TaiJike
JF-Expert Member
- Dec 14, 2011
- 1,483
- 666
Mwanakwaya anamlalamikia padre:
" Padre, mke wangu hajui kunanihii . . . . . kabisaa mi namwaacha haki ya nani!"
PADRE AKIJIBU KWA CONFIDENCE:
. . . .si bora mkeo anajua idogo, mke wa mpiga kinanda ndio hajui kitu, mke wa Petro yule mzee wa kanisa na **** lake la ghorofa ndio bure kabisaa anazidiwa hata na sister Tuli.
Yaani kwa humu kwenye PAROKIA yetu mwenye nafuu ni mkeo na Salome yule mwalimu wa Sunday School"