Consolatha alipotelea wapi jamani?

Consolatha alipotelea wapi jamani?

Status
Not open for further replies.
Madame B anatakiwa aombwe msamaha kwa hili.

Hivi likud ni he au she?

Hii ID ya consolatha nakumbuka ilileta mtafaruku sana kwa madame b, kumbe si yeye kabisa masikini!
 
Last edited by a moderator:
Hivi likud ni he au she?

Hii ID ya consolatha nakumbuka ilileta mtafaruku sana kwa madame b, kumbe si yeye kabisa masikini!

@x kwanini umefufua mambo yaliyokufa huoni kwamba kuna heshima ya mtu fulani iliyoanza kurudi utaishusha?????????
 
Hii mada ilileta mzozo afu umeirudisha tena,, sijaona sababu ya kuifufua tena unless kama unataka kusababisha mabishano na kushushiana hadhi.
 
@x kwanini umefufua mambo yaliyokufa huoni kwamba kuna heshima ya mtu fulani iliyoanza kurudi utaishusha?????????

Kwani tuko hapa kulindana miss N?

wenzio tunataka ukweli wa mambo, kama LIKUD yupo, tunahitaji mwendelezo wa mada haswaa kwa sababu inafunza sana!
 
Last edited by a moderator:
Hii mada ilileta mzozo afu umeirudisha tena,, sijaona sababu ya kuifufua tena unless kama unataka kusababisha mabishano na kushushiana hadhi.

Mkuu sina maana hiyo hata kidogo, kipindi hii mada inajadiliwa, mimi sikuipata vizuri sababu ya kuwa na mishe mishe kibao,

Yani hata kuipata kwake imekuwa kazi sana, nimetumia search engine ku-relate sana na JF mpaka nikaiona.

Samahani kama nimekukera.
 
Mkuu sina maana hiyo hata kidogo, kipindi hii mada inajadiliwa, mimi sikuipata vizuri sababu ya kuwa na mishe mishe kibao,

Yani hata kuipata kwake imekuwa kazi sana, nimetumia search engine ku-relate sana na JF mpaka nikaiona.

Samahani kama nimekukera.

Hujanikela,,,,, ok nimekuelewa.
 
Kwani tuko hapa kulindana miss N?

wenzio tunataka ukweli wa mambo, kama LIKUD yupo, tunahitaji mwendelezo wa mada haswaa kwa sababu inafunza sana!
sijaona umuhimu wowote wa kuifufua hii mada labda uniambie unataka kujifunza nini cha muhimu
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom