CONFIRMED: Mechi ya Singida Big Stars vs Zanaco FC itarushwa LIVE kupitia Azam TV

Hussein Massanza

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
918
1,994
Watu wa Soka,

Sisi ni wasikivu.

Tumeamua tukio la BIG DAY lirushwe LIVE kupitia @azamtvtz ili wadau wote na mashabiki wetu watakaoshindwa kufika uwanjani, waweze kushuhudia burudani zote popote walipo!

Hivyo, matukio yote ya BIG DAY ikiwemo mechi yetu ya kirafiki dhidi ya Zanaco FC itarushwa MUBASHARA kwenye televisheni ya Azam.

Ni kesho 04/08/2022 kuanzia saa 5 asubuhi.
 
Watu wa Soka,

Sisi ni wasikivu.

Tumeamua tukio la BIG DAY lirushwe LIVE kupitia @azamtvtz ili wadau wote na mashabiki wetu watakaoshindwa kufika uwanjani, waweze kushuhudia burudani zote popote walipo!

Hivyo, matukio yote ya BIG DAY ikiwemo mechi yetu ya kirafiki dhidi ya Zanaco FC itarushwa MUBASHARA kwenye televisheni ya Azam.

Ni kesho 04/08/2022.
Afisa Habari unakuja na habari nusu nusu,shameee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom