyoondoka akamwacha mzee tera na sasa ni mshindi wa washindi baba wa imani ...so kuna wapendwa wanaitaji kuhubiriwa kwanza yaliyom ndio wabadilike nenda kanisan kwako jiulize wazinzi wangapi nakila siku wanashikwa na mchungaji wenu kichwa kuombewa ..... so mengine sio lazima ushikwe kichwa na mchungaji unaitaji kutamkiwa neno ili uotke hapo na shida zako za ulevi uzinzi nk....(sio wewe) washarika
 
mmh, kama anafanya hayo huyo hamjui mungu anahitaji deliverence kwanza, tb joshua hafundishi hivyo, nasema usipende kusujudiwa bali mungu ndo wa kusujudiwa, na hayo ayafanyayo sio kwa uwezo wake bali uwezo wa mungu

''no deliverance no forgiveness'' by tb joshua
 
ndugu wa jf
nadhani si busara sana kumshambulia martha kaaya as a person kwani kila mtu anaudhaifu wake katika eneo moja ama jingine.hata hivyo ni vyema labda mama martha ajichunguze kiroho kwani yamkini naye anahitaji deliverance kutoka katika hasira kali kama wale anaowasaidia kwenda scoan.kwa upande wa pili napenda kuwashauri/kuwaarifu ndugu wanaopenda kwenda scoan kwamba si lazima wapitie kwa madam martha kwenda scoan kwani inakugharimu zaidi kwa kupitia kwake kuliko kwenda wewe mwenyewe.
mfano
sno
jinsi ya kwenda scoan
air ticket
ticket price
chakula na malazi kwa siku 5
1
kwenda mwenyewe
lipa mwenyewe
ethiopia air maximum usd 600 (ukinunua online)
kulipa mwenyewe maximum usd 300
2
kupitia kwa martha
unamlipa martha
usd 900
kulipa through martha usd 800
mbali na ughali wa kwenda scoan kupitia kwa martha lakini kuna huduma nyingi utazipa pale scoan kama utaenda kupitia kwa coordinator madam martha mfano huduma/maombi na ushauri kutoka kwa wisemen na t.b joshua hata muda ambao si wa ibada.kwa wale wanaotaka kwenda wenyewe naweza kuwaongoza (for free) jinsi ya kwenda scoan (i.e. Jinsi ya kupata visa, online ticket na book hotel karibu na scoan nk).

Ahsante

mzalendo ni kweli kabisa hata mimi nimesema hili kabla ila ni vyema ukaawawekea njia mbadala kuliko figure pekeyake maana hata baibo inasema mavuno ni mengi watenda kazi wachache naona wameanza kuvuna kupitia tb joshua kwa kweli kumnyima mtu maji ya kiroho ni kumnyima uponyaji naitaji kuona dada martha anabadilika kama kweli linafanyika ...kingine iwekwe wazi ni sh ngapi hayo maji yakitokea lagos na bei anayouza martha na tuambiwe tofauti ya feki na origin wasijeingia dhambini wananunuaji kwa imani zao....kumbe yamefunikwa kiwanda cha nani...pale changombe na kushindwa kupata uponyaji ..tunaitaji mwenye uwezo wa kuyapata toka lagos bila zengwe atujulishe jamani yana nguvu si kuchezea
 
Ndio Matatizo yetu watanzania.
Customer care 0%.
Mtu ukihitaji kupata huduma kwa utaratibu na kuhudumiwa kama mteja, eti unadai kunyenyekewa!
We Tanzanians!
We need our heads examined.
What is wrong with us?
Yaani kupata huduma nzuri ni favor?
No wonder Masaburi alisema tunafikria kuwa kutumia makaliao.

Umenikumbusha mwaka 1994 nilisafiri kwa British Airways kutoka Dar kwenda London, kuna jamaa mmoja aliona zile huduma za kawaida zinazotolewa na wahudumu ndani ya ndege kama ni zaidi ya huduma, akifikiri huyo mdada alikuwa amemzimikia kumbe lah! akaanza kumshika shika na kumtongoza matokeo yake tuliposhuka Heathrow alikamatwa na maofisa usalama na kushtakiwa kwa kosa la sexula harassment.
Baadhi ya watanzania hatujui maana ya customer care na kwamba hatustahili kuipata na ukiipata unadhani ni favour. Tumezoea mshike mshike na ndio maana huyo Martha anaendeleza upuuzi huo. Kupata suluhisho la tatizo hilo ni kuwashauri SCOAN wampatie mafunzo ya customer care au la sivyo uwakilishwi huo apewe mtu aliyekata shauri kwani Mungu ndiye atakaye muongoza katika kuifanya kazi hiyo.
 
