Kweli serikali imejaa vilaza, wanasema deni ni la TANESCO na wakati TANESCO ndio waliokataa ku sign mkata wa Richmond (na makampuni mengine 7 yalio bid tender), SERIKALI IKALAZIMISHA TANESCO wa kubali mkataba wa RICHMOND na eventually kuhamishia DOWANS na KULAZIMISHA TENA TANESCO wakubali mkataba na DOWANS.
TANESCO ili fight tangu mwanzo kuepuka haya ma RICHMOND/DOWANS lakini mwenye final say ni BOSS/WIZARA (SERIKALI).....
HAYA; Yote juu hapo ni danganya toto, RA anataka hela YAKE kwa njia yoyote kazi ipo RAIS na wenzake waliowekwa pale na RA kufanikisha madili yake.
Ukiangalia RA anashangilia ,maana mmeingia kwenye mtego wake , wakwamba "NANI ALIPE DOWANS (TANESCO/SERIKALI)" baadala ya "TUSILIPE DOWANS".
RAIS na wenzake wakiamua kuchangisha hela kwa vikombe vya babu, kupandisha bei ya umeme, harambee, minada etc shauri yenu RA anataka hela yake.
SERIKALI ushaidi inao ya wakina nani wamehusika kwa kiasi gani, kuwapeleka mahakamani hawataki/hawawezi. Wananchi wakitaka wawasaidie wanasema wanavuruga amani.
TIME WILL TELL!