Coordinator wa SCOAN Tanzania

Coordinator wa SCOAN Tanzania

Si wa kwanza au wa pili kuzungumzia kiburi cha Martha.
 
Siku za hizi karibuni tumeshuhudia watanzania wengi wakijitahidi kwenda kwa Mchungaji T.B. Joshua, wa SCOAN Nigeria kwa maombezi. Hiki kinachotokea kwa sasa ni kielelezo tosha kwamba watu wengi wana mahangaiko makubwa sana na wangependa kumrudia Mungu wao kwa Uponyaji.

Naomba nizungumzie tabia za kukera za Coordinator wa SCOAN hapa Tanzania, Martha. Huyu dada ni kiburi sana, anamajidai, hajali watu, anajibu jeuri, na ku treat watu wazima kama vile wanafunzi wa sekondari. Huyu dada amejisahau, anaona kama vile anafanya kazi White House, amekosa kabisa maadili ya watu wanaosaidia watu wa Mungu.

Last week wafanyakazi wa SCOAN walikuja Diamond Jubilee. Huyo dada aliadhirika sana kwa kiburi chake, ni tofauti sana na watu wa SCOAN kutoka Nigeria.

Kwa kweli huyo dada, ni janga la taifa.

Tabia yaMatha imebeba nini kipo kwenye huduma hiyo ambayo imekuwa inakumbatiwa na matajiri na watu wanaotafuta madaraka!!!

Nakushauri umutafute YESU badala ya Kumutafuta Matha au Kwenda Kwa TB Joshua!!!
Epuka Matapeli !!!!!!
 
dini za siku hizi balaaa, huwa nacheka sana matangazo ya dini siku hizi, utasikia je umezidiwa na madeni? Njoo mlima wa moto/baraka ili ufunguliwe, anayekudai ikikuona tu hakudai tena, sasa hii ni dini au wizi? Dawa ya deni ni kulipa tu sio kukwepa
aaaaahaha khaaa hili la deni sijawai kusikia
 
Tabia yaMatha imebeba nini kipo kwenye huduma hiyo ambayo imekuwa inakumbatiwa na matajiri na watu wanaotafuta madaraka!!!

Nakushauri umutafute YESU badala ya Kumutafuta Matha au Kwenda Kwa TB Joshua!!!
Epuka Matapeli !!!!!!
KING COBRA: dunia ina mihangaiko mingi sana.
Unakumbuka tukivyopanga foleni kwa Babu Loliondo hadi wengine wakafia kwenye foleni?
 
Last edited by a moderator:
yaani watu mnataka mnyenyekewe hata kwenye masuala ya kiroho? Embu tubu umuombee acha kulalama kama mjane alozulumiwa urithi wa mumewe
huna lugha nzuri ya kuchangia hoja? Ni bora basi kukaa kimya
 
[/B][/I]makubwa! sikujua kwamba, just because nina shida, niwe tayari kunyanyaswa na Martha.Msalimie sana Martha.This is Tanzanians philosophy!Nimekuelewa Mkuu, nitaendelea kunyanyaswa kwa imani ya 15th century.Does it make you and Martha happy?
Nadhani tuishie hapa!. Nenda kwenye dini yako watakuambia njia nzuri ya kumpata Mungu na huduma zake kwa taratibu na masharti unayopenda. Ninakuelewa. Na wala hulazimishwi kufuata mafundisho ya imani yoyote. Kama unamjuma mungu mbadala wa wa Kizazi kipya unaweza kuabudu na kufanya vile mnavyokubaliana naye. Hulazimishwi.Mimi nimeshasema ya kwangu. Unaweza kusema lolot lile utakalo. All in all this is the least of what I expected from the beginning. Kwa hiyo, Sumbawanga unaweza kuendelea na malumbano yako ya imani-utamaduni sijui, kwa vyoyote vile upendavyo. Ila mimi sasa sitakuwepo tena, nina business zingine. Usku mwema. ILA FAHAMU KWAMBA MKONO WA MUNGU HAUZUILIWI WALA KUVUTWA NA CUSTOMER CARE. ILA KAMA HAUHITAJI HUDUMA ZA SCOAN, AMA UNAONA KWAMBA MARTHA ANAPUNGUZA THAMANI NA NGUVU YA MUNGU KUPITIA HUDUMA HIYO, UNAWEZA KWENDA KUPITIA MLANGO MWINGINE AMBAKO WATAKUHESHIMU NA KWA HESHIMA HIYO YA KARNE HII MUNGU AKUJIBU MAHITAJI YAKO.UTAKAPOKUWAA TAYARI KUFUATA MISINGI YA KIROHO KWA MAMBO YA KIROHTO, UTAENENDA KIROHO. LAKINI KAMA UNAONA NI AFADHALI UFE NA SHIDA ZAKO KWA KUWA SCOAN HAWAKUNYENYEKEI, HUO NI UAMUZI WAKO. CALL ME ANY NAME YOU WANT! KATIKA MASUALA YA ROHONI WALA USIDHANI UTANIUMIZA ZAID YA KUJISUMBUA NA KUJICHELEWESHA WEWE MWENYEWE!.GUD NIGHT NA KWA HERI!
 
Tatizo lako unachanganya mambo ya kiroho na unataka yaendeshwe kwa ustaarabu wa kidunia. Ulimwengu wa roho ni halisi na si huu wa dunia hii. Unachodemand hakina hata u husiano na Mungu kukuhudumia wewe.Why are you fighting Marther as if God has failed to attend you because of her poor customer care as you are calling it! Eti Tanzanian mentality! Dont you know that there is only ONE TRUE UNCHANGING AND UNLIMITED GOD IN THE WORLD AND HEAVENS? Usishangae unashindwa kupokea kutoka kwa Mungu kwa ajili ya kiburi chako na wala si kwa ajili ya customer care mbaya ya Martha.Mungu hafuati ustaarabu wenu wa kidunia.Angalia Naaman mtu maarufu alipona ukoma kwa kujichovya katika mto Jordan. Hakuangalia mito ya kwao ina uzuri gani kunzidi mto Jordan na hakuona kama mto Jordan haukuwa wa hadhi yake. Unashangaza unaposema Mentality za kitanzania et ili uonyeshe utaaluma unyenyekewe hadi kwenye shida zako za kiroho!. Hilo lisahau!. Kwa Mungu hakuna hiyo! Wewe ndiiye unatakiwa kunyenyekea na kutii vile Mungu anakuagiza ufanye. (2KINGS 5: 1 - 14)Kumshambulia Martha ni dalili za wazi za ushamba wa kiroho.

Mungu akubariki mtumishi kwa neno zuri.

LET LOVE LEAD.
 
Wewe Tabby haya maneno yanakuuma. una kiburi na umefilisika km unadhani unatoa huduma bora. na question kiwango chako cha kiroho. umeomba leo asubuhi?
Mimi pia sikupenda huduma zenu na aliyenituma nikamwambia aende mwenyewe ofisini kwenu. shame on you maana mnamuaibisha TB Joshua. badilikeni.
 
Back
Top Bottom