THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 1,727
- 3,286
Nasema hivi Weusi sisi ni Njaaa sana,
Tumempata Kocha atakae tuponya atakae tuambia ukweli tuendeleee katika soka ila kwa kua tuna watu wasiojua Mpira saiv wanapanga kumfukuza kocha.
Mnamfuta kazi kocha Kisa kasema maneno ya ukweli na wameshamfungia ila alietazama Match zote za Morroco ameelewa alichosema Kocha wa Nchi, Baba wa soka anaefanyiwa zengwa.
Amrouche Aombwe Msamaha na CAF Pamoja Na TFF kwa pamoja.
Na wale wote waliomsema vibaya wote hapa Jamii Forum waombe Radhi kabisa.
Morroco Hakuna Team narudi hakuna Team anabebwa na Marefa na viongozi wenye ngozi Nyeusi ambao wana Njaaa sana na wanaogopa Ngozi Nyeupe.
AMROUCHE BABA WA SOKA LA TANZANIA ILA MFUTEN HAMTOKUJA KUPATA KOCHA MSEMA UKWELI KAMA HUYU,
1:KASEMA UKWELI TUMEENDA KUJIFUNZA MMEMIND, JE MUNAUWEZ MZIKI WA CONGO HUU?
2:KASEMQ MORROCO INABEBWA MMEMIND JE HAMUONI KUANZIA GAME YETU KAKATAA KILA KITU REFA KATOA KADI ZA KUTOSHA KWETU TU.
VIVA MCHEZAJI WA CONGO💪💪
LEO MATCH NA MOROCCO MCHEZAJI WA MORROCO KAMWAMBIA REFA WE NJAA SANA.
Tumempata Kocha atakae tuponya atakae tuambia ukweli tuendeleee katika soka ila kwa kua tuna watu wasiojua Mpira saiv wanapanga kumfukuza kocha.
Mnamfuta kazi kocha Kisa kasema maneno ya ukweli na wameshamfungia ila alietazama Match zote za Morroco ameelewa alichosema Kocha wa Nchi, Baba wa soka anaefanyiwa zengwa.
Amrouche Aombwe Msamaha na CAF Pamoja Na TFF kwa pamoja.
Na wale wote waliomsema vibaya wote hapa Jamii Forum waombe Radhi kabisa.
Morroco Hakuna Team narudi hakuna Team anabebwa na Marefa na viongozi wenye ngozi Nyeusi ambao wana Njaaa sana na wanaogopa Ngozi Nyeupe.
AMROUCHE BABA WA SOKA LA TANZANIA ILA MFUTEN HAMTOKUJA KUPATA KOCHA MSEMA UKWELI KAMA HUYU,
1:KASEMA UKWELI TUMEENDA KUJIFUNZA MMEMIND, JE MUNAUWEZ MZIKI WA CONGO HUU?
2:KASEMQ MORROCO INABEBWA MMEMIND JE HAMUONI KUANZIA GAME YETU KAKATAA KILA KITU REFA KATOA KADI ZA KUTOSHA KWETU TU.
VIVA MCHEZAJI WA CONGO💪💪
LEO MATCH NA MOROCCO MCHEZAJI WA MORROCO KAMWAMBIA REFA WE NJAA SANA.