simba45 mkali
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 1,980
- 1,881
Mnajitaidi kuficha aibu lakini hapa mtu mzima kaibika na hii ndio gharama ya kula kharamu. Teh teh teh eeeYupo mstari wa pili ambapo mstari wa mbele ndipo alipo mgeni wa heshima. Hiyo ni nafasi ya kawaida sana kwenye mualiko wa viongozi wengi.
Wakati Mh Magufuli na Samia wakiapishwa Kagame na Zuma nao walikaa mstari wa nyuma kama alipokaa Mh Sheni.
Kweli ukawa mmeishiwa hoja kwa kasi sana. Hivi hii nafasi aliyokaa Mh Shen nayo imewashughurisha bila aibu.