Comoro: Shein awekwa Baka Bencha

Comoro: Shein awekwa Baka Bencha

Mleta maada ni mpumbavu na lofa. Kwani mlitaka akae wapi?? Mbona hata akina Kagame walikaa sehemu za nyuma kama hizo kipindi Dr Magufuli anaapishwa. Yaani watu wengine akili zenu zimekaa kuwaza mambo mabaya kwa wenzenu, na bado mtakoma, Dr Shein ndiye rais mpaka 5 years iishe, na Dr Magufuli ndiye rais wa JMT.
Ooooh kwani vipi umetwanga ngapi mpaka sasa?
 
Sema tu kuna watu mishipa ya aibu ilishakatika ndio maana ntu anaweza bila aibu kujitokeza hadharani kujisifu hata kwa jambo la aibu alilofanya. Kushika madaraka ya dhuruma ni aibu na ni lazima uwe na aibu ndipo utaona aibu kushika madaraka ya dhuluma na haramu. Kama huna aibu utajikuta unasimama hadharani bila aibu kutangaza kuwa wewe ndiye halali wakati dunia nzima inakuona haramu. Lakini kwa kuwa wewe mwenyewe huoni aibu, dunia ndio itakayoanza kukuaibisha na kukufanya kichekesho. Hakuna kitu kibaya kama hicho kwa mtu mzima tena anayeweza kuwekwa kwenye ngazi ya wasomi. Na ikitokea msomi akafanya mambo ya aibu na kushangilia aibu aliyoifanya, huyo ana dhalilisha usomi wake na kuonekana ni msomi asiye na maana na usomi wake kuonekena wa hovyo! Hovyo kabisa! Hovyo kabisa!!!
 
Mh Rais Shein Leo kwenye Tukio la Kumuapisha rais wa Comoro amejikuta akiwekwa nyuma kabisa sambamba Na Mabalozi pamoja Na Watazamaji.

Sijui Protocol ilisemaje lakini hii Ni Aibu kubwa Kwa Rais wa Zanzibar kuwekewa nafasi hii ambayo haiko rasmi. Kwakua Mkuu wa Nchi imeelezwa kuwa amemuagiza kumuwakilisha ninaamini tutapatiwa maelezo ya Kutosha kwa Haya madhila ili Mara nyingine isiweze kutokea tena.

View attachment 351261

Hapa namuona Rais wangu anaisoma No.
Yupo mstari wa pili ambapo mstari wa mbele ndipo alipo mgeni wa heshima. Hiyo ni nafasi ya kawaida sana kwenye mualiko wa viongozi wengi.
Wakati Mh Magufuli na Samia wakiapishwa Kagame na Zuma nao walikaa mstari wa nyuma kama alipokaa Mh Sheni.
Kweli ukawa mmeishiwa hoja kwa kasi sana. Hivi hii nafasi aliyokaa Mh Shen nayo imewashughurisha bila aibu.
 
Siajabu hii porojo utaisikia kwa wabunge wa ukawa maana wao na hawa wajinga wenzao mitandaoni lao moja. Kweli ukawa imekwisha kihoja. Sasa huyu mleta uzi kaisha ingiza siku hapa leo dagaa za watoto zimepatikana
 
daa nimecheka sana hasa baada ya ku_zoom picha na kumuangalia mlinzi wake akiteta jambo.

(Kama anamwambia vile "... mzee tuondoke ..."
 
Mimi nitaendelea kuwalaumu ccm kwa upuuzi wao waliofanya Zenji ila katika hili siwezi kufurahia. Huyo ni mwakilishi wa Raisi wetu (anyway, hata mabalozi ni wawakilishi wa maraisi wao). Kama wapo wawakilishi wengine wamewekwa sehemu zenye hadhi ya wakuu wa nchi basi Comoro watakuwa wamekosea. Ila kama wawakilishi wengine wapo hayo maeneo aliyokaa Dr. Shein basi ni sawa. Nadhani hiyo picha pekee haijitoshelezi. Hawa Comoro wanatufahamu vizuri na tuna uhusiano mzuri. Nakumbuka hata yule jamaa alivyopindua nchi Raisi wetu alituma vijana na wakafanya kazi nzuri na nchi ikarudi katika hali ya kawaida.
 
