alichoongoe mkeo na shemejio ni ukwel kabisa.. mwanaume akianza kucheat huwa anabadilika, hata ratiba yake ya kurudi home inabadilika, kwa mwanamke makini atahisi tu na ndio sababu ya kuanza kumfatilia mpaka kwenye simu yake.
ukimuuliza mwanaume atafanya kama ulivyofanya kwa mkeo, oh ni rafiki wa kawaida, mara tupo ofc moja, ukibanwa sana utaishia kuomba msamaha lkn ukweli ni huwa hamuwaachi hao wanawake
wanawake wamejikuta na wao wanatafuta wa kuwaliwaza either kwa kulipa kisasi au kujipunguzia hizo pressure na ukiwa. mbaya ni pale atakapompata either anayembembeleza au mwenye maujuzi au mahela kuliko wewe. hamna rangi utaacha kuona aisee.
ongea na mkeo, na muonyeshe kama huna hiyo tabia, otherwise akimaliza kunyonyesha atafanya alichokusudia
Venine you said it correctly!!!! Wanawake hatuna tabia ya kucheat by nature......... ila tunafanya hivyo endapo tutagundua wanaume wetu wametucheat na hawakomi kuacha tabia hiyo. Haswa wakiwa na siri kwenye simu,, wakichelewa kurudi nyumbani, alafu dose haipatikani inavyotakiwa........ mbaya zaidi ATM haisomi vizuri......
Yaani Venine umemaliza, like like like!!!!