BLACK MARXIST JF-Expert Member Nov 1, 2013 2,441 5,294 Dec 5, 2018 #21 Bado miaka saba, tuendelee kunywa tangawizi huku tumekunja nyuso.
Baba Swalehe JF-Expert Member Jun 6, 2017 19,527 37,943 Dec 5, 2018 #22 hii nayo ni thread Ila nmeeelewa
T Turudi pale Rau Madukani JF-Expert Member Jan 16, 2016 2,155 4,719 Dec 5, 2018 #23 Kuna soda nyingine inakuja kwa kasi kutokea huko huko Cocacola, ila inapigwa vita hatari na cocacola hao hao kiasi cha kumtumia hadi msemaji wa coca.
Kