Comrade Julius Mtatiro


Watu kama wewe wanatakiwa sana. lakini bado uko kimya hadi sa sita huu usiku bado unaendlea na kikao kiongozi? hebu funguka tujue mtazamo wako bado tunakusubiri jamvini hapa
 
Watu kama wewe wanatakiwa sana. lakini bado uko kimya hadi sa sita huu usiku bado unaendlea na kikao kiongozi? hebu funguka tujue mtazamo wako bado tunakusubiri jamvini hapa
Hata mimi nimesa sacrifice usingizi namsubiri huyu jamaa
 
Watu kama wewe wanatakiwa sana. lakini bado uko kimya hadi sa sita huu usiku bado unaendlea na kikao kiongozi? hebu funguka tujue mtazamo wako bado tunakusubiri jamvini hapa

Oya mwana ndoa tulale au unatoa tamko. Majimbo mawili wazi la tatu linalishia. Sisi wembe ule ule .
 
Waberoya umenena baba;
Umetoa changamoto ambayo Upinzani na hasa CHADEMA wanapaswakuzifikiria kwa makini hasa chama kukosa sera mbadara na badala yake nguvu kubwa inatumika kuwasema viongozi wa CCM

Nadhani ilikuwa vema kwa chadema kuketi na kutafari mapungufu ya CCM nakuyatafutia sera makini sera mbadala ndizo zisemwe wazi kwa wananchi kila wanapozunguka na maandamano yao badala ya kuyasema mapungufu ya kiongozi mmoja mmoja.

Ninachokiona ktk siasa za Tz ni vyama vya upinzani kuwa sehemu ya chama tawala yaani vipo kwa ajili ya kukikosoa ili kijirekebishe na hatimaye kiendelee kutawala na hili ndilo linalo fanyika.
 
mkuu mtatiro ukimya wako una mshindo mkuu'bado tunakusubiri jamvini!
 
huyu jamaa tokea alete ma document yenye utata kuhusu helicopter waliyokodishiwa na RA mpaka leo hajatia mguu humu, sijui yupo wapi?

alitokea kwenye thread moja juzi tu tena akionekana mgeni Jamvini
 
Kikubwa kinachomuua zaidi CUF kuna udini maana kila mwana cuf makini lazima awe muislam hiyo haina ubishi. kila mwenye macho anaona kuwa hicho chama hakina sura ya kukomboa nchi ila kipo kwa ajili ya masilahi ya waislam sana.

Hakuna udini CUF. Hivi kumbe hata wewe umetekwa na kampeni za majitaka za udini?
 

Mtatiro ana ganga njaa CUF na anaelewa kabisa huku bara CUF haina future zaidi ya kuwa CCM B
 

CCM, CUF, CHADEMA na vyama vingine vyote vya upinzani wanahubiri uliberali mamboleo unaoendeshwa na soko huria. Sera mbadala ya hizi za vyama vya siasa vya Tanzania ni za uchumi wa kisoshalist au wa kijamaa. Kwa bahati mbaya hakuna Chama hata kimoja kinachoamini sera hii japo Katiba ya nchi inaanza kwa kudai kuwa Tanzania ni nchi inayoendeshwa katika misingi ya ujamaa na kujitegemea.
 
Julius Mtatiro bado upo kwenye kikao au unaandaa hoja?mkuu njoo tuongee haya mambo ni muhimu kwa nchi yetu
 
Ungesema tu wewe ni shabiki wa chadema basi tungejua

Ni maoni pia umejitahidi..

Lakini CUF ndio chama makini cha upinzania tanzania

Chadema bila kanisa hakuna kitu

Sitegemei kauli tofauti toka kwako Ustaadh.
 
Da mkuu kikao bado tu tunakusubiri hapa utoe majibu ya wadau
 

Hawawezi Tata,

Tunana jinsi ambavyo soko huria linavyotawala dunia na kuwafanya viongozi wetu kuwa ombaomba na wasiojiamini

Tunaona ambavyo IMF na WB wanavyofanya maamuzi ya ndani ya nchi zetu

Tunaona jinsi ambavyo ushindani wa kibiashara usivyokuwa fair world wide, kitu ambacho Nyerere alikuzungumza mapema sana kuwa huwezi kushindanisha Heavy weight and Light weight fighters!


