Investaa
JF-Expert Member
- Jul 3, 2015
- 913
- 923
- Thread starter
-
- #61
Mkuu natamani sana kujua coding naomba nisaidie wewe ulianzaje napenda computer science lakini siyo ya kwenda shule. Ni learn alone
Practice man Practice. Sema nini man, binafsi nilikaa class nikafundishwa ila kwa sasa hivi ni rahis sana kujifunza coding. Unaweza ukajifunza coding kwa kuchagua unataka udili na app/web. Binafsi nilikuwa najua sana PHP lakini nilitamani sana nijifunze android development, nimejikuta nimejua bila ata kufundishwa kutoka na AI.
Jifunze kuwa assembled developer, ukitaka ujue kuchapa code itachukuwa muda sana, jifunze kutengeneza logic ya kutengeneza kitu kwa kuandika, yaan kwa lugha ya AI kwa sasa ningekushauri ujue kuandika PROMPT inatosha sana kufanya unachotaka especially kwenye coding/design.
Nikupe mfano niliona youtube, jamaa hajui chochote kuhusu coding ila anatamani kumiliki app ya kutoa taarifa ya chakula kama kina calories ngapi ili mtu awe ana balance diet yake wale wanaotaka kupunguza uzito. Alichofanya akachek playstore kama kuna app kama hiyo ili a clone kwa kutumia AI.
Kuna website inaite MOBBIN ina app nyingi sana unaweza ukatafuta idea ya app unayotaka then inakupa UX/UI . Ukishapata UX unaingiza kwenye AI inachapa code kama UI zilivyo. kwaiyo usichome sana mafuta kujifunza kuchapa code , jifunze kutengeneza logic ili Ai ikupe unachotaka kwa 10mins.
Unaweza jifunza kwa kuchek youtube video kile unachotaka kujua ni AI gani inaweza kunisaidia UX/UI, na AI gani inaweza kuchapa code za UI/UX pamoja na database. Uchawi ni PROMPT kwasasa na LOGIC. Ukijua namna ya kuiuliza AI kwa uzuri ume win nowadays...
Last word ingia YOUTUBE KWANZA ULE MCHIMBO UJUE NAMBA YA KUDILI NA AI THEN INGIA FIELD KAMA ENGINEER.