Coco Beach siku ya Pasaka (Picha)

Coco Beach siku ya Pasaka (Picha)

wengine tumechoka na uzembe wenu!
acheni kulalamika mtandaoni njooni tupambane huku.....mnakuja kuchungulia wiki 1 mnakimbia alafu sasa hivi eti mnajipanga kuja kugombea ubunge......

.....endeleeni kukandamiza keybord
 
Wenye maduka wapelekeeni vifaa vya kuogelea na nguo za bikini kwa ajili ya hao waliovaa magauni ,yaani watoto wengi naona na magauni nguo za shamba wanakuja nazo beach nafikiri hawa wanatoka mikoani na hawajawai kuona bahari na nguo gani zinatumika sehemu hiyo sia jabu ukaona wengine wapo exposed kabisa na hata habari hawana wanatoka juu mbio na kujitupa ndani ya maji ni sherehe tu na nawapa hongera kwa kujumuika huko ila kunata elimu kidogo ni namna gani washuke hapo.
 
Mimi siendi huko sasa kwa nini unategemea niiboreshe? Unataka kunibebesha mzigo si wangu?
kama huendi kule umejuaje kama beach imechoka? mtoto wako,jirani yako wanakwenda sio lazima wewe uende huko.....
 
Wenye maduka wapelekeeni vifaa vya kuogelea na nguo za bikini kwa ajili ya hao waliovaa magauni ,yaani watoto wengi naona na magauni nguo za shamba wanakuja nazo beach nafikiri hawa wanatoka mikoani na hawajawai kuona bahari na nguo gani zinatumika sehemu hiyo sia jabu ukaona wengine wapo exposed kabisa na hata habari hawana wanatoka juu mbio na kujitupa ndani ya maji ni sherehe tu na nawapa hongera kwa kujumuika huko ila kunata elimu kidogo ni namna gani washuke hapo.
Hopeless.....
 
kama huendi kule umejuaje kama beach imechoka? mtoto wako,jirani yako wanakwenda sio lazima wewe uende huko.....

Picha hiyo hapo beach imegubikwa na magofu utafikiri mahame ya Hanoi au nguzo zilizodondoka toka ma kasri yaliyopigwa mabomu Mogadishu. Hapo nchi ina amani, ikiwa vita je?

Sasa si ndiyo hapa nawaambia hao jirani zangu wanaokwenda huko wawajibike, we unataka mimi niwafanyie kazi yao? beach wafurahie wao kazi unataka nifanye mie, wewe vipi?

Ndiyo maana tunashindwa kufanya vitu kwa sababu ya hii mentality ya kutochukua responsibility. Kila mtu anataka kwenda beach na kuitumia, hakuna anayetaka kuihudumia, kilichobaki kila mtu serikali hivi serikali vile, serikali ni pamoja na wananchi.
 
Tatizo lingine huko Bara, watu wanakumbuka maeneo kama hayo wakati wa sikukuu tu! Ilhali Zenj kila siku zipo busy na sikukuu ndio kabisa! Mbaya zaidi inatia aibu kwa Jiji hilo kuwa na kabeach kamoja tu kanakovuta watu!

Tatizo lako maalim wafikiria beach ni ya Indian Ocean tu! umefika pale mji kasoro bahari? umefika Matema beach? au for a good measure umefika mwaloni Mwanza?kuna beach za kufa mtu huko!!!
 
Tatizo lako maalim wafikiria beach ni ya Indian Ocean tu! umefika pale mji kasoro bahari? umefika Matema beach? au for a good measure umefika mwaloni Mwanza?kuna beach za kufa mtu huko!!!
Matema beach nimefika na sio beach ya public, ni private na huko Mwanza beach nyingi wanazokwenda wazawa ni private, unapangiwa hata time ya kuingia na kutoka! hapa swala ni public open space! Zipo ngapi huko Bara?

Hapo chini ni mojawapo ya hizo uzaoita beach, hii ipo Mwanza. Kuingia hapo lazima uwe unajuana na mwenye hotel na cheki jinsi anachagua nani aingie na nani asiingie. Hebu nipo mfano wa public beach moja tu yenye kufanana na hii hapo Mwanza.
 

Attachments

  • Anskun kuvat 014.JPG
    Anskun kuvat 014.JPG
    109.1 KB · Views: 57
  • Image587.jpg
    Image587.jpg
    205.7 KB · Views: 56
  • Anskun kuvat 036.JPG
    Anskun kuvat 036.JPG
    70.6 KB · Views: 54
Last edited:
Matema beach nimefika na sio beach ya public, ni private na huko Mwanza beach nyingi wanazokwenda wazawa ni private, unapangiwa hata time ya kuingia na kutoka! hapa swala ni public open space! Zipo ngapi huko Bara?

