Obuma
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 2,727
- 5,096
Wewe ulivyomjibu umepata buku saba Za sukari au? Acha upunguani!Siajabu hii porojo utaisikia kwa wabunge wa ukawa maana wao na hawa wajinga wenzao mitandaoni lao moja. Kweli ukawa imekwisha kihoja. Sasa huyu mleta uzi kaisha ingiza siku hapa leo dagaa za watoto zimepatikana