I promise to the woman that I will marry,,,! I wont cheat.. maybe it happen for a reason!
even your woman wont just cheat on you, just for the same reasons as well! Gud luck
I promise to the woman that I will marry,,,! I wont cheat.. maybe it happen for a reason!
I think I love my wife..
hakuna mwanamke anayejiheshim hata mmoja anacheat kwa kupenda.
wanawake wangapi wanajufa na kudhoofika sababu ya cheating za wanaume?,wengine hawawez kuhandle mamy.
HE IS NOT THERE FOR YOU WHEN YOU NEED HIM.
HALI NYUMBANI EVERYDAY.
BADO DHARAU
UNYUMBA NDIO USISEME
WENGINE WATOTO KARIBU WAMSAHAU
MATUS TOKA KWA KIMADA.
unavuliaga tu na bado ukifa na rambirambi anapewa bila haya.
why ufe?soln find a man who will b there for you hata msipofanya sex atleast upate sehemu yakulilia na kufarijiwa,utaona maisha mazuri sana.
alichoongoe mkeo na shemejio ni ukwel kabisa.. mwanaume akianza kucheat huwa anabadilika, hata ratiba yake ya kurudi home inabadilika, kwa mwanamke makini atahisi tu na ndio sababu ya kuanza kumfatilia mpaka kwenye simu yake.
ukimuuliza mwanaume atafanya kama ulivyofanya kwa mkeo, oh ni rafiki wa kawaida, mara tupo ofc moja, ukibanwa sana utaishia kuomba msamaha lkn ukweli ni huwa hamuwaachi hao wanawake
wanawake wamejikuta na wao wanatafuta wa kuwaliwaza either kwa kulipa kisasi au kujipunguzia hizo pressure na ukiwa. mbaya ni pale atakapompata either anayembembeleza au mwenye maujuzi au mahela kuliko wewe. hamna rangi utaacha kuona aisee.
ongea na mkeo, na muonyeshe kama huna hiyo tabia, otherwise akimaliza kunyonyesha atafanya alichokusudia
mdang'anye.!
yeye ajiheshimu tu.asipofanya hivyo you should EXPECT UNEXPECTED.
mwanamke hachit kwa kupenda bali ni MALIPIZI.
usisahau ni vizuri kuishi na ma X vizuri...... Huwaga wanasaidia kudumisha ndoa........ Nawashangaa wanaobeba mabegi kurudi kwao....... Wakati fursa ndani ya ndoa zipo kibao......
mdang'anye.!
yeye ajiheshimu tu.asipofanya hivyo you should EXPECT UNEXPECTED.
mwanamke hachit kwa kupenda bali ni MALIPIZI.
wanaume wanaona ni haki kucheat na wanaona vizuri kuumiza wake zao ila wao lol.......
Kweli nimekuudhi, Samahani sana na Pole sana Dear, Lo! We kubwa lao. Dear, ukisema unamkomoa ni wewe unajikomoa. Huyo mwizi wako ni mwizi tu hawezi hata siku moja akakulaza kwake. Faraja ya masaa ikusaidie nini? Hayo matusi ya hawara yataisha kwa weye ku cheat? Samahani dear nikuulize tu unabeba mbegu kutoka hukoo unakuja lala nazo huku ati leo nimemkomesha!!! Haingii akilini. Hujamkomesha bali wewe umejikomesha.
Hayo madume hovyo namna hiyo hayafai ukae nayo hata wiki moja. Tatizo la wamama wengi ni kule kufutwa uwezo wa kufikiri haraka mno unapo olewa. Waangalie wenzako, siku hizi mna fursa nyingi tuu za kujiendeleza kiuchumi. Kimbia ukakae mbali na yeye. Ukiibuka kiuchumi tu, atakujia kwa magoti. Nenda kajifariji huko na huko akufumanie ndiyo utausikia vizuri huo muziki. Kama wa ala au Bongo fleva
Aisee, this thread is some eye opener.
Wadogo zangu Mashaxizo na mwekundu na birthday boy Rural Swagga kujeni huku musikie wake za watu wakifunguka halafu mtu akushauri HARUSI!
Noooo, not that I am blind to cheating men nor do I condone such behaviour but kama this is the solution!!!!:A S-confused1:
well said darling!!!!
Neno.
Shida kuna watu wanaona wao wana haki ya kucheat kwakuwa wako programmed hivyo, ila wanasahau huyo anayecheat naye pia naye anacheat.
hapo kwenye bold! hivi unafikiri hawa wadada wanaoongea haya hawapo vizuri kiuchumi? tena nafikiri cheating inauma sana kama mwanamke upo vizuri kiuchumi, maana unajiuliza sbb ya kuendelea kuwa mke mwema na kumnyenyekea mtu asiyekuheshimu wkt humtegemei kwa karibu kila kitu.
tatizo ni kwamba, maamuzi ya kumuacha mtu ni magumu, na wkt mwingine unafikiria umuache halafu uende wapi wkt na wtt mshazaa? yanini kutesa wtt
Me wakati mwingne naona bora kuleteana magonjwa kuliko kuletewa,uko tu ndan umetulia na ukijtuma kama mke mwema wakat nje mwanaume anafanya yake..