Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,517
- 30,587
Hayo maji ya vitunguu ukinywa baada ya dakika mbili unadindisha hatari sana.mkuu tunaomba ufafanuzi wa ziada kwenye hilo suala la hamu ya tendo la ndoa
Hayo maji ya vitunguu ukinywa baada ya dakika mbili unadindisha hatari sana.mkuu tunaomba ufafanuzi wa ziada kwenye hilo suala la hamu ya tendo la ndoa
Hujawahi kuumwa serious ndio sababu unaina siku 7 ni nyingi!!!Dah sasa mimi nikikaa bila dawa mafua ndani ya siku nne yanaisha.
Alafu dawa inaniambia nitumie siku saba dah.
...Nadhani hakuna haja ya kukitupa mile kilichobaki. Kitasaidia mno kwenye mikaangizo ya mama....!!Yeah, kila unapotakiwa kunywa basi inakulazimu ukate kitunguu kipya
Mf.ukikata kitunguu 1 ukachemsha basi matumizi yake yameisha ni kukitupa mchana au jioni ni hivyo hivyo.
😂😂😂kinakuwa hakina radha tena kinaiva labda tu kuongeza uwingi wa vitunguu kwenye mboga lakini sio kupata radha...Nadhani hakuna haja ya kukitupa mile kilichobaki.
Kitasaidia mno kwenye mikaangizo ya mama....!!
Mi nataka hilo angalizo tu..mengine sina..ngoja nifanye hiyo kaziTiba ya mafua na kikohozi
Kitunguu maji.
Jinsi ya kuandaa, chukua kitunguu kimoja kikubwa kata katikati chemsha kwenye maji ujazo glasi moja inatosha,unaeza kuongeza idadi ya kituu kulingana na ukubwa wa mafua na kikohozi...
Mkuu matumizii yake yakoje sas? Unachemsha au unafanya nini?Matatizo ya nguvu za kiume dawa mizizi yamigomba na vitunguu saumu wiki tuuu matokeo 99%
Nitafute mimi nipate kukupa tiba yake.wakuu naomba kujua tiba ya kichocho kinanisumbua naomben msaada haraka iwezekanavyo