Comoro: Shein awekwa Baka Bencha

Comoro: Shein awekwa Baka Bencha

Zenj siyo nchi i wazenj waendelee tu kulala usingizi wa pornooo wakiamka wale shurubati na urojo saafiii

Ni Kweli Sio Nchi lakini hii Ni too much, kuna Marais wengi wamekaa kwenye Urais Zanzibar haikuwahi kutokea Haya. Kwa Hapa alipoanza Na hii Ndio Safari yake ya mwanzo tangu Ashinde kwa kishindo. Arudi ajitathimi, uchaguzi wa Zanzibar dunia umeuona, Hapa yupo Comoro Je akenda Nchi nyingine itakuaje.Mh Rais alianza kupata msusuko kwenye Bunge Sasa kumbe Sio ya kupita.
 
huyu mzee anajuta kuingizwa kibabe kwenye serikali. bila shaka anatamani hii miaka mitano iishe haraka atoke madarakani
 
Kacomoro ni ka nchi kadogo sana hakawezi kuitunishia misuli Tanzania hata serikali yao ilipopinduliwa ni Tanzania ndio iliongoza majeshi ya kurudisha serikali halali iliyochaguliwa isistoshe wanaitegemea Tanzania kwa kiasi kikubwa kwa biashara ya chakula kwa wale mnaojifariji lazima mjue hivyo kama rais wetu atataka maelezo na kuvunja uhusiano nao wao ndio wataathirika zaidi lazima kutakuwa na sababu za kidplomasia za kufanya hivyo

Acha utoto na upompompo Ndi ndi ndi wee
 
Masikini weee km mm ningeondoka hapohapo ningejifanya na naudhuru tuu duu aibu sana
 
Naona huu uzi manyumbu yanafarijiana kweli....

Ila ukweli unabaki palepale Shein ndio rais wa Zanzibar hutaki kufa....
 
Dah, unfairly treated, hasa ukiangalia namna BG anavyo husle kumtuliza, nadhani hii ni dharau ya hali ya juu no matter what.....mtu ana BG unamuweka Last corner na nyuma yake kuna watu..vip usalama wake...?
Anyways......lazima kuna kitu anakumbuka....
 
Kacomoro ni ka nchi kadogo sana hakawezi kuitunishia misuli Tanzania hata serikali yao ilipopinduliwa ni Tanzania ndio iliongoza majeshi ya kurudisha serikali halali iliyochaguliwa isistoshe wanaitegemea Tanzania kwa kiasi kikubwa kwa biashara ya chakula kwa wale mnaojifariji lazima mjue hivyo kama rais wetu atataka maelezo na kuvunja uhusiano nao wao ndio wataathirika zaidi lazima kutakuwa na sababu za kidplomasia za kufanya hivyo
Acha ulofa wewe! So wavunje protocol zao kwa kuwa uliwapa msaada wa kijeshi na chakula? Wewe ndio type ya wale watu mnaowasidiaga wadogo zenu halafu mnawadhalilisha, yaani kwa kauli yako wewe ndio unapenda kwa kuwa unamsaidia mdogo wako basi utembee na mke wa mdogo wako nae akae kimya! Shenzi kabisa wewe
 
Asante sana mkuu wa itifaki ya hiyo hadhara ama hakika umeikonga mioyo ya wananchi wengi wa Zanziberi!
 
Back
Top Bottom