Comment ya mke wangu imenifumbua macho.

Comment ya mke wangu imenifumbua macho.

Angalizo............ Ukicheat usimdharau mumeo, usimuonyeshe kiburi, usitoe siri za ndani, ukiombwa unyumba jitume haswa, hata kama husikii utamu, jifanyishe umekojoa vinne lol, usichelewe kurudi home. Usiwaeleze mashosti mambo yako.... Usipigwe picha za utupu, usiende na gari yako, ipaki sehemu chukua taxi. Kama anauwezo kuna ma appartments town kwa ajili hiyo lolests
 
wanaume hapa tuna general rule moja tu nikikumata mke una cheat ni RED CARD tu wakati mi ukinikamata the worst case scenario ntakuomba msamaha baada ya cku kadhaa yataisha ila wewe huna chance ya kusamehewa so ladies kumbuka hii general rule of thumb if you cheat just cheat at your own peril!!!!!
 
Yaani we ndo umejifunza hilo leo?

Kwanza achana na wao kugundua, ni kwamba hata wao wanachiti sana, tena sana tu.

Hapo ulipo usikute ushachitiwa mara kibao ila we hujui tu kwa sababu kama hili la wanaume kugundulika umelijua leo, hayo mengine je?

Wewe endelea kuwa naive....

inawezekana pia kati ya watoto alionao mmoja siyo wake! ha ha ha ha!
 
ujumbe huu ni kwa wanawake wenye wivu, ub..o ni kama mwiko wa kupika chakula, mwenzio akipikia unaoshwa na wewe unautumia kama kawaida. kwa hiyo hakuna ub....malaya ila wanaume wote ni baba lishe tu. kwa hiyo wewe usiogope na wala usione wivu "oohh mme wangu malaya"! Hapana, we muulize kwa upole tu, "Baba lishe, huo mwiko umeusuuza? maana na mimi nataka kuutumia". haya ndio maisha ya wanaume wote wa kiafrika, chezea mwiko unaoshwa kwa kulambwa kama icreem za bakhresa!!!

lo lo lo lo loh! wewe ni hatari aseeh!
 
Leo tulipanga tukutane na familia rafiki. Hii familia ni rafiki yangu ambaye tumesoma pamoja kutokea o-level hadi chuo. Tuko karibu sana na wake zetu wako karibu sana na watoto wetu pia.

Bahati mbaya hadi tunatawabyika usiku huu, rafiki yangu alikuwa hajafika kwani alisema amepata dharura ofisini kwake. Mke wake hakutaka kuamini kuwa kuna dharura na alihisi mme wake ana kidate.

Namjua rafiki yangu kwa totoz haaminiki hivyo sikutaka kucomment juu ya hilo nikataka nipotezee. Mke wangu akashtuka akasema unapotezea nini pengine unajua yuko huko kwa mademu zake, mnafichiana siri nyie.

Sasa ndo ukaibuka mjadala kuhusu kucheat.

Sheneji yangu ajasena yaani ili ukae na mwanaume bila pressure na wewe uwe na mambo yako. Lakini ukijidai mwaminifu kwenye ndoa nakuambia utaishia kuwa na pressure na ndoa itakushinda.

Mke wangu akadakia, nakuambia hata mimi nimeshajifunza hivyo. Zamani nikiona wamama walio okewa wanatoka nje za ndoa zao nilikuwa nawashangaa na nawaona wa ajabu wasio na heshima lakini sasa nimejifunza.

Subiri tu nimalize kulea. Tutapisha guest nakwambia. Ya nini kujipa pressure ya bure. Mwisho wa kunukuu.

Ni majuzi tu mke wangu alikuta meseji ya mapenzi kwenye simu yangu. Ingawa ki ujweli huyo dada sitoki naye ni tumekywa tuki flit na yeye. Nikajaribu kumuekewesha mke wangu hakuekewa. Nikamuomba msamaha. Lakini inaelekea aba donge moyoni.

Nilichojifunza ni kwamba wanaume tunapoiba wakati mwingine tunafikiri wake zetu hawajagundua, kumbe wana kausha tu kwani ngoma inakuwa draw. Tafakari na uchukue hatua.
ndo utulie sasa kama hutaki kupishana na mkeo guest.....tamaa weka pembeni.
 
mla vya wenziwe na vyake shurti viliwe
wanaume hapa tuna general rule
moja tu nikikumata mke una cheat ni RED
CARD
tu wakati mi ukinikamata the worst case scenario
ntakuomba msamaha baada ya cku kadhaa yataisha ila wewe huna chance ya
kusamehewa so ladies kumbuka hii general rule of thumb if you cheat just
cheat at your own peril!!!!!
 
wanaume hapa tuna general rule moja tu nikikumata mke una cheat ni RED CARD tu wakati mi ukinikamata the worst case scenario ntakuomba msamaha baada ya cku kadhaa yataisha ila wewe huna chance ya kusamehewa so ladies kumbuka hii general rule of thumb if you cheat just cheat at your own peril!!!!!

thank you for reminder, we normally cheat but responsibly! Dont worry, we wont be caught sweet hubbies........
 
