Director na wadau wote, tangu jana nahudhuria vikao muhimu vya kitaifa, na hadi hivi sasa niko katika kikao cha KAMATI YA UTENDAJI. Kwenye saa 6 hivi tutamaliza session ya leo. Nitarudi na majibu ya maswali yako na wadau wengine.
Nitajibu hoja za msingi tu na kutimiza wajibu wangu!
Mtatiro - 30.10.2011
Hata mimi nimesa sacrifice usingizi namsubiri huyu jamaaWatu kama wewe wanatakiwa sana. lakini bado uko kimya hadi sa sita huu usiku bado unaendlea na kikao kiongozi? hebu funguka tujue mtazamo wako bado tunakusubiri jamvini hapa
Watu kama wewe wanatakiwa sana. lakini bado uko kimya hadi sa sita huu usiku bado unaendlea na kikao kiongozi? hebu funguka tujue mtazamo wako bado tunakusubiri jamvini hapa
huyu jamaa tokea alete ma document yenye utata kuhusu helicopter waliyokodishiwa na RA mpaka leo hajatia mguu humu, sijui yupo wapi?
Kikubwa kinachomuua zaidi CUF kuna udini maana kila mwana cuf makini lazima awe muislam hiyo haina ubishi. kila mwenye macho anaona kuwa hicho chama hakina sura ya kukomboa nchi ila kipo kwa ajili ya masilahi ya waislam sana.
Kwako mkuu
tumesikia na kuelewa utendaji wako wa kazi
mimi binafsi ni mwanaharakati ninaye takia mema nchi yangu,mkuu umekuwa ukifanya kazi hapo Cuf kwa muda mrefu sasa,je swali langu,,hapo Cuf una future?je Cuf inakuachia uwanja wa kucheza ili uweze kufanikisha malengo yako kisiasa?je Cuf yenyewe ina future?
mkuu napenda kukupa taarifa kuhusu upinzani wa wakati tulio nao,
kazi ya upinzani tulio nao ni moja tu! kuiondoa ccm madarakani,,hakuna kazi nyingine,
ccm imetawala miaka mingi na imetusumbua sana sisi watanzania,kazi yenu ni kuitoa ccm na yeyote atawale ili mradi ccm ifutwe kabisa,
mkuu kama hiyo ndio kazi ya upinzani nakushauri uondoke Cuf mara moja kwa kuwa walishafunga ndoa na ccm
hakuna mabadiliko yatakayotokea nchi hii kama ccm inahusika,ondoka Cuf hamia chadema pambana na wenzio ili watanzania waweze kuwaweka kwenye vitabu vya historia
Waberoya umenena baba;
Umetoa changamoto ambayo Upinzani na hasa CHADEMA wanapaswakuzifikiria kwa makini hasa chama kukosa sera mbadara na badala yake nguvu kubwa inatumika kuwasema viongozi wa CCM
Nadhani ilikuwa vema kwa chadema kuketi na kutafari mapungufu ya CCM nakuyatafutia sera makini sera mbadala ndizo zisemwe wazi kwa wananchi kila wanapozunguka na maandamano yao badala ya kuyasema mapungufu ya kiongozi mmoja mmoja.
Ninachokiona ktk siasa za Tz ni vyama vya upinzani kuwa sehemu ya chama tawala yaani vipo kwa ajili ya kukikosoa ili kijirekebishe na hatimaye kiendelee kutawala na hili ndilo linalo fanyika.
Ungesema tu wewe ni shabiki wa chadema basi tungejua
Ni maoni pia umejitahidi..
Lakini CUF ndio chama makini cha upinzania tanzania
Chadema bila kanisa hakuna kitu
CCM, CUF, CHADEMA na vyama vingine vyote vya upinzani wanahubiri uliberali mamboleo unaoendeshwa na soko huria. Sera mbadala ya hizi za vyama vya siasa vya Tanzania ni za uchumi wa kisoshalist au wa kijamaa. Kwa bahati mbaya hakuna Chama hata kimoja kinachoamini sera hii japo Katiba ya nchi inaanza kwa kudai kuwa Tanzania ni nchi inayoendeshwa katika misingi ya ujamaa na kujitegemea.
hapo red sikubaliani na weweWaberoya umenena baba;
Umetoa changamoto ambayo Upinzani na hasa CHADEMA wanapaswakuzifikiria kwa makini hasa chama kukosa sera mbadara na badala yake nguvu kubwa inatumika kuwasema viongozi wa CCM
Nadhani ilikuwa vema kwa chadema kuketi na kutafari mapungufu ya CCM nakuyatafutia sera makini sera mbadala ndizo zisemwe wazi kwa wananchi kila wanapozunguka na maandamano yao badala ya kuyasema mapungufu ya kiongozi mmoja mmoja.
Ninachokiona ktk siasa za Tz ni vyama vya upinzani kuwa sehemu ya chama tawala yaani vipo kwa ajili ya kukikosoa ili kijirekebishe na hatimaye kiendelee kutawala na hili ndilo linalo fanyika.
nakubaliana na wewe kuwa CUF ndio wenye sera bora kuliko chama chochote hapa nchini.Tatiza chadema hamsemi mtawafanyaia nini watanzania. Kubwa kwenu majungu zidi ya cuf inaonyesha cuf wako makini zaidi ndio maana akili zenu zote zimehamia kwao.
Rejao,
Unajua wewe ni mpuuzi sana. Mimi mtatiro nimekuwa nae UDSM kwa miaka mitatu mfululizo then nikamuacha akiendelea na kozi yake ya miaka minne. Kwa kweli alikuwa busy sana kutetea maslahi ya wanafunzi. Na kuhusu ile Tshirt ya Arsenal aliyokuwa anaivaa almost kila siku kwenye maandamano ni ishara ya u-busy aliokuwa nao na hata kushindwa kupata muda wa kubadilisha nguo. Ninachokupinga ni hii habari kwamba alikuwa hapendi shule. Kama alikuwa hapendi shule ni vipi aliweza kupanda vidato hadi kufika ngazi ya Chuo Kikuu?
Shule alikuwa anaipenda na anaiweza sana kwa sababu hata lecture alikuwa haingii lakini kwenye mitihani alikuwa anafaulu kwenda mbele.
chama cha upinzani dhidi ya chadema!!!!Ungesema tu wewe ni shabiki wa chadema basi tungejua
Ni maoni pia umejitahidi..
Lakini CUF ndio chama makini cha upinzania tanzania
Chadema bila kanisa hakuna kitu
chama cha upinzani dhidi ya chadema!!!!