elixer of life
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 612
- 596
Habari wana jf
katika maisha yangu ya kujichanganya na wapishi na kufatilia makala ya wapishi nimepita sehemu mmoja nikakuta hizi cookies za bangi /cannabis sasa nikawa najiuliza hapa kwetu bongo kuna wapishi wa mambo kama hizi kweli.
katika maisha yangu ya kujichanganya na wapishi na kufatilia makala ya wapishi nimepita sehemu mmoja nikakuta hizi cookies za bangi /cannabis sasa nikawa najiuliza hapa kwetu bongo kuna wapishi wa mambo kama hizi kweli.