<p>
<p> </p>
</p>WanaJF salamu!</p>
<p>Wakati mwingine tunalazimika kusema ama kuchangia pale tunapoona wengine wanamtizamo sawa na maono sawa nasisi! Bila kuzunguka, ukweli uliopo katika ulimengu wa kiroho (kwa waombaji), mabomu ya gongo la mboto na mbagala ni vita tu vya kiroho! Kuna ndugu mmoja amesema aliona kimondo kikishuka kutoka juu then after mabomu ndo yalianza kulipuka! Imekaa hivi:-</p>
<p>1. Sasa hivi tuko katika ulimwengu ambao hauendani kabisa na matakwa ya Mungu zaidi ya kutafuta masilahi ya mtu binafisi na kuwa busy na maisha ya dunia! Wakati mwingine Mungu anatukumbusha lakini hatuwi wepesi kuelewa! Mimi nimejifunza kitu kimoja ktika hili tukio kila wakati tunapaswa kuwa watakatifu na tayari kwa lolote! Ungefikiria kwa undani mama aliyefariki amelala kwake ndani alijua hayo? think this, what could be if you could be you!!!!</p>
<p>2. shetani anataka kuliingiza taifa katika vita (uchochezi) wengine wanajaribu kulinganisha na nchi ya Misri, sivyo kabisa Mungu anataka kuiokoa misri kutoka mikono ya misimao mikali ya kiislamu na kuiingiza katika ulimwengu wa wokovu! Sasa sisi kila kukicha jaziba zinazidi! Shetani anatumia sana wenye madaraka the same time akichochoea na huku chini ili moto uwake na ukiwaka hakuna atakaye uzima! Kama ulikuwa na nyumba na magari au uko university utaenda kupumzikia mpkani mwa Rwanda na TZ na mali zako zote ndo zitakuwa zimekwisha kupotea! Think the Gold is GOD you cant lost it even if you will run away from your home!</p>
<p>3. Dhambi ya zinaa imezidi sana Tanzania na ufisadi! hakuna hofu ya mungu! Mungu anachukizwa sana na watu wanaonyanyasa watu wengine pamoja uasherati zinaa mbaya, ngono mbaya imeuharibu mji wetu!</p>
<p> </p>
<p>MAMBOMU</p>
<p>shetani sasa anatumia mianya ya mafisadi na uongozi mbaya kuiharibu nchi! Na nikupe siri hayo yakitokea hata Mungu hatawaacha watu wake wafe! Hakiki mwenyewe, wengine wamekufa vifo vya kusikisha sana lakini wakati huohuo wengine wameangukiwa na mabomu ndani ya nyumba zao na hayakulipuka? (why?? what is the motive behind??) Mungu hawezi kuwaacha watakatifu wake wafe ovyoovyo hata pale anapokuwa amemruhusu shetani kumjaribu Yesu! yeye atatetea na kusimamia! </p>
<p> </p>
<p>ANGALIZO</p>
<p>Kwa waombaji naomba sana tuendelee kuibeba nchi katika maombi na kwamba yapo mengine zaidi yanakuja yakiwemo majanga ya asili! Tunachotakiwa kufanya ni kuwa tayari kwa lolote! BE THE TRUTH, BE DEVINE ALL THE TIME AND WAIT THE DAY THAT GOD HAS MADE FOR YOU TO BE IN THE HEAVEN. GOD BLESS</p>
<p>MBARIKIWE
<p> </p>