Comment ya mke wangu imenifumbua macho.

Comment ya mke wangu imenifumbua macho.

bila kupata kidumu wanawake wenzangu utakufa siku si zako.
solution ni kidumu tena ikiwezekana mkapime kabisa na kidumu awe mtu mzima kidogo ili ukiamua kuacha msianza kugandana.

kuwa na kidumu sio suluhisho waweza ukawa nae na bado akakupa stress kuna njia nyingi za kuepuka stress za kucheatiwa.

Jipe uhuru wa nafsi, sitiri uchi!!!!!!!
 
ujumbe huu ni kwa wanawake wenye wivu, ub..o ni kama mwiko wa kupika chakula, mwenzio akipikia unaoshwa na wewe unautumia kama kawaida. kwa hiyo hakuna ub....malaya ila wanaume wote ni baba lishe tu. kwa hiyo wewe usiogope na wala usione wivu "oohh mme wangu malaya"! Hapana, we muulize kwa upole tu, "Baba lishe, huo mwiko umeusuuza? maana na mimi nataka kuutumia". haya ndio maisha ya wanaume wote wa kiafrika, chezea mwiko unaoshwa kwa kulambwa kama icreem za bakhresa!!!
 
ujumbe huu ni kwa wanawake wenye wivu, ub..o ni kama mwiko wa kupika chakula, mwenzio akipikia unaoshwa na wewe unautumia kama kawaida. kwa hiyo hakuna ub....malaya ila wanaume wote ni baba lishe tu. kwa hiyo wewe usiogope na wala usione wivu "oohh mme wangu malaya"! Hapana, we muulize kwa upole tu, "Baba lishe, huo mwiko umeusuuza? maana na mimi nataka kuutumia". haya ndio maisha ya wanaume wote wa kiafrika, chezea mwiko unaoshwa kwa kulambwa kama icreem za bakhresa!!!

Lord have mercy!!!!
 
Nataka nimuoe niliyemzidi ujanja,nim cheat vizuri!!
Hiyo ngoma draw unaweza bambikiwa mtoto kidume-cheating ya mwanamke ni hatari sana ukiilinganisha na ya mwanaume ambayo haina madhara zaidi ya kuosha tu "rungu"
unaosha rungu......... kwani mkeo hajui kuosha rungu?
 
ujumbe huu ni kwa wanawake wenye wivu, ub..o ni kama mwiko wa kupika chakula, mwenzio akipikia unaoshwa na wewe unautumia kama kawaida. kwa hiyo hakuna ub....malaya ila wanaume wote ni baba lishe tu. kwa hiyo wewe usiogope na wala usione wivu "oohh mme wangu malaya"! Hapana, we muulize kwa upole tu, "Baba lishe, huo mwiko umeusuuza? maana na mimi nataka kuutumia". haya ndio maisha ya wanaume wote wa kiafrika, chezea mwiko unaoshwa kwa kulambwa kama icreem za bakhresa!!!

aliwazalo mjinga ndilo litakalo mtokea!!!!!
 
bila kupata kidumu wanawake wenzangu utakufa siku si zako.
solution ni kidumu tena ikiwezekana mkapime kabisa na kidumu awe mtu mzima kidogo ili ukiamua kuacha msianza kugandana.

Umenikosha sana kubwa la maadui......... kidumu kiwe mume wa mtu lol utaenjoije???? Kina stress kwa mkewe huko, mahabati kinajua na ATM inasomeka......... mbona wivu wa kijinga wa kumpekua mumeo mara simu mara umekula wapi, utausikia JF tuu!!
Ila cheating lakini responsibly!!!!
 
unajua kitu kinaitwa stress free ndo kizazi hiki usije jidanganya unamkomoa mkeo kwa kumcheat utalea watoto wa wenzio mpaka ukome....
 
ujumbe huu ni kwa wanawake wenye wivu, ub..o ni kama mwiko wa kupika chakula, mwenzio akipikia unaoshwa na wewe unautumia kama kawaida. kwa hiyo hakuna ub....malaya ila wanaume wote ni baba lishe tu. kwa hiyo wewe usiogope na wala usione wivu "oohh mme wangu malaya"! Hapana, we muulize kwa upole tu, "Baba lishe, huo mwiko umeusuuza? maana na mimi nataka kuutumia". haya ndio maisha ya wanaume wote wa kiafrika, chezea mwiko unaoshwa kwa kulambwa kama icreem za bakhresa!!!

yalaaa!!!!! mmesikia wanaume msuuze vizuri huo mwiko huko mnapokuwa mnapika...
 
Nataka nimuoe niliyemzidi ujanja,nim cheat vizuri!!
Hiyo ngoma draw unaweza bambikiwa mtoto kidume-cheating ya mwanamke ni hatari sana ukiilinganisha na ya mwanaume ambayo haina madhara zaidi ya kuosha tu "rungu"

ndo mnavyojidanganya??
 
............Nilichojifunza ni kwamba wanaume tunapoiba wakati mwingine tunafikiri wake zetu hawajagundua, kumbe wana kausha tu kwani ngoma inakuwa draw. Tafakari na uchukue hatua.

Sijui kawanini penye nyekundu pameniumiza sana aisee!!!!
 
ujumbe huu ni kwa wanawake wenye wivu, ub..o ni kama mwiko wa kupika chakula, mwenzio akipikia unaoshwa na wewe unautumia kama kawaida. kwa hiyo hakuna ub....malaya ila wanaume wote ni baba lishe tu. kwa hiyo wewe usiogope na wala usione wivu "oohh mme wangu malaya"! Hapana, we muulize kwa upole tu, "Baba lishe, huo mwiko umeusuuza? maana na mimi nataka kuutumia". haya ndio maisha ya wanaume wote wa kiafrika, chezea mwiko unaoshwa kwa kulambwa kama icreem za bakhresa!!!

^^
Chungu hakioshwi kinapotoka kwa jirani,houseboy,boss,tajiri,au kwa kuwa ( )
^^
 
unajua kitu kinaitwa stress free ndo kizazi hiki usije jidanganya unamkomoa mkeo kwa kumcheat utalea watoto wa wenzio mpaka ukome....

Dawa ya moto ni moto....... stress mwisho Chalinze..... mjini stress free zone, wakimwaga ugali tunamwaga mboga lol........
 
Umenikosha sana kubwa la maadui......... kidumu kiwe mume wa mtu lol utaenjoije???? Kina stress kwa mkewe huko, mahabati kinajua na ATM inasomeka......... mbona wivu wa kijinga wa kumpekua mumeo mara simu mara umekula wapi, utausikia JF tuu!! Ila cheating lakini responsibly!!!!
Kwa pande zote..you simply have to do it only once...they say that after the first betrayal, there is no other. Mwendo mdundo CHEAT RESPONSIBLY
 
...kwa mtindo huu, kuna kaka mmoja aliulizwa na rafiki yake, 'hawa wote ni watoto wako?' hapo alikuwa na mkewe pamoja na hao watoto..yule bwana akajibu 'ndio ni wakwangu kama nilivyoambiwa na mke wangu'....so kakak jiangalie km ndo staili yenu hiyo unaweza kuja kukuta walea wana wa wenzio, huku nawe unafather watoto wengine tofauti na mkeo. Muwe makini tafadhali.
 
Back
Top Bottom