Inawezekana kabisa kuwa hii milipuko ya mambomu tokea Mbagala hadi Gongo la Mboto ni ususi wa Chadema,ieleweke tu Chama hiki kimeikalia vibaya sana Tanzania ,wapo tayari kwa lolote ,tumeona kule Arusha.
Nina wasiwasi mkubwa na watu wa Chama hiki maana baada ya mlipuko tu wamerukia eti baadhi ya viongozi wajiuzulu,nashauri hawa wakuu wa CDM waitwe na kuhojiwa kuhusiana na habari walizozitoa. Lazima watakuwa wana jambo wanalijua.
Usalama wa Taifa hili la Tanzania ni lazima wawadhibiti na kuratibu mienendo ya wakuu wa CDM,isije kuwa wanasabotage ili kuidhalilisha serikali na kutoa picha mbaya.
sure nakuapia hata wengi wanaoondoka sasa hivi kwenda abroad hawatarudi tena...pana boa sana sasa hiviThere is no conspiracy in what has happened at Gongolamboto, what happened in Mbagala, the sinking of the ship in Lake Victoria, the train that derailed in Dodoma, cholera in Dar, etc. We are going to witness even more calamities. It is part of Tanzania's wider picture.
Tanzania today is a lawlessness place. We have developed a habit of negligence. We don't like to obey laws set by ourselves through members of parliament or follow rules and regulations on how certain things should be done. We do things the way we like. I can bet that what set off those bombs was negligence.
Until such time when Tanzanians learn to do things the way they are supposed to be done we will see more calamities, not in only in the form of bombs. We need to live by following laws, rules and regulations. No one should be above the law. Drive in Dar and you will see how chaotic it is. Motorists do not follow any of the known traffic laws - they overtake on the right and on the left. If you drive upcountry Traffic Police will only stop you and ask for a bribe or ask you to pay a fine if you are an ordinary citizen. Government vehicles, army vehicles, those owned by members of parliament, etc. are exempted!!!! That is the fallacy of our laws in Tanzania. Laws, rules and regulations are for the downtrodden only.
We must blame our leaders. Past and presnet for the problems we are experiencing. Their laissez-faire attitude is costing our country. slowly it is becoming a country most of us would not like to live in. We would like to go and live in other countries where people live in a civilized manner. Let us save this country and make it a nice place to live in.
Hili CDM wanaliweza,hiki chama sio cha siasa tena ,halafu jambo hilo linawezekana kabisa ,nafikiri kutokana na maandamano wanayoyatarisha kuiondoa CCM madarakani itakuwa ndio wameanza vita vya chini chini ,kuharibu na kubomoa pamoja na kuyaangamiza maghala ya silaha ,ili watakapohakikisha kuwa wamelipua silaha zote waanze kuingia mabarabarani ,na kuiondoa CCM kirahisi,huwezi kujua.Hahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa............................kweli wewe mwiba butu!!!!!.......yaani wewe ni sawa na waislamu na makamba waliofurahia vifo vya kule arusha.......kweli mafisadi wapo kila pembe ya nchi
Inawezekana kabisa kuwa hii milipuko ya mambomu tokea Mbagala hadi Gongo la Mboto ni ususi wa Chadema,ieleweke tu Chama hiki kimeikalia vibaya sana Tanzania ,wapo tayari kwa lolote ,tumeona kule Arusha.
Nina wasiwasi mkubwa na watu wa Chama hiki maana baada ya mlipuko tu wamerukia eti baadhi ya viongozi wajiuzulu,nashauri hawa wakuu wa CDM waitwe na kuhojiwa kuhusiana na habari walizozitoa. Lazima watakuwa wana jambo wanalijua.
Usalama wa Taifa hili la Tanzania ni lazima wawadhibiti na kuratibu mienendo ya wakuu wa CDM,isije kuwa wanasabotage ili kuidhalilisha serikali na kutoa picha mbaya.