Naona soja anamfariji duhh hawa wakomoro noma hivi kwa nini wamemfanyia rais wa zenji namna hii duhh au nawao wamechukizwa kupelekewa mwakilishi wakaamua kumtupiamo kwenye benchi. Pole balozi id najua umekwazika
 
Mh Rais Shein Leo kwenye Tukio la Kumuapisha rais wa Comoro amejikuta akiwekwa nyuma kabisa sambamba Na Mabalozi pamoja Na Watazamaji.

Sijui Protocol ilisemaje lakini hii Ni Aibu kubwa Kwa Rais wa Zanzibar kuwekewa nafasi hii ambayo haiko rasmi. Kwakua Mkuu wa Nchi imeelezwa kuwa amemuagiza kumuwakilisha ninaamini tutapatiwa maelezo ya Kutosha kwa Haya madhila ili Mara nyingine isiweze kutokea tena.

View attachment 351261

Hapa namuona Rais wangu anaisoma No.
Te
Mh Rais Shein Leo kwenye Tukio la Kumuapisha rais wa Comoro amejikuta akiwekwa nyuma kabisa sambamba Na Mabalozi pamoja Na Watazamaji.

Sijui Protocol ilisemaje lakini hii Ni Aibu kubwa Kwa Rais wa Zanzibar kuwekewa nafasi hii ambayo haiko rasmi. Kwakua Mkuu wa Nchi imeelezwa kuwa amemuagiza kumuwakilisha ninaamini tutapatiwa maelezo ya Kutosha kwa Haya madhila ili Mara nyingine isiweze kutokea tena.

View attachment 351261

Hapa namuona Rais wangu anaisoma No.
Teh Teh Teh ni afadhali asingeenda maana!
 
Siajabu hii porojo utaisikia kwa wabunge wa ukawa maana wao na hawa wajinga wenzao mitandaoni lao moja. Kweli ukawa imekwisha kihoja. Sasa huyu mleta uzi kaisha ingiza siku hapa leo dagaa za watoto zimepatikana

Mimi ni kujibu kidogo tuu, Sio kwamba kila anaeikosoa Serikali, au Ccm Ni Ukawa, usimtafsiri mtu ambae anasimamia ukweli. Mnataka hata kitu cheusi sote tuseme cheusi? Nikuwekea picha ya kuanzia Babu yangu, baba yangu, Na bibi yangu ambae wote hawa kwenye Ccm wanatambulika Kimataifa utakata kinywa wazi. Sijawahi kuwa mpinzani. Lakini Mara zote wapinzani wanawambia wao wanasema ili murekebishe.
 
Labda ilikuwa ni sehemu salama zaidi kwa rais kukaaa! Ngoja wana usalama waje na majibu...
 
Mleta maada ni mpumbavu na lofa. Kwani mlitaka akae wapi?? Mbona hata akina Kagame walikaa sehemu za nyuma kama hizo kipindi Dr Magufuli anaapishwa. Yaani watu wengine akili zenu zimekaa kuwaza mambo mabaya kwa wenzenu, na bado mtakoma, Dr Shein ndiye rais mpaka 5 years iishe, na Dr Magufuli ndiye rais wa JMT.
Acha uking'asti wewe! Protocol gani na ya nchi gani ambayo inasema kiongozi mkuu wa Nchi raisi kwenye dhifa za kitaifa atachanganywa na mabalozi na diplomat wengine nyuma ambako hata mpambe wake hapati sehemu ya kusimama? Je katika hiyo safu umeona mtu mwingine mwenye mlinzi au mpambe, je kina kagame walichanganywa na mabalozi au diplomat wengine! Nimeogopa ban nilitaka nikutukane matusi ya nguoni! Prof Ndalichako angeitumbua bodi ya TCU mapema tusingekuwa na watu Kama wewe humu JF.
 
Mukumbuke Shein anatambuliwa na museveni tu na yule wa burundi...sijui Nkumaliza sijui nani...lakini rwanda na kenya hawajampongeza.
Du!Kumbe that is how it is...!!Nilikua sijui hilo,anyways, I think hata huko Comoros itakua wamemchukulia kama representative tu wa Magu eg Government secretary or Minister of foreign affairs...He must be feeling BAD being ISOLATED hapo atakua anatamani hiyo shughulu iishe FASTA ASEPE ZAKE....You RIP what you SOW...
 
Back
Top Bottom