Complicated Marital Status za wana CDM na Urais 2015

Kuwa na Rais mwenye mchunba ni janga la kitaifa.Kwani atawaleta wengi wengi mno ikulu.Kuoa inafundisha mambo mengi ikiwemo uvumilivu sasa wewe una mchumba Miaka 70 unaifukizia bado mchumba tu hii hatari
 
Rais wa sasa wa Botswana (kuanzia 2008) Seretse Khama Ian Khama (59) ndiye single. Ni mtoto wa Rais wa zamani wa Botswana Seretse Khama.

Mwaka 2010 GDP per capita ilikuwa US $ 2,627.5, linganisha na Tanzania kwa mwaka huo US $ 548, Kenya US $ 810 na South Africa (highest in Africa) $7,160. Botswana kiuchumi iko vizuri sana.

Ukuaji wa uchumi mwaka 2010 ulikuwa 8.6% kulinganisha na wastani wa dunia kwa mwaka huo 4.08%

Tupe na data za hao Marais watatu waliopita.
 
Rais wa sasa wa Botswana (kuanzia 2008) Seretse Khama Ian Khama (59) ndiye single. Ni mtoto wa Rais wa zamani wa Botswana Seretse Khama.

Mwaka 2010 GDP per capita ilikuwa US $ 2,627.5, linganisha na Tanzania kwa mwaka huo US $ 548, Kenya US $ 810 na South Africa (highest in Africa) $7,160. Botswana kiuchumi iko vizuri sana.

Ukuaji wa uchumi mwaka 2010 ulikuwa 8.6% kulinganisha na wastani wa dunia kwa mwaka huo 4.08%

kwahiyo ukuaji wa uchumi wao unatokana na rais kuwa single sio??

if that is the case, vp tukiangalia na mataifa yaliyo juu yao, hao marais si watakua hawana hata jinsia basi?? achilia mbaili kuwa singo

LOL
 
Mkuu, kuna wengine wana wake kibao na vimada wa kumwaga lakini uongozi wao umegeuka kuwa janga la taifa!
Ni vizuri tu tukaenzi mila na tamaduni zetu za kiafrika, lakini tusifanye kuoa/kuolewa kuwa kigezo cha ufanisi katika uongozi.
 
Marais wote wa G20 wameoa kasoro Hallendale.
NA VIONGOZI WA DINI WENYE KASHFA ZA KUJAMIIANA WENGI WAO NI WAKATOLIKI.
yOU DO THE MATH.

One may argue that we are now reaching the paradigm shift when traditional marriage is no longer an issue.

And the French are leading the way.

Even your G20 example had to have a qualifier.
 
Tupe na data za hao Marais watatu waliopita.

Yaani ni kwamba, huyu rais akishampita rais yeyote wa sasa wa Afrika, hii notion ya kwamba kutooa ni issue inafutika.

Na ushaonyeshwa hilo hapo juu.
 
One may argue that we are now reaching the paradigm shift when traditional marriage is no longer an issue.

And the French are leading the way.

Even your G20 example had to have a qualifier.
mkuu nakupongeza kwa courage yako

umebakiza kimoja tu.... kuvunja ukimya
 
mkuu nakupongeza kwa courage yako

umebakiza kimoja tu.... kuvunja ukimya

Ukimya si moja ya tabia zangu. Wanaonijua JF watanishuhudia.

Ni kawaida ya ushakunpe kuweweseka kwa vijineno viso kichwa wala mguu.

Jamii masikini mara zote zinajishughulisha sana na habari zisizo tija kimaendeleo kuliko zenye tija, ndiyo sababu zikawa masikini.

Habari ya marital status kwa watu walioendelea ni private deal, ndo maana huwezi kuenda kuomba kazi nchi zilizoendelea ukatakiwa kuweka marital status kwenye resume.

Kama mnaendekeza habari hizi bongo, zinaweza kuwa moja ya sababu tuko maskini.

Benevolence relegates this whole deal to a violation of human rights, as much as racial, sex and age discrimantion. Marital status discrimination is just another aspect of discrimination on that spectrum.

Wewe unayebagua wasiooa/olewa kimsingi huna tofauti na mtu anayebagua watu weusi. Tofauti yenu ni ndogo na iko kwenye technical detail tu, mmoja anabagua kwa msingi wa rangi ya ngozi, mwingine anabagua kwa msingi wa marital status. Kwa watu waliostaarabika you could get sued over some shyt like that.

Vijana kibao ambao hawajaoa/kuolewa wana talent hawapewi nafasi kwa sababu tu hawajaoa/kuolewa.

Wakati kuoa/kuolewa si kigezo kwani tunaona waliooa na kuolewa kibao wanaendeleza ubazazi hata ndoa zao hawaziheshimu.

Food for thought, you do the dishes.
 
Ukimya si moja ya tabia zangu. Wanaonijua JF watanishuhudia.

Ni kawaida ya ushakunpe kuweweseka kwa vijineno viso kichwa wala mguu.

Jamii masikini mara zote zinajishughulisha sana na habari zisizo tija kimaendeleo kuliko zenye tija, ndiyo sababu zikawa masikini.

Habari ya marital status kwa watu walioendelea ni private deal, ndo maana huwezi kuenda kuomba kazi nchi zilizoendelea ukatakiwa kuweka marital status kwenye resume.

Kama mnaendekeza habari hizi bongo, zinaweza kuwa moja ya sababu tuko maskini.

Benevolence relegates this whole deal to a violation of human rights, as much as racial, sex and age discrimantion. Marital status discrimination is just another aspect of discrimination on that spectrum.

Wewe unayebagua wasiooa/olewa kimsingi huna tofauti na mtu anayebagua watu weusi. Tofauti yenu ni ndogo na iko kwenye technical detail tu, mmoja anabagua kwa msingi wa rangi ya ngozi, mwingine anabagua kwa msingi wa marital status. Kwa watu waliostaarabika you could get sued over some shyt like that.

Vijana kibao ambao hawajaoa/kuolewa wana talent hawapewi nafasi kwa sababu tu hawajaoa/kuolewa.

Wakati kuoa/kuolewa si kigezo kwani tunaona waliooa na kuolewa kibao wanaendeleza ubazazi hata ndoa zao hawaziheshimu.

Food for thought, you do the dishes.

.........done the dishes bro.... funguka zaidi mkuu, its ok! you are not alone
 
Back
Top Bottom