Siku za hizi karibuni tumeshuhudia watanzania wengi wakijitahidi kwenda kwa Mchungaji T.B. Joshua, wa SCOAN Nigeria kwa maombezi. Hiki kinachotokea kwa sasa ni kielelezo tosha kwamba watu wengi wana mahangaiko makubwa sana na wangependa kumrudia Mungu wao kwa Uponyaji.

Naomba nizungumzie tabia za kukera za Coordinator wa SCOAN hapa Tanzania, Martha. Huyu dada ni kiburi sana, anamajidai, hajali watu, anajibu jeuri, na ku treat watu wazima kama vile wanafunzi wa sekondari. Huyu dada amejisahau, anaona kama vile anafanya kazi White House, amekosa kabisa maadili ya watu wanaosaidia watu wa Mungu. anajipangia tu muda wa watu na siku za kwenda ofisini kwake bila kujali kwamba hao watu wanatoka mikoani, au dar! Hata Dar yenewewe ina foleni, unapowaambia watu wafike Benjamini Mkapa saa moja kamili anafikiria nini? Na hata ukimwambia kwamba unatoka mbali hajali, atakupa jibu la karaha.

Last week wisemen from SCOAN- Nigeria walikuja Diamond Jubilee. Huyo dada aliadhirika sana kwa kiburi chake, kwa maana matendo yake na tabia zake ni tofauti sana na watu wa SCOAN kutoka Nigeria. hakuwapaa watz taarifa za kutosha madhumuni ya safari yao. Hili lilileta usumbufu mkubwa sana. Waliokuwepo Diamon Jubilee ni mashahidi zangu.

nasikia amesusa kuuza maji baada ya kuona kwamba watu wamemsemea,
Typical of Tanzanians behavior, sasa kazi ni yako unasusa nini?
Unamsusia nani?
Kwa nini uliikubali? Kama hutaki si uache?

Kwa kweli huyo dada, ni janga la taifa.

Hivi hayo maji si hayatakiwi kuuzwa au?
 
Si rahisi kutengeneza Annointed water fake, zile za kutoka SCOAN zina Seal ambayo si rahisi kuiforge.Nikipata Muda nitapiga picha ya Annointed water Halisi.Annointed water pale SCOAN zinapatika 3 kwa USD 100 (Naira 15000) kwa hiyo Martha anawapatia bei sahihi
mzalendo ni kweli kabisa hata mimi nimesema hili kabla ila ni vyema ukaawawekea njia mbadala kuliko figure pekeyake maana hata baibo inasema mavuno ni mengi watenda kazi wachache naona wameanza kuvuna kupitia tb joshua kwa kweli kumnyima mtu maji ya kiroho ni kumnyima uponyaji naitaji kuona dada martha anabadilika kama kweli linafanyika ...kingine iwekwe wazi ni sh ngapi hayo maji yakitokea lagos na bei anayouza martha na tuambiwe tofauti ya feki na origin wasijeingia dhambini wananunuaji kwa imani zao....kumbe yamefunikwa kiwanda cha nani...pale changombe na kushindwa kupata uponyaji ..tunaitaji mwenye uwezo wa kuyapata toka lagos bila zengwe atujulishe jamani yana nguvu si kuchezea
 