Angalizo............ Ukicheat usimdharau mumeo, usimuonyeshe kiburi, usitoe siri za ndani, ukiombwa unyumba jitume haswa, hata kama husikii utamu, jifanyishe umekojoa vinne lol, usichelewe kurudi home. Usiwaeleze mashosti mambo yako.... Usipigwe picha za utupu, usiende na gari yako, ipaki sehemu chukua taxi. Kama anauwezo kuna ma appartments town kwa ajili hiyo lolests

^^
Ndio maana nachukia unafiki wa mwanamke! Keep it open,, Off you go kwa hao wanaokulala.
^^
 
^^
Ndio maana nachukia unafiki wa mwanamke! Keep it open,, Off you go kwa hao wanaokulala.
^^

why should I kp it open...... Ili uni u4 mushi... We dont have that luxury 4 hubbies........
Afterall ulishanitia doa la ndoa nani ataoa mke wa mtu?......
Isitoshe wewe mwenyewe unacheat kwa kujificha..... Why not me?
 
thank you for reminder, we normally cheat but responsibly! Dont worry, we wont be caught sweet hubbies........

Hahahahahaha yaani unazidi kuwatia hasira wanaume
👏👏👏👏👏👏 safi unawapa makavu yao live, wamama tunaumizwa sana.
 
Tanzania ni taifa la freestyle.... Kwenye professions, siasa, familia na hata imani

tumekubali hilo, tunaoshi kweli yetu mpya na tusilalamike fimbo inapotupiga

it is a sad truth

Heshima ya ndoa imebaki kwa wanaotaka kufunga ndoa tu
 
Hahahahahaha yaani unazidi kuwatia hasira wanaume

Wajue ni jinsi gani tunaumia wanapotudhalilisha....... Boxer tuwafulie, tuwaandalie maji ya kuoga, halafu wakagawe utamu wetu nje....... Kwasababu sisi mioyo yetu ya chuma eeee? Tunaweza vumili eeeee........ Haaaaa ni mama zetu walivumilia kubeba mazigo ya misumari tena ya moto enzi hizooo...... Siye tumelelewa na cerelac na lactogen hatuweeeeeeeezi..................
 
why should I kp it open...... Ili uni u4 mushi... We dont have that luxury 4 hubbies........
Afterall ulishanitia doa la ndoa nani ataoa mke wa mtu?......
Isitoshe wewe mwenyewe unacheat kwa kujificha..... Why not me?

^^
Si kila mwanaume ana harsh psychology ya kumtreat mwanamke! Mental torture inakutosha.
Btw Unayafanya hayo ukiwa unajua una mume wa aina gani. Ukiwa na wa aina yangu Utaondoka bila kufukuzwa.
^^
 
Hahahahahaha yaani unazidi kuwatia hasira wanaume

Wajue ni jinsi gani tunaumia wanapotudhalilisha....... Boxer tuwafulie, tuwaandalie maji ya kuoga, halafu wakagawe utamu wetu nje....... Kwasababu sisi mioyo yetu ya chuma eeee? Tunaweza vumili eeeee........ Haaaaa ni mama zetu walivumilia kubeba mazigo ya misumari tena ya moto enzi hizooo...... Siye tumelelewa na cerelac na lactogen hatuweeeeeeeezi..................

^^
Na kweli zitawashinda ndoa!
Mke husemwi,
Akili nyingi kama digrii za profesa Anyang'i Nyong'o,
Penzi lina ratiba,
Unajichekesha ofisini ili utongozwe kwa kisingizio cha kutoridhishwa,
KUKOMOANA SIO JAWABU LA NDOA.
Men build house Women makes homes
Behave! Mume atatulia,elimu na madawa ya kishirikina yana mipaka yake
^^
 
^^
Si kila mwanaume ana harsh psychology ya kumtreat mwanamke! Mental torture inakutosha.
Btw Unayafanya hayo ukiwa unajua una mume wa aina gani. Ukiwa na wa aina yangu Utaondoka bila kufukuzwa.
^^

hata simba mkali lakini ananyonyesha......... Utaacha na kuoa kila siku..... Ukijiheshimu utaheshimika ........ Ukileta za kuleta utachapiwa vilevile
 
Ulivyoongea hadi umetia huruma,Pole na ndo na nyie mtulize tamaa zenu.

^^
Sisemi wanaume wako sahihi..panapoonekana pana tatizo Zungumzeni.
Chovya Chovya huleta Buyu la Virusi
^^
 
hata simba mkali lakini ananyonyesha......... Utaacha na kuoa kila siku..... Ukijiheshimu utaheshimika ........ Ukileta za kuleta utachapiwa vilevile

^^
Hiyo methali si mahali pake.. Kuchapwa chapwa tu ikibidi lala huko,,tena usiwatoze ushuru si unakomoa?
Furaha ya ndoa ni kuzungumza tofauti zenu na sio kwenda kuwa kinu au mwichi nje ya kitanda halali.
Magonjwa hayana staha.
^^
 
ndugu zangu swali kwa wanandoa,ni sababu zipi zinazowafanya m cheat au kuwa na mahusiano ya kimapenzi nje ya nyie wawili? (ndoa)nini kinawatoa ndani kwenu na kwenda kutafuta mapenzi njeee???????????????
 
Hiyo ni kweli kabisa binafsi nimeshaprove kwenye ndoa mbili wanaume walikuwa wanachit na wake zao walipogundua wakaanza kuchit mke anakuwa anaona hakuna haja ya kuwa mwaminifu wakati mumewe si mwaminifu
 
Back
Top Bottom