Sasa hakuna muungano bali Zanzibar ni koloni la Tanganyika wanatawaliwa kikoloni Yaani Shein kwa sasa ni Gavana wa Zanzibar.Huo ndio muungano wa nchi mbili
Sasa hakuna muungano bali Zanzibar ni koloni la Tanganyika wanatawaliwa kikoloni Yaani Shein kwa sasa ni Gavana wa Zanzibar.Huo ndio muungano wa nchi mbili
Agome vp wakati alidanganywa kuwa kule nyuma wamekaa viongozi akaenda kukaa alipofika akawakuta Waarabu Wamiliki wa maduka na mgambo wamejazana nyuma akashindwa kugoma, comoro wanajua kuwa aliingia ikulu kwa uchunguzi haramu ndiyo Maana wamemfanyia hivyo.Aibu sana...Angetakiwa agome.
Le Mutuz acha hizo hao waliokaa huko nyuma wote ni wafanyabiashara wadogo wadogo wa kawaida na wengine ni mgambo, madiwani , walinzi na wafanyakazi wa uwanja.hapo hakuna cha George Bush wala wa George Town ! Wala mswati woote ni watu wa kawaida tu, Tambua kuwa comoro wanajua kuwa Shein kaingilia ikulu ya Zanzibar kwa njia haramu hivyo alistahili kukaa na mgambo kule nyuma.Naona wee Mjumbe huna
uelewa wa who is who ya waalikwa. Huyo
ialiyevaa tai ni Rais wa Bhutan. Kulia kwake wa tatu ni Prince Fouad Al Sabah wa Kuwaiti kumwakilisha you know who. Kulia kwake ni ame wa Sultan wa Darussalaam akimwakilisha mjomba wake. Darussalaam (aka Brunei) has the highest GDP per capita on earth more than California, more than even Gujarati.
Halafu hapa unahitaji kuwa na welewa na
ujue mila na taratibu za watu. Ulaya, mkuu hukaa nyuma; Tanzania boss hukaa na dereva. This is important if the roads are bad. Pia kule mbele kunakuwa na wahamasishaji, na MC, na megaphones kelele zinazibua matatizo. Indeed, beyond Sheni (picha haionyeshi) kuna George Bush, Narendra Modi na Mfalme Mswati wa Tatu. Alipokaa Sheni ndiyo penyewe.
Kwa kweli wanastahili pongezi kubwa.Hongereni comoro kwa kufuata prokali
Naona mkuu umechagua kuamini ujinga; ni hiari yako na uhuru Kikatiba. Asiyejua maana haambiwi maana.Le Mutuz acha hizo hao waliokaa huko nyuma wote ni wafanyabiashara wadogo wadogo wa kawaida na wengine ni mgambo, madiwani , walinzi na wafanyakazi wa uwanja.hapo hakuna cha George Bush wala wa George Town ! Wala mswati woote ni watu wa kawaida tu, Tambua kuwa comoro wanajua kuwa Shein kaingilia ikulu ya Zanzibar kwa njia haramu hivyo alistahili kukaa na mgambo kule nyuma.
Naona wee Mjumbe huna
uelewa wa who is who ya waalikwa. Huyo
ialiyevaa tai ni Rais wa Bhutan. Kulia kwake wa tatu ni Prince Fouad Al Sabah wa Kuwaiti kumwakilisha you know who. Kulia kwake ni ame wa Sultan wa Darussalaam akimwakilisha mjomba wake. Darussalaam (aka Brunei) has the highest GDP per capita on earth more than California, more than even Gujarati.
Halafu hapa unahitaji kuwa na welewa na
ujue mila na taratibu za watu. Ulaya, mkuu hukaa nyuma; Tanzania boss hukaa na dereva. This is important if the roads are bad. Pia kule mbele kunakuwa na wahamasishaji, na MC, na megaphones kelele zinazibua matatizo. Indeed, beyond Sheni (picha haionyeshi) kuna George Bush, Narendra Modi na Mfalme Mswati wa Tatu. Alipokaa Sheni ndiyo penyewe.



shein hamnazo kweliediting hiyooo
Mkuu,mleta mada yuko vizuri sana,na makini mno..dah ni kituko cha mwaka.Yaani mleta mada anaoneka live anamsakama shein vzr sana maana x kwa picture hii nimecheka sana
Hahahahahahaaaaaa...labda walikuwa wanamtaka maalim seif ndo ahudhurieMh Rais Shein Leo kwenye Tukio la Kumuapisha rais wa Comoro amejikuta akiwekwa nyuma kabisa sambamba Na Mabalozi pamoja Na Watazamaji.
Sijui Protocol ilisemaje lakini hii Ni Aibu kubwa Kwa Rais wa Zanzibar kuwekewa nafasi hii ambayo haiko rasmi. Kwakua Mkuu wa Nchi imeelezwa kuwa amemuagiza kumuwakilisha ninaamini tutapatiwa maelezo ya Kutosha kwa Haya madhila ili Mara nyingine isiweze kutokea tena.
View attachment 351261
Hapa namuona Rais wangu anaisoma No.
Hahahahhahaa..eti kunguni...JF bana!Wamefanya hivyo wakijua kuwa huyo katumwa tu Yaani katumwa kama balozi ndiyo maana katupwa kule nyuma kwenye kunguni
Hahahaaa...anaonekana kama ananug'unika mpaka mpambe wake anamsikiliza sijui anamtuliza...?hii thread imenifanya nicheke kinoma...Poor Mh Shein. Kabananishwa kwenye kona!!!