Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,157
- 10,816
hata mimi nimeongea na jamaa yangu mjeshi kaniamabia kuna hali ya kinyongo miongoni wa wajeshi. hawamtaki shimbo na mwamnyange kwa sababu uteuzi wao ulizingatia uswaiba badala ya weledi. tena kasema kimsingi hao jamaa niliowataja hapo juu hawana sifa kwenye nafasi hizo ila mkuu kawapa kishikaji .
kweli kabisa, tatizo Kikwete naye lazima alinde nchi yake
wanajeshi wengine potentials kuwa kwenye ile position walikuwa threat kwa kikwete, leo hii pengine wangeisha mpindua
hata mimi ningekuwa JK ningefanya hivyo!! thats normal