Condom zimekuwa Adimu kama Dhahabu

Condom zimekuwa Adimu kama Dhahabu

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,985
Reaction score
25,200
Tunakoenda sasa nafikiri kauli mbiu ya serikari yetu itakuwa ni "VIJANA KUFA NA UKIMWI NI LAZIMA"

Sasa hivi Condom zimekuwa Adimu kama Dhahabu,
Unaweza kuzunguka maduka kibao ukizitafuta na ukibahatika kuzipata ni kuanzia 2k, siku hizi zile za jero hakuna tena,


Vijana vitombi Tujiandae kufa na Ukimwi na Ongezeko kubwa la Single Mama kitaani.


Cc Zero IQ
 
Zinachafua mazingira na haziozi,tunafanya utafiti ili tulete za karatasi
 
Inategemea unataka ipi.

Izi za miatano zimepotea.

Kama vipi nenda kituo cha Afya.

Pima ngoma

Kwa majibu yoyote watakayokupa ,waombe kondom.

Utafungiwa Ata fuko zima.
 
Tunakoenda sasa nafikiri kauli mbiu ya serikari yetu itakuwa ni "VIJANA KUFA NA UKIMWI NI LAZIMA"

Sasa hivi Condom zimekuwa Adimu kama Dhahabu,
Unaweza kuzunguka maduka kibao ukizitafuta na ukibahatika kuzipata ni kuanzia 2k, siku hizi zile za jero hakuna tena,


Vijana vitombi Tujiandae kufa na Ukimwi na Ongezeko kubwa la Single Mama kitaani.


Cc Zero IQ
Bora kujichua tu
 
Wazungu wanaona wanatukomoa.

Sasa nasi hatutaki kujikosesha raha.

Ila maambukizi yataongezeka saana.
Tathmini baada ya miaka2 itatisha.
Tunakoenda sasa nafikiri kauli mbiu ya serikari yetu itakuwa ni "VIJANA KUFA NA UKIMWI NI LAZIMA"

Sasa hivi Condom zimekuwa Adimu kama Dhahabu,
Unaweza kuzunguka maduka kibao ukizitafuta na ukibahatika kuzipata ni kuanzia 2k, siku hizi zile za jero hakuna tena,


Vijana vitombi Tujiandae kufa na Ukimwi na Ongezeko kubwa la Single Mama kitaani.


Cc Zero IQ
 
Back
Top Bottom