Tatizo lako unachanganya mambo ya kiroho na unataka yaendeshwe kwa ustaarabu wa kidunia. Ulimwengu wa roho ni halisi na si huu wa dunia hii. Unachodemand hakina hata u husiano na Mungu kukuhudumia wewe.Why are you fighting Marther as if God has failed to attend you because of her poor customer care as you are calling it! Eti Tanzanian mentality! Dont you know that there is only ONE TRUE UNCHANGING AND UNLIMITED GOD IN THE WORLD AND HEAVENS? Usishangae unashindwa kupokea kutoka kwa Mungu kwa ajili ya kiburi chako na wala si kwa ajili ya customer care mbaya ya Martha.Mungu hafuati ustaarabu wenu wa kidunia.Angalia Naaman mtu maarufu alipona ukoma kwa kujichovya katika mto Jordan. Hakuangalia mito ya kwao ina uzuri gani kunzidi mto Jordan na hakuona kama mto Jordan haukuwa wa hadhi yake. Unashangaza unaposema Mentality za kitanzania et ili uonyeshe utaaluma unyenyekewe hadi kwenye shida zako za kiroho!. Hilo lisahau!. Kwa Mungu hakuna hiyo! Wewe ndiiye unatakiwa kunyenyekea na kutii vile Mungu anakuagiza ufanye. (2KINGS 5: 1 - 14)Kumshambulia Martha ni dalili za wazi za ushamba wa kiroho.
kwa maneno haya ndipo huwa nashindwa elewa mwaabudu nini enyi watu ,nafikiri kitendo cha lile jina tu la SCOAN tayari imesharepresent ile ministry na tunatakiwa iwe treared as all over the world kumtetea huyu dada japo siamini mimaji na mistica hiyo ni ujinga mtupu ,huyu dada anatakiwa a behave hevenly angel nakupresent Yesu kristo na kuwa mfano bora wakuigwa kwa kila amtazamaye nashindwa elewa mwasoma biblia gani ,hata yule mwimbaji alisema wale watu walipomtizama PETRO walijua ni mwanafunzi wa yesu ,kunena ,kutembea na vingine vingi je huyu so called martha anampresent bwana anayemtumikia mentioned Yesu,kunena kwake ,matendo yake je ana uwezo wakuwanawisha watu maskini miguu kama yesu? wacheni bwana mtoa mada ana haki yakulalamika na an bahati sana kama ni mimi namchamba huyo martha live alafu natafuta ustaarabu mwingine wakufika huko nigeria.watu wanamwaibisha Mungu wewe unatetea??
 
Mimi ninachokiona hapa ni levels mbali mbali za Ukristo na namna upagani unavyosimikwa makanisani kwa mafundisho njiti.
 
Mbona hii nikama habari ya Yesu na yule ndugu mwenye kupooza kwa miaka 38 pale kwenye birika akisubiri malaika atibue maji kisha aingie lakini kila mara wenzake wanawahi.Sasa mtoa miujiza mwenyewe amesimama mbele yake anamuhoji ndugu unataka nikusaidie nini? anaanza kutoa malalamiko ya jinsi wenzake walikuwa wakimuwahi kwa miaka yote 38.
Mimi namwamini Yesu anauwezo wa kushughulikia matatizo yako bila third au pia kwa kutumia third party people ambao ni watumishi wa Mungu so my concern hapa ni kwamba tusiijenge imani yetu kwa watumishi wa Mungu bali kwa Yesu mwenyewe mtumishi ni mwanadamu anaweza kufa then ndiyo uwe mwisho wa imani yetu?

Hebu tujifunze toka kwa huyu ndugu

The centurion answered and said, Lord, I am not worthy that thou shouldest come under my roof: but speak the word only, and my servant shall be healed.


8:5-13 This centurion was a heathen, a Roman soldier. Though he was a soldier, yet he was a godly man. No man's calling or place will be an excuse for unbelief and sin. See how he states his servant's case. We should concern ourselves for the souls of our children and servants, who are spiritually sick, who feel not spiritual evils, who know not that which is spiritually good; and we should bring them to Christ by faith and prayers. Observe his self-abasement. Humble souls are made more humble by Christ's gracious dealings with them. Observe his great faith. The more diffident we are of ourselves, the stronger will be our confidence in Christ. Herein the centurion owns him to have Divine power, and a full command of all the creatures and powers of nature, as a master over his servants. Such servants we all should be to God; we must go and come, according to the directions of his word and the disposals of his providence. But when the Son of man comes he finds little faith, therefore he finds little fruit. An outward profession may cause us to be called children of the kingdom; but if we rest in that, and have nothing else to show, we shall be cast out. The servant got a cure of his disease, and the master got the approval of his faith. What was said to him, is said to all, Believe, and ye shall receive; only believe. See the power of Christ, and the power of faith. The healing of our souls is at once the effect and evidence of our interest in the blood of Christ.
 
Back
Top Bottom