Hapo chini ni mojawapo ya hizo uzaoita beach, hii ipo Mwanza. Kuingia hapo lazima uwe unajuana na mwenye hotel na cheki njisi anachagua nani aingie na nani asiingie. Hebu nipo mfano wa public beach moja tu yenye kufanana na hii hapo Mwanza.

Yakhe Kibunango!umejijibu mwenyewe suala uliloliweka hapa hadharani.Beach hapa bongo si Dar tu na nilikuwa sijamaliza zote na, zile za Pangani ,Bagamoyo Lindi na Mtwara.Tusishindane kwa vivutio vya kitalii kwa wazawa wa bongo maana tukifanya hivo hapa umegonga gari kubwa!!
Usha ogelea ziwa Tanganyika weye?
 
Yakhe Kibunango!umejijibu mwenyewe suala uliloliweka hapa hadharani.Beach hapa bongo si Dar tu na nilikuwa sijamaliza zote na, zile za Pangani ,Bagamoyo Lindi na Mtwara.Tusishindane kwa vivutio vya kitalii kwa wazawa wa bongo maana tukifanya hivo hapa umegonga gari kubwa!!
Usha ogelea ziwa Tanganyika weye?
Haya mwanafyale! Karibu Zenj 😀
 
Matema beach nimefika na sio beach ya public, ni private na huko Mwanza beach nyingi wanazokwenda wazawa ni private, unapangiwa hata time ya kuingia na kutoka! hapa swala ni public open space! Zipo ngapi huko Bara?

Hapo chini ni mojawapo ya hizo uzaoita beach, hii ipo Mwanza. Kuingia hapo lazima uwe unajuana na mwenye hotel na cheki njisi anachagua nani aingie na nani asiingie. Hebu nipo mfano wa public beach moja tu yenye kufanana na hii hapo Mwanza.

Mimi nilidhani beach zote ni public Tanzania? Kuwa huwezi kumilikishwa beach. Au sheria imebadilika?
 
na nyie watu wa majuu mnaboa.....nyie mnabweteka makalio yenu huko mnataka nani awatengenezee beach zenu?
pesa hamtumi kazi kufanya sherehe kila siku.....tumeni fedha muone kama beach haitakuwa safi sio kukandia kila kitu.....

iteni fundrising za maana sio za sherehe.....mie nashangaa sana
sijawahi kuona hapa walio majuu mnaitisha fundrising ya kusaidia kujenga shule,hospital au other social service....ila naona mnaitishana michango ya madisco....

ionyesheni serikali mfano sio kuandika makala ndeeeeeeeeeeefu JF na kwenye magazeti...tunataka vitendo...ebo

wewe mwanakajiji tumeshachoka na makala zako tunataka vitendo......

Yo Yo nadhani unahitaji kujifunza somo moja hivi muhimu sana, linaitwa SIASA au ELIMU YA URAIA. Humo kunaelezewa wajibu wa kila mtu na kila chombo ktk jamhuri yetu tukufu.

Sisi kama wananchi tulipoichagua serikali iliyopo madarakani, tuliichagua na mojawapo ya lengo kuu ni kuunganisha ili kuwe na nia moja, nguvu moja na sauti moja ktk yale ambayo mwananchi mmojammoja asingeliweza kuyafanya. Hivyo basi yale ambayo yanapaswa kuwa ktk scale ya kiserikali, serikali haiwezi kukwepa kutekeleza au kuweka mipango kwayo, la kama imeshindwa basi ikae pembeni waje watu wenye fikra na upeo wa kuchapa kazi na kuleta mabadiliko.

Sasa kwa hii abstract fupi, naomba umalizie sehemu iliyobaki.
 
Yo Yo nadhani unahitaji kujifunza somo moja hivi muhimu sana, linaitwa SIASA au ELIMU YA URAIA. Humo kunaelezewa wajibu wa kila mtu na kila chombo ktk jamhuri yetu tukufu.

Sisi kama wananchi tulipoichagua serikali iliyopo madarakani, tuliichagua na mojawapo ya lengo kuu ni kuunganisha ili kuwe na nia moja, nguvu moja na sauti moja ktk yale ambayo mwananchi mmojammoja asingeliweza kuyafanya. Hivyo basi yale ambayo yanapaswa kuwa ktk scale ya kiserikali, serikali haiwezi kukwepa kutekeleza au kuweka mipango kwayo, la kama imeshindwa basi ikae pembeni waje watu wenye fikra na upeo wa kuchapa kazi na kuleta mabadiliko.

Sasa kwa hii abstract fupi, naomba umalizie sehemu iliyobaki.
Serikali ni nani/nini?
 
acha ligi jibu swali.......

