Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,684
- 8,754
siku hizi sikuoni na utafiti, mmeliana nini?
hahahaha king bhana tuongee yetu nimekumiss sana u know
Last edited by a moderator:
siku hizi sikuoni na utafiti, mmeliana nini?
alikuwepo jana,
Last Activity Yesterday 06:41
kwanini umemuulizia?
ni ndugu yetu huyu lazima tufahamu....... asante sana
hizi ndio staili zakumtaka mtu....
Madame B anatakiwa aombwe msamaha kwa hili.
Hii mada ilileta mzozo afu umeirudisha tena,, sijaona sababu ya kuifufua tena unless kama unataka kusababisha mabishano na kushushiana hadhi.
kwani Madame B amepotelea wapi wakuu? nauliza tu
Acheni umbea nyie mods wanajua walicho kifanya na nilisha ripoti hii ishu
hizi ndio staili zakumtaka mtu....