Consolatha alipotelea wapi jamani?

Consolatha alipotelea wapi jamani?

Status
Not open for further replies.

excel

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
22,434
Reaction score
17,861
wakuu, habari za jioni? kama mtakuwa na kumbukumbu vizuri, mtakumbuka kuwa kulikuwa na huyu bidada aliyeitwa consolatha hapa JF, alikuja moja kwa moja kutueleza juu ya usagaji, jinsi alivyoingia, madhara yake na alivyotoka.

Wakuu binafsi ile mada ilinipotea bila kuimaliza vizuri kwa sababu ilihamishiwa jukwaa ambalo sikuwa na access!

katika pita pita google na kusaka material zinazofanana na mada, nimekutana na hii hapa ID ikiwa imeeleza topic niliyokuwa nikiitafuta...

Samahanini nitakaowakera, naombeni sana muhusika azidi kutueleza zaidi juu ya hii kitu kwa sababu bado inaigusa jamii mpaka sasa na watu wanazidi kuathirika zaidi..

Nimechoka kutibia magonjwa ya zinaa ambayo nimekuwa nikiambukizwa na wanawake wenzangu! Nimechoka kupoteza hela zangu ! Nimechoka kumkufuru Mungu nimechoka kuishi maisha ya siri, nimechokwa kuishi maisha ya kutengwa ! Sasa nimeamua kumrudia Mungu. Kwa wote nilio wakwaza, samahani. Nipo tayari kutoa somo la bure kwa wanawake wenzangu ambao bado wanaendekeza usagaji. Usagaji sio ishu kabisa jamani!~ Ni kufuru na laana kubwa mbele za Mungu

Update...

Stori ni ndefu sana, naombeni mnipe kama walau siku mbili au tatu hivi ila ninaweza jibu maswali yenu.
Tafadhali tupatie updates mkuu. itakuwa vizuri zaidi kama ukiendelea kuelezea kilichotokea!

Konsolatha Mungu wetu ni Mungu wa huruma na rehema na huwa nasamehe mtu akitubu kwa kumaanisha kuacha.
Umechagua fungu jema sana na kwakua umeamua kuacha endelea kumwomba Mungu akukuze zaid kiimani na hubiri kwa wengine ili nao kwa wakati wao wamrudie Mungu.


Habari zenu wana jamvi, baada ya kushauriana na wadau kadhaa hapa JF kupitia pm, nimeamua kuyaweka maisha yangu ya upotofu kwenye kitabu, CD ya mazungumzo na filamu....Bado nipo katika mazungumzo na wadau hawa wa vitabu na filamu na tutakapo kuwa tumefikia makubaliano basi nitawafahamisha ni lini kila kitu kitakuwa tayari. Stori yangu ni ndefu sana na inawahusisha wanawake wengi so kuweka hapa JF itanichukulia muda mrefu sana ..Mnaweza kutoa ushauri wenu pia. Asanteni na siku njema.

mliopata hizo CD jamani tunaomba na sie tukanunuepo!
 
Kwani niegusa kalio la nyuki besti?lol.
Nna hamu sana na hii thread, sikuipata vizuri enzi zile!
Hidhi ni nyuki dhitakung'ata wewe! (kwa sauti ya kinyambe)
 
Mkuu hii ndio jf inakila aina ya watu. Makahaba,mashemale,walokole ,ma silent killer yaan kila aina ya watu wapo hata wanaojifanya walokole kumbe ni makanjanja.
Jf nouma jaman naiogopa balaa
 
Mkuu hii ndio jf inakila aina ya watu. Makahaba,mashemale,walokole ,ma silent killer yaan kila aina ya watu wapo hata wanaojifanya walokole kumbe ni makanjanja.
Jf nouma jaman naiogopa balaa

ving'ang'anizi wapigwa vibuti wanaofuatilia watu wanaoleta feedback za uongo wote wapo
 
Hivi likud ni he au she?

Hii ID ya consolatha nakumbuka ilileta mtafaruku sana kwa madame b, kumbe si yeye kabisa masikini!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom