Adolf Mark
Member
- Nov 4, 2011
- 50
- 26
Kama kuna viumbe wa Mwenyezi Mungu ninaoheshimu uwezo wao mkubwa wa kuandika na kuchambua mambo basi ni Mwanakiji. Licha ya hivyo binafsi sikubaliani na tabia ya Mwanakijiji ya kutuanzishia tovuti kisha kuzitelekeza, Mwanakijiji.com, KHL News , na pia CHECHE online Newsletter. Natamka wazi kwa hili Mwanakijiji hatutendei HAKI!
Wasalam, Ilani ya Masikini ni vita dhidi ya ufisadi, lakini matajiri ilani yao ni vita ya Mengi vs Manji
Wasalam, Ilani ya Masikini ni vita dhidi ya ufisadi, lakini matajiri ilani yao ni vita ya Mengi vs Manji