Leo tulipanga tukutane na familia rafiki. Hii familia ni rafiki yangu ambaye tumesoma pamoja kutokea o-level hadi chuo. Tuko karibu sana na wake zetu wako karibu sana na watoto wetu pia.
Bahati mbaya hadi tunatawabyika usiku huu, rafiki yangu alikuwa hajafika kwani alisema amepata dharura ofisini kwake. Mke wake hakutaka kuamini kuwa kuna dharura na alihisi mme wake ana kidate.
Namjua rafiki yangu kwa totoz haaminiki hivyo sikutaka kucomment juu ya hilo nikataka nipotezee. Mke wangu akashtuka akasema unapotezea nini pengine unajua yuko huko kwa mademu zake, mnafichiana siri nyie.
Sasa ndo ukaibuka mjadala kuhusu kucheat.
Sheneji yangu ajasena yaani ili ukae na mwanaume bila pressure na wewe uwe na mambo yako. Lakini ukijidai mwaminifu kwenye ndoa nakuambia utaishia kuwa na pressure na ndoa itakushinda.
Mke wangu akadakia, nakuambia hata mimi nimeshajifunza hivyo. Zamani nikiona wamama walio okewa wanatoka nje za ndoa zao nilikuwa nawashangaa na nawaona wa ajabu wasio na heshima lakini sasa nimejifunza.
Subiri tu nimalize kulea. Tutapisha guest nakwambia. Ya nini kujipa pressure ya bure. Mwisho wa kunukuu.
Ni majuzi tu mke wangu alikuta meseji ya mapenzi kwenye simu yangu. Ingawa ki ujweli huyo dada sitoki naye ni tumekywa tuki flit na yeye. Nikajaribu kumuekewesha mke wangu hakuekewa. Nikamuomba msamaha. Lakini inaelekea aba donge moyoni.
Nilichojifunza ni kwamba wanaume tunapoiba wakati mwingine tunafikiri wake zetu hawajagundua, kumbe wana kausha tu kwani ngoma inakuwa draw. Tafakari na uchukue hatua.
Bahati mbaya hadi tunatawabyika usiku huu, rafiki yangu alikuwa hajafika kwani alisema amepata dharura ofisini kwake. Mke wake hakutaka kuamini kuwa kuna dharura na alihisi mme wake ana kidate.
Namjua rafiki yangu kwa totoz haaminiki hivyo sikutaka kucomment juu ya hilo nikataka nipotezee. Mke wangu akashtuka akasema unapotezea nini pengine unajua yuko huko kwa mademu zake, mnafichiana siri nyie.
Sasa ndo ukaibuka mjadala kuhusu kucheat.
Sheneji yangu ajasena yaani ili ukae na mwanaume bila pressure na wewe uwe na mambo yako. Lakini ukijidai mwaminifu kwenye ndoa nakuambia utaishia kuwa na pressure na ndoa itakushinda.
Mke wangu akadakia, nakuambia hata mimi nimeshajifunza hivyo. Zamani nikiona wamama walio okewa wanatoka nje za ndoa zao nilikuwa nawashangaa na nawaona wa ajabu wasio na heshima lakini sasa nimejifunza.
Subiri tu nimalize kulea. Tutapisha guest nakwambia. Ya nini kujipa pressure ya bure. Mwisho wa kunukuu.
Ni majuzi tu mke wangu alikuta meseji ya mapenzi kwenye simu yangu. Ingawa ki ujweli huyo dada sitoki naye ni tumekywa tuki flit na yeye. Nikajaribu kumuekewesha mke wangu hakuekewa. Nikamuomba msamaha. Lakini inaelekea aba donge moyoni.
Nilichojifunza ni kwamba wanaume tunapoiba wakati mwingine tunafikiri wake zetu hawajagundua, kumbe wana kausha tu kwani ngoma inakuwa draw. Tafakari na uchukue hatua.