Comrade Julius Mtatiro

Sasa hivi CUF imefunga ndoa na Chadema.. Kule
Sasa mtatiro angehama 2011.. Kwa ushauri huu na wakati sasa wamefunga ndoa.. Angekua anahangaika bure
amepewa taraka
 
Leo chadema mmefunga ndoa na cuf, mnajiita ukawa!
 
Sasa hivi kuna ndoa kati ya CUF,CHADEMA,NCCR-Mageuzi,NLD na Timu-Lowassa (huyu ni CCM damu)....hata chadema wanashirikiana na wanaccm kufikia malengo yao..upooo?
 
Tetesi za kuhamia Chadema zimeanza. Hili ni bandiko la 2011.

Pascal
 
Rejea
 
Rejea.
P.
 
Rejea
P.
 
Rejea.
P
 
Jambo la msingi ni kuwatoa nterahamwe alaf mengine yatafuata cha kwanza ni kushinda vita
 
Hakuna chama cha siasa wala mwanasiasa anaefanya siasa kwasababu ana uchungu na Watanzania au Tanzania. Wote wapo kwa maslahi binafsi. Tusidanganyane.
 
Huwa kichwa kinaniuma sana kutafakar sababu za uwepo wa Mtatiro pale Cuf.
 
Hakuna chama cha siasa wala mwanasiasa anaefanya siasa kwasababu ana uchungu na Watanzania au Tanzania. Wote wapo kwa maslahi binafsi. Tusidanganyane.
Umesema ukweli mtupu,Sasa hivi kuna ndoa kati ya CUF,CHADEMA,NCCR-Mageuzi,NLD na Timu-Lowassa (huyu ni CCM damu)....hata chadema wanashirikiana na wanaccm kufikia malengo yao..upooo?
 
Baada ya kusoma post zote nimeamini kitu kimoja WANANDOA WOTE WANATETEANA SANA NA HAKIKA NDOA INOGILE.
Sasa hivi kuna ndoa kati ya CUF,CHADEMA,NCCR-Mageuzi,NLD na Timu-Lowassa (huyu ni CCM damu)....hata chadema wanashirikiana na wanaccm kufikia malengo yao..upooo?
 
mbona siku hizi umekuwa bubu? Sasa hivi kuna ndoa kati ya CUF,CHADEMA,NCCR-Mageuzi,NLD na Timu-Lowassa (huyu ni CCM damu)....hata chadema wanashirikiana na wanaccm kufikia malengo yao..upooo?
 
Mkuu chadema ilipopata nguvu tumewaona opportunists wakijiunga nayo wakiongozwa na Lowassa, siku hizi ruzuku ni nene.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…