Indian
JF-Expert Member
- Oct 27, 2012
- 821
- 710
- Thread starter
- #41
Zenj siyo nchi i wazenj waendelee tu kulala usingizi wa pornooo wakiamka wale shurubati na urojo saafiii
Ni Kweli Sio Nchi lakini hii Ni too much, kuna Marais wengi wamekaa kwenye Urais Zanzibar haikuwahi kutokea Haya. Kwa Hapa alipoanza Na hii Ndio Safari yake ya mwanzo tangu Ashinde kwa kishindo. Arudi ajitathimi, uchaguzi wa Zanzibar dunia umeuona, Hapa yupo Comoro Je akenda Nchi nyingine itakuaje.Mh Rais alianza kupata msusuko kwenye Bunge Sasa kumbe Sio ya kupita.