Comment ya mke wangu imenifumbua macho.

Comment ya mke wangu imenifumbua macho.

Wanapenda kuweka watu roho juu, afu wao wakiwekwa roho juu hawana hata vifua kama sisimizi
Mie kwa roho juu nimegradueti

mi nafurahi sana mwanaume akiwekwa roho juu. mmezidi unyanyasaji wa kisaikolojia.sasa kama msg ulikuwa unaflirt tu, si na mkeo ataflirt tu jamani?
 
Cheating ina faida zake sometimes, especially kwetu wadada
kiukweli unayempenda lazima umfatilie na kwa bahati mbaya ukigundua anakucheat itakuuma na kwa kua unampenda huwezi muacha ila ukiangaza pembeni utakuta wale macare taker anakusahaulisha yote na kuurudisha upendo ambao mwenzio ameupoteza, hivyo cheating inafufua roho ya upendo
 
Now that depends on how good you are.
Perfect your skills and you will always be safe.

yes.
ndio maana tumeubwa wanawake,your supozed to know how to balance usisahau familia kama wanaume.
be smart hadi asikugundue atakushangaa tu mbona wife kanawili,mbona furaha sama,kumbee.
wanawake nao wana mioyo.
real am telling you this is the only solution to be happy unlike otherwise your lyng 2 yourself.
KAMATA FULSA TWENZETU
 
yes.
ndio maana tumeubwa wanawake,your supozed to know how to balance usisahau familia kama wanaume.
be smart hadi asikugundue atakushangaa tu mbona wife kanawili,mbona furaha sama,kumbee.
wanawake nao wana mioyo.
real am telling you this is the only solution to be happy unlike otherwise your lyng 2 yourself.
KAMATA FULSA TWENZETU

kubwalamaadui; Mushis and Munis are reading you guys loud and clear!
 
Nataka nimuoe niliyemzidi ujanja,nim cheat vizuri!!
Hiyo ngoma draw unaweza bambikiwa mtoto kidume-cheating ya mwanamke ni hatari sana ukiilinganisha na ya mwanaume ambayo haina madhara zaidi ya kuosha tu "rungu"

awap cheating is cheating si ya mwanamke au mwanaume usijidanganye!!!!!
 
Mapenzi ya siku hizi bana... vijana mna kazi sana!! enzi zetu mambo yalikua tofauti sana!

CC; Babu Asprin
 
Last edited by a moderator:
cheating is now a fashion,lets see the impact of this game/fashion:shocked:
 
mhhh mkeo kiboko!!!ningekua mimi ningesubiri uondoke ndo niseme...au mkeo hakuogopi au kukuheshim???
 
yes.
ndio maana tumeubwa wanawake,your supozed to know how to balance usisahau familia kama wanaume.
be smart hadi asikugundue atakushangaa tu mbona wife kanawili,mbona furaha sama,kumbee.
wanawake nao wana mioyo.
real am telling you this is the only solution to be happy unlike otherwise your lyng 2 yourself.
KAMATA FULSA TWENZETU

hahahahahaaaaaaaa kamata fursa shost. Nimeipenda lolest
 
Cheating ina faida zake sometimes, especially kwetu wadada
kiukweli unayempenda lazima umfatilie na kwa bahati mbaya ukigundua anakucheat itakuuma na kwa kua unampenda huwezi muacha ila ukiangaza pembeni utakuta wale macare taker anakusahaulisha yote na kuurudisha upendo ambao mwenzio ameupoteza, hivyo cheating inafufua roho ya upendo

usisahau ni vizuri kuishi na ma X vizuri...... Huwaga wanasaidia kudumisha ndoa........ Nawashangaa wanaobeba mabegi kurudi kwao....... Wakati fursa ndani ya ndoa zipo kibao......
 
nasisitiza uvumilivu ni mhimu,alianza kucheat na kuchelewa home.muulize kwanza kwa upole angalau mpaka mwaka unapita abadiliki CHAKUFIA!
NA PIA KIDUMU HAUTAKIW KUKURUPUKA KUMTAFUTA NI TARATBU ILI AWE MFARJ KWELI SIO AKULETEE STRESS TENA.
UKIJIPATIA KIDUMU USISAHAU FAMILIA YAKO ZDSHA MAPENZ KWA MUMEO ILI AJISHTUKIE MBONA UNA RAHA SIKU HIZI KUMBE UMEBALANCE EQUTN.
shost ma X na boss ofisini huwaga wafariji wazuri sanaaaaaaa
 
usisahau ni vizuri kuishi na ma X vizuri...... Huwaga wanasaidia kudumisha ndoa........ Nawashangaa wanaobeba mabegi kurudi kwao....... Wakati fursa ndani ya ndoa zipo kibao......

nimecheka sana.
maex wanahusika.
kumbe usidharau kinaweza kukhsaidia sana baadaye maana wakat mwingine kumpata mpya ni shughuli sana.
aondoki mtu hapa kama kuondoka nenda wewe hata mavikao unafaidisha tu ukoo na kutia wazee presha.
tafuta fulsa iliyotulia MBONA UTAIPENDA NYUMBA YAKO,FULL AMANI,ALAFU AKIWA MME WA MTU MNAHESHIMIANA SANA.
 
mi nafurahi sana mwanaume akiwekwa roho juu. mmezidi unyanyasaji wa kisaikolojia.sasa kama msg ulikuwa unaflirt tu, si na mkeo ataflirt tu jamani?

Yaani...eti mimi nilikuwa na-flirt tu! Khaa....acha wapokee kuweka roho juu juu masaa yote....
 
Naona soko la 'amala' ya jeshi inaongezewa soko....Hivi kuna mashirika binafsi yanayouza silaha?
 
usisahau ni vizuri kuishi na ma X vizuri...... Huwaga wanasaidia kudumisha ndoa........ Nawashangaa wanaobeba mabegi kurudi kwao....... Wakati fursa ndani ya ndoa zipo kibao......

umeona eenh, tena ex anakuaga mtamu akishakua x utafikiri c yule aliyesababisha muachane mwanzo
 
nenda ukachiti ukakutane na wazee wa 0713 alafu uone kama ndoa itadum
 
Back
Top Bottom