Hahahahaa kigoda cha diwani wa mchambawima.Nahisi Kama kiti alichokalia ni kigoda
China wanamtambua vizuri tuMukumbuke Shein anatambuliwa na museveni tu na yule wa burundi...sijui Nkumaliza sijui nani...lakini rwanda na kenya hawajampongeza.
Nchi nyingi hawamtambui na wamegomea mamno yalivo kwenda. na pale angekwenda Mahiga basi wange muweka pazuri na heshima. Huyu hatambuliwi kama rais halali.tulifanya makosa kumpeleka...na wafaransa wapo nyuma ya comoro pamoja na EU ..inaonekana walipelekw salamu
Haahaaaaaaaa mkuu utatuvunja mbavu hahaaaaaaaaa.Mgeni kutoka Tanzania anacheo gani? ... Ni waziri asiye na wazira maalum, lakn ni rais wa Zanzibar! Zanzibar ndiyo nini, ni koloni la Tanzania... Ok Weka kule nyuma!
Anatafakari sijui kwenye msosi itakuwa hivihivi! Lakini pale yupo juu anaona zaidi ya waliombele yake.Mpambe ndio hana rahahapo juu panamsaidia kuona vizuri pia ingawa namuona hayuko happy kabisa...ukiangali wa mbele yake ni warefu zaidi
Angalia kamaunamjua hata mmoja!hata sijaelewa kwa nini huu uzi page zinakimbia haraka,
naomba kuuliza tu
kwani wale aliokaa nao pale sio maraisi wa nchi?
unawashwaAcha utoto na upompompo Ndi ndi ndi wee
lofa wewe hapo na ushukuru ulisoma wakati Ndalichako hajawa waziri kwani ungeshatimuliwa kwa kukosa sifaAcha ulofa wewe! So wavunje protocol zao kwa kuwa uliwapa msaada wa kijeshi na chakula? Wewe ndio type ya wale watu mnaowasidiaga wadogo zenu halafu mnawadhalilisha, yaani kwa kauli yako wewe ndio unapenda kwa kuwa unamsaidia mdogo wako basi utembee na mke wa mdogo wako nae akae kimya! Shenzi kabisa wewe
kwani wakomoro hawajui kuwa kapora ushindi wa maalim seifMh Rais Shein Leo kwenye Tukio la Kumuapisha rais wa Comoro amejikuta akiwekwa nyuma kabisa sambamba Na Mabalozi pamoja Na Watazamaji.
Sijui Protocol ilisemaje lakini hii Ni Aibu kubwa Kwa Rais wa Zanzibar kuwekewa nafasi hii ambayo haiko rasmi. Kwakua Mkuu wa Nchi imeelezwa kuwa amemuagiza kumuwakilisha ninaamini tutapatiwa maelezo ya Kutosha kwa Haya madhila ili Mara nyingine isiweze kutokea tena.
View attachment 351261
Hapa namuona Rais wangu anaisoma No.
China wanamtambua vizuri tu
Kweli mie punguwani na tulikuwa tunatumia dawa pamoja na Bi mkubwa wako wakati akiwa na ujauzito wako huenda ndio maana wewe umekuwa kichaa kabisa.[/QUO
Bora mimi nilikuwa tumboni madhara madogo kama wewe ulivuta na unatumia kitwanga sioni tena UMUHIMU wa kuendelea kukujibu! Nimekuweka kwenye ignore list
Ha ha ha ha haaaaaaaaaaNamuona katibu kata katulia, sijui Leo kamwacha Wapi mkewe na zile mbuti zake za gonga sneki a.k.a kata funua?