Kelvin X
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 1,931
- 2,367
Black marketKwa hapa bongo zinapatikana wapi mkuu
Black marketKwa hapa bongo zinapatikana wapi mkuu
stim ni pale pale tu tena likianza unakuwa unataka kula tu.Kwa hiyo bhange ikipikwa bado inalewesha?
Nakumbuka kuna demu alilishwa bila kujua,basi stimu zilipokuja alikula chipsi yai sahani nne peke yakestim ni pale pale tu tena likianza unakuwa unataka kula tu.
hii kitu hatari kwenye mambo ya kuleta appetite iko vizuriNakumbuka kuna demu alilishwa bila kujua,basi stimu zilipokuja alikula chipsi yai sahani nne peke yake
hii mapishi yake poa sana ngoja kuna video links moja nitafute alafu nitume kuna huyo bibi hatari yupo Italy anapika hizi mambo #Sasa cha arusha kinahitajika pia kwenye mapishi hayo?
hii mapishi yake poa sana ngoja kuna video links moja nitafute alafu nitume kuna huyo bibi hatari yupo Italy anapika hizi mambo #
dah vitu vizuri hivyoKwenye house party tunazila sana tu
yeapSasa marijuana ndo moja ya ingredients zake?
Tengeneza alafu uza, uone kitakacho kukutaAcha kuropoka usiyo yajua!
Mkuu umenitamanisha hayo makeki ya herbsyeap
kwani utajua kama ni herb cakesTengeneza alafu uza, uone kitakacho kukuta
hahahaa wataalam!Zipo,kibongobongo wanakula wakishua zaidi,shida ya stimu ya edibles ni kwamba haiji gradualy/kidogkidogo kama stimu ya kuvuta,stimu yake inakuja yote kwa wakati mmoja,gafla,unaweza kaa hata lisaa limoja usihisi kitu,mara paap!!, ikija inakuja yoote.kama sio mzoefu unaweza pagawa
Sasa marijuana ndo moja ya ingredients zake?
Habari wana jf
katika maisha yangu ya kujichanganya na wapishi na kufatilia makala ya wapishi nimepita sehemu mmoja nikakuta hizi cookies za bangi /cannabis sasa nikawa najiuliza hapa kwetu bongo kuna wapishi wa mambo kama hizi kweli. View attachment 595874View attachment 595875View attachment 595876Hizi zipo pia unaweza kutengeneza mwenyewe nyumbani