Nashindwa kuelewa kama kweli haya mabomu yanalipuka yenyewe or there is a conspiracy behind? Hivi macomrade inawaingia akilini kweli kwamba haya mabomu yanalipuka yenyewe tuu? Then where next, is it Lugalo, Kunduchi or,.....?
Na nini justification yake.
We should ask ourselves twice about this.
Last time yale ya Mbagala tukajulishwa ni accident tuu hivyo hali hiyo haitojirudia tena, yako wapi waliyoahidi sasa? Nani awajibishwe?
Wanajamii, naomba kuwasilisha.:bump:
Hahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa............................kweli wewe mwiba butu!!!!!.......yaani wewe ni sawa na waislamu na makamba waliofurahia vifo vya kule arusha.......kweli mafisadi wapo kila pembe ya nchi
Kutokana na mataifa mengi kwa sasa kukumbwa na maandamano ya kuondoa watawala dhalimu na wala rushwa kama Kikwete, nina uhakika wameamua kulipua mabomu ili mawazo ya watanzania yaelekee kwenye hii current issue ya mabomu na kunyamazisha njama zote za maandamano dhidi ya serkali ya kikwete.
Serikali ya CCM hana uchungu watanzania lolote linawezekana na watatoa takwimu za uongo hata kama wamekufa wengi.
RIP wahanga wote wa mtego huu ambao umeenda mrama na kuua watanzania wasio na hatia.
si sahihi sana kuwaza hivyo kwa sasa,nadhani ni mapema mno kufikiri hivyo kwa kua serikali ni watu siamini km wanaweza kutumia mfumo wa aina hii kupindisha mambo! Nadhani we 'great thinkers' tuoneshe ukomavu wetu katika hili!
...watanzania tusiendelee kuwa wapumbavu,hapa tulipofikia aje mtu hapa na uthibitisho wa jambo lolote lenye maslahi kwa taifa ambalo sisi tumeonesha UMAKINI iwe ni kwa mtu mmoja mmoja au sisi kama watanzania!!!Nashindwa kuelewa kama kweli haya mabomu yanalipuka yenyewe or there is a conspiracy behind? Hivi macomrade inawaingia akilini kweli kwamba haya mabomu yanalipuka yenyewe tuu? Then where next, is it Lugalo, Kunduchi or,.....?
Na nini justification yake.
We should ask ourselves twice about this.
Last time yale ya Mbagala tukajulishwa ni accident tuu hivyo hali hiyo haitojirudia tena, yako wapi waliyoahidi sasa? Nani awajibishwe?
Wanajamii, naomba kuwasilisha.:bump:
You have spoken my mind!! Thats the results of allowing politics of greedy and selfish politicians to override intellectual and expert opinions.There is no conspiracy in what has happened at Gongolamboto, what happened in Mbagala, the sinking of the ship in Lake Victoria, the train that derailed in Dodoma, cholera in Dar, etc. We are going to witness even more calamities. It is part of Tanzania's wider picture.
Tanzania today is a lawlessness place. We have developed a habit of negligence. We don't like to obey laws set by ourselves through members of parliament or follow rules and regulations on how certain things should be done. We do things the way we like. I can bet that what set off those bombs was negligence.
Until such time when Tanzanians learn to do things the way they are supposed to be done we will see more calamities, not in only in the form of bombs. We need to live by following laws, rules and regulations. No one should be above the law. Drive in Dar and you will see how chaotic it is. Motorists do not follow any of the known traffic laws - they overtake on the right and on the left. If you drive upcountry Traffic Police will only stop you and ask for a bribe or ask you to pay a fine if you are an ordinary citizen. Government vehicles, army vehicles, those owned by members of parliament, etc. are exempted!!!! That is the fallacy of our laws in Tanzania. Laws, rules and regulations are for the downtrodden only.
