Comoro: Shein awekwa Baka Bencha

Comoro: Shein awekwa Baka Bencha

Mh Rais Shein Leo kwenye Tukio la Kumuapisha rais wa Comoro amejikuta akiwekwa nyuma kabisa sambamba Na Mabalozi pamoja Na Watazamaji.

Sijui Protocol ilisemaje lakini hii Ni Aibu kubwa Kwa Rais wa Zanzibar kuwekewa nafasi hii ambayo haiko rasmi. Kwakua Mkuu wa Nchi imeelezwa kuwa amemuagiza kumuwakilisha ninaamini tutapatiwa maelezo ya Kutosha kwa Haya madhila ili Mara nyingine isiweze kutokea tena.

View attachment 351261

Hapa namuona Rais wangu anaisoma No.
Kweli humu Jf kuna vilaza wa Itifaki, hata kama hujui protoco,maelezo uloyatoa hapo unahisi una kitu kichwani? Muwe mnauliza wa karibu yenu kabla ya kupost jambo hapa Jf.
 
Kweli humu Jf kuna vilaza wa Itifaki, hata kama hujui protoco,maelezo uloyatoa hapo unahisi una kitu kichwani? Muwe mnauliza wa karibu yenu kabla ya kupost jambo hapa Jf.
Kwa hiyo kwa itifaki ilistahili kukaa kwenye ile chobingo
 
kwanu huyu si aliapishwa kama waziri ili aingie kwenye baraza la mawaziri .sasa pale si itakuwa ndio anafanya kazi yake ya uwaziri
 
kwani wakomoro hawajui kuwa kapora ushindi wa maalim seif
Wakomoro wanajua kuwa alifanya uchunguzi feki hakuingia ikulu kwa njia za haki ndiyo maana wanamdharau mpaka wakaamua kumpeleka kukaa kule nyuma kwenye kunguni.
 
Kweli humu Jf kuna vilaza wa Itifaki, hata kama hujui protoco,maelezo uloyatoa hapo unahisi una kitu kichwani? Muwe mnauliza wa karibu yenu kabla ya kupost jambo hapa Jf.
Ptotoco gani? Itifaki ni kuwekwa akae na wafanya usafi wa uwanja? Kule nyuma ndipo ilipo itifaki ya comoro?
 
Comoro nimewakubali sana wanajua kupeleka ujumbe Vizuri, viongozi muhimu walikaa Mbele lakini wale Viongozi watemi walitupwa kule nyuma kabsa.
 
Labda walimpokea kwa mizinga 21 then wakamwambia, wewe tulishakupigia mizinga yako sasa kaa huko nyuma.
 
Madhara ya kuchakachua matokeo ndio hayo hata waziri hawezi kuwekwa huko nyuma yaani wamemchukulia kama raia tu wa kawaida ingawa ukweli ndio huo
 
Mh Rais Shein Leo kwenye Tukio la Kumuapisha rais wa Comoro amejikuta akiwekwa nyuma kabisa sambamba Na Mabalozi pamoja Na Watazamaji.

Sijui Protocol ilisemaje lakini hii Ni Aibu kubwa Kwa Rais wa Zanzibar kuwekewa nafasi hii ambayo haiko rasmi. Kwakua Mkuu wa Nchi imeelezwa kuwa amemuagiza kumuwakilisha ninaamini tutapatiwa maelezo ya Kutosha kwa Haya madhila ili Mara nyingine isiweze kutokea tena.

View attachment 351261

Hapa namuona Rais wangu anaisoma No.
Naona wee Mjumbe huna
uelewa wa who is who ya waalikwa. Huyo
ialiyevaa tai ni Rais wa Bhutan. Kulia kwake wa tatu ni Prince Fouad Al Sabah wa Kuwaiti kumwakilisha you know who. Kulia kwake ni ame wa Sultan wa Darussalaam akimwakilisha mjomba wake. Darussalaam (aka Brunei) has the highest GDP per capita on earth more than California, more than even Gujarati.

Halafu hapa unahitaji kuwa na welewa na
ujue mila na taratibu za watu. Ulaya, mkuu hukaa nyuma; Tanzania boss hukaa na dereva. This is important if the roads are bad. Pia kule mbele kunakuwa na wahamasishaji, na MC, na megaphones kelele zinazibua matatizo. Indeed, beyond Sheni (picha haionyeshi) kuna George Bush, Narendra Modi na Mfalme Mswati wa Tatu. Alipokaa Sheni ndiyo penyewe.
 
Back
Top Bottom