Leo tunaona jinsi ugiriki wanavyosukwa sukwa na mawimbi ya uchumi ndani ya ulaya...we are not safe

Ubepari una faida zake lakini lazima wawepo majasiri wa kusemea ubaya wake, lazima watu wajitokeze na kusema ujamaa na ubaperi vinaweza kuchangamana na wakatoa suluhisho. Canada mbona wanawezaweza hili? sisi tumelala

Ukija tena kwenye soko huria NJIA PEKEE YA KUTUKWAMUA NI kufunga mipaka, kufunga mipaka na kuweka mkakatai wa kujikwamua na kuamsha viwanda vyetu vya ndani, infrastructures na wasomi wenye upeo huru wa kufanya mambo huru kama akina Steve Jobs!

Kwa style ya sasa ya vyama vyetu kutaka misaada nje hakutaleta tofauti kuwa viongozi wetu watakuwa sanamu tu! hata awe ametoka chama gani, tukubali kuwa tutakuwa tegemezi tu haijalishi nani atatawala, tutegemee kuamuliwa mambo yetu ya ndani...kwa gharama yetu na utu wetu. Tutegemee viongozi watakaokuwa waoga kuleta mapiunduzi ya viwanda, kilimo na elimu KWANI KWA KUFANYA HIVYO utaenda kinyume na wakubwa wa dunia hii na tutawalaza njaa....

Kinyume na hapo bora siku ziende
 
semeni chadema mtawafanyia nini wa tanzania mbona siku zote mnawazungumzi cuf inaonyesha cuf wako makini ndio maana akili zenu zote zimehamia kwao. tunataka sera sio majungu. mtatiro endeleza mapambano wafundishe siasa cdm
 
Tatiza chadema hamsemi mtawafanyaia nini watanzania. Kubwa kwenu majungu zidi ya cuf inaonyesha cuf wako makini zaidi ndio maana akili zenu zote zimehamia kwao.
 
hapo red sikubaliani na wewe
kwa sera hamna chama chenye sera safi kama CUF na NCCR Mageuzi
sera za CCM sio mbaya hata kidogo ila mfumo mzima wa CCM umeharibika hawawezi wakazisimamia hizo sera.
Hapa issues ni commitment ya chama na hasa viongozi wa juu na sio sera zilizojazana makabatini
 
Tatiza chadema hamsemi mtawafanyaia nini watanzania. Kubwa kwenu majungu zidi ya cuf inaonyesha cuf wako makini zaidi ndio maana akili zenu zote zimehamia kwao.
nakubaliana na wewe kuwa CUF ndio wenye sera bora kuliko chama chochote hapa nchini.
Kumbuka JASU aliwamwaga Marando na mwenzie kwenye mdahalo.ILA EBU NIELEZE NI IPI SERA MBAYA YA CCM???AU NI IPI SERA MBAYA YA CDM
Hapa kinachoangaliwa ni utayari wa kuimplement hizo sera,CUF wametuangusha sana kushirikiana na chama kisifwata sera yaani yaani CCM.
 

Tumbiri na mimi pia nilikuwepo wakati huo. Tusiutetee uchafu kwa kusingizia u busy.. ni kweli kuhusiana na T shirt ya Arsenal, ila kuhusiana na kutopenda shule hapo kuna walakini.Anaweza kua alipenda sana shule ila migomo na kutetea haki za wanafunzi zilimbana kwenye upande wa kitabu
 
Ungesema tu wewe ni shabiki wa chadema basi tungejua

Ni maoni pia umejitahidi..

Lakini CUF ndio chama makini cha upinzania tanzania

Chadema bila kanisa hakuna kitu
chama cha upinzani dhidi ya chadema!!!!
 
chama cha upinzani dhidi ya chadema!!!!

Mtazamo wako siyo mbaya umejitahidi

Lakini walioko serikalini hawaiogopi chadema kama CUF ni marafiki wakubwa e.g. marando, sabodo, EL vs Mbowe, Zitto vs. JK list can go on

Kwasababu ni rahisi kuwakamata chadema ki-mkakati kuliko CUF
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…