We must blame our leaders. Past and presnet for the problems we are experiencing. Their laissez-faire attitude is costing our country. slowly it is becoming a country most of us would not like to live in. We would like to go and live in other countries where people live in a civilized manner. Let us save this country and make it a nice place to live in.
inawezekana kabisa kuwa hii milipuko ya mambomu tokea mbagala hadi gongo la mboto ni ususi wa chadema,ieleweke tu chama hiki kimeikalia vibaya sana tanzania ,wapo tayari kwa lolote ,tumeona kule arusha.
Nina wasiwasi mkubwa na watu wa chama hiki maana baada ya mlipuko tu wamerukia eti baadhi ya viongozi wajiuzulu,nashauri hawa wakuu wa cdm waitwe na kuhojiwa kuhusiana na habari walizozitoa. Lazima watakuwa wana jambo wanalijua.
Usalama wa taifa hili la tanzania ni lazima wawadhibiti na kuratibu mienendo ya wakuu wa cdm,isije kuwa wanasabotage ili kuidhalilisha serikali na kutoa picha mbaya.
MIMI ninajamaa yangu mwanajeshi cheo chake si kikubwa ni captain, baada ya kumuhoji kuhusiana na suala hili, alichonieleza ni kuwa mizinga na mabomu yanagharama ktk kuyaifadhi, maana mara nyingi mabomu na mizinga maghala yake uwa chini ya ardhi hivyo ili ku control joto la huko chini lisiathiri mabomu na kupelekea kulipuka kuna mifumo ya hewa utengenezwa kupooza hewa iwe ktk hali ambayo haitoathiri mabomu hayo. Sasa akabainisha kuwa UFISADI mkubwa sana JESHINI na kwa kuwa si AG wala PCCB wanaoruhusiwa kuwafanyia uchunguzi au Audit basi wakubwa jeshini wametengeneza mtandao wa kuchakachua, pia Wateule wa Rais Gen. Mwamunyange na Shimbo wamepewa hizo nafasi kwa uswahiba na Mkuu wa nchi na si kwa ueledi wao jeshini kumepelekea jamaa hao kuwa na mtandao wao wa kuchaachua hivyo. Sasa uchakachuaji huo hauangalii kuwa fedha hizi ni za kitu gani wao wanalamba tu. Sasa imefikia hadi fedha za uangalizi wa silaha mzito nazo zinachakachuliwa ndio matokeo yake ni milipuko kama tunayoiona leo na mwakajuzi kule mbagala. habari ndio hiyo
Inawezekana kabisa kuwa hii milipuko ya mambomu tokea Mbagala hadi Gongo la Mboto ni ususi wa Chadema,ieleweke tu Chama hiki kimeikalia vibaya sana Tanzania ,wapo tayari kwa lolote ,tumeona kule Arusha.
Nina wasiwasi mkubwa na watu wa Chama hiki maana baada ya mlipuko tu wamerukia eti baadhi ya viongozi wajiuzulu,nashauri hawa wakuu wa CDM waitwe na kuhojiwa kuhusiana na habari walizozitoa. Lazima watakuwa wana jambo wanalijua.
Usalama wa Taifa hili la Tanzania ni lazima wawadhibiti na kuratibu mienendo ya wakuu wa CDM,isije kuwa wanasabotage ili kuidhalilisha serikali na kutoa picha mbaya.
Ahahahahaaah!! Eti kazi ya chadema.Inawezekana kabisa kuwa hii milipuko ya mambomu tokea Mbagala hadi Gongo la Mboto ni ususi wa Chadema,ieleweke tu Chama hiki kimeikalia vibaya sana Tanzania ,wapo tayari kwa lolote ,tumeona kule Arusha.
Nina wasiwasi mkubwa na watu wa Chama hiki maana baada ya mlipuko tu wamerukia eti baadhi ya viongozi wajiuzulu,nashauri hawa wakuu wa CDM waitwe na kuhojiwa kuhusiana na habari walizozitoa. Lazima watakuwa wana jambo wanalijua.
Usalama wa Taifa hili la Tanzania ni lazima wawadhibiti na kuratibu mienendo ya wakuu wa CDM,isije kuwa wanasabotage ili kuidhalilisha serikali na kutoa picha mbaya.