Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,745
Sioni wanachocheza kiuhalisia.... Hamna team hapa. Huwa nashangaa wanavyoogopwa huku kwetu. Leo Morocco tunajipigia.
Sioni wanachocheza kiuhalisia.... Hamna team hapa. Huwa nashangaa wanavyoogopwa huku kwetu. Leo Morocco tunajipigia.
Wenzako wamepata kiwewe wanataka Morocco afungwe ili wajipe matumaini kuwa kwenye kundi point hazipishani sana hivyo Kisimkazi Stars bado wana nafasi.Kufungwa kwao ndio furaha kwetu. Baadaye tunamchapa mzambia halafu moroko anawachapa wote tunatoka droo na Kongo tunasonga mbele
Sioni wanachocheza kiuhalisia.... Hamna team hapa. Huwa nashangaa wanavyoogopwa huku kwetu. Leo Morocco tunajipigia.
Nyie mumfunge nani? Hizo ndoto za alinacha. Nyie labda mtafunga khanga tu.Kufungwa kwao ndio furaha kwetu. Baadaye tunamchapa mzambia halafu moroko anawachapa wote tunatoka droo na Kongo tunasonga mbele
Hahaaa, wamekutana na mkubwa, world classSioni wanachocheza kiuhalisia.... Hamna team hapa. Huwa nashangaa wanavyoogopwa huku kwetu. Leo Morocco tunajipigia.
Hujui football tulia,kukosa penat ni kawaida tu ktk sokaUnakosaje oenalt game kama hiyo
Na wewe una timu? Hapo hamna kitu aisee timu limecheza dakika 90 bila on target?Kufungwa kwao ndio furaha kwetu. Baadaye tunamchapa mzambia halafu moroko anawachapa wote tunatoka droo na Kongo tunasonga mbele
Wewe uliwahi kukosa penati ngapi tangu uzaliwe hadi hivi sasa ukiwa Makolokolo?Yani watu kukosa penalty nayo inakua case..mara ngapi watu wanakosa..
Morocco afungwe ili iweje?Washindani wetu ni DRC na Zambia wafungwe tuWenzako wamepata kiwewe wanataka Morocco afungwe ili wajipe matumaini kuwa kwenye kundi point hazipishani sana hivyo Kisimkazi Stars bado wana nafasi.
Sijui kwa nini kocha hawapi nafasi wazawa. Timu nzima siyo wazaliwa wa DRC isipokuwa InongaMayele wapi!!!!?
Na hasira zao zote watamalizia kwetu,watatuponda hadi tubonyeeeeSioni wanachocheza kiuhalisia.... Hamna team hapa. Huwa nashangaa wanavyoogopwa huku kwetu. Leo Morocco tunajipigia.