..kama unafikiria serikali ni jakaya nawenzake umekosea......

Basi bwana naona hutaki ilmu wala kuitafuta elimu ya uraia. Mi nina shida sana na watu wasotaka kujisomea.

Kwaheri.
 
Mwanakijiji alipoanza kuandika hii habari ya beach, kwa kweli alikuwa amechoka. Mwanakijiji usisahau kupumzika baba.


Yo Yo nadhani unahitaji kujifunza somo moja hivi muhimu sana, linaitwa SIASA au ELIMU YA URAIA. Humo kunaelezewa wajibu wa kila mtu na kila chombo ktk jamhuri yetu tukufu.

Sisi kama wananchi tulipoichagua serikali iliyopo madarakani, tuliichagua na mojawapo ya lengo kuu ni kuunganisha ili kuwe na nia moja, nguvu moja na sauti moja ktk yale ambayo mwananchi mmojammoja asingeliweza kuyafanya. Hivyo basi yale ambayo yanapaswa kuwa ktk scale ya kiserikali, serikali haiwezi kukwepa kutekeleza au kuweka mipango kwayo, la kama imeshindwa basi ikae pembeni waje watu wenye fikra na upeo wa kuchapa kazi na kuleta mabadiliko.

Sasa kwa hii abstract fupi, naomba umalizie sehemu iliyobaki.


Dhana ya kusubiri kuletewa mabadiliko/maendeleo imepitwa na wakati ile mbaya! Utasikia watu wakitumia maneno kama "kuwezeshwa", "wananchi wakiwezeshwa" ....hizi ni fikra za karne ya leo kweli?!

Hata beach, lawama apewe....
 
Mwanakijiji alipoanza kuandika hii habari ya beach, kwa kweli alikuwa amechoka. Mwanakijiji usisahau kupumzika baba.




Dhana ya kusubiri kuletewa mabadiliko/maendeleo imepitwa na wakati ile mbaya! Utasikia watu wakitumia maneno kama "kuwezeshwa", "wananchi wakiwezeshwa" ....hizi ni fikra za karne ya leo kweli?!

Hata beach, lawama apewe....

Umeongea jambo zuri ya kuwa tusingoje mabadiliko..ni kweli kabisa. Hata hivyo ikumbukwe, mabadiliko ya mtu mmojammoja au kikundi cha watu yana ukomo wake. Na ndio maana tumeiweka serikali madarakani pamoja na mambo mengine, ili ifanye provision services fulanifulani na ku- consolidate pamoja interests zetu kama UMMA. Kutekeleza hayo ndio maana serikali inaajili wataalamu na inakusanya kodi nk, ili kufanya kwa niaba yetu, mambo ambayo raia mmojammoja asingeliweza kuyafanya. Huu ndio msingi wa hoja yangu.

Kama ni heavy investments au project kubwakubwa, ni dhima ya serikali kujikita hapo na kuwa na mipango mizuri. Kinyume cha hapo, serikali inakuwa haihitajiki kwa sababu inakuwa haina faida kwa mwananchi.

Nadhani tupo pamoja.
 
Haya mwanafyale! Karibu Zenj 😀

Maalim Kibunango, si kwamba Zenj sijakaa kule Zenj , infact nimekaa sana Pemba over 20 years ago, na its a beutiful place .Ile north beach baada ya Ngezi forest is fantastic and breath taking.The rocky beach pale vVtongoji, ni siasa tu ndio zinanizuia kwenda huko lakini the place is fantastic!
 
Mimi nilidhani beach zote ni public Tanzania? Kuwa huwezi kumilikishwa beach. Au sheria imebadilika?
Yap sheria inasema kuwa ujenzi wa hotel katika fukwe uache mita 60, nadhani hii ni pamoja na kuhifadhi mazingira ya fukwe, na kuacha eneo hilo kuwa ni la public.

Hata hivyo hotel nyingi ambazo zimejengwa karibu na beach, ama kwa kufuata sheria hiyo au kwa kutofuata sheria hiyo ujimilikisha eneo lote la beach lililo sambamba na hotel. Zaidi wanajenga uzio na vibanda hadi karibu kabisa na fukwe. Na upande huo wa beach huweka walinzi wa kutosha ili kuzuia mtu yoyote asiyehusika na hotel hiyo kuzubaa zubaa katika beach.

Katika hali kama hii sidhani kama mwananchi mwenye lengo la kwenda kupumzika beach atasogelea eneo hilo. Zaidi ya kuliona kuwa ni eneo la hotel na iwapo unataka kupumzika hapo shurti uwe mgeni wa hotel.
 
Hili linchi lina matatizo mengi mno! Khaaaa!!!
 
Back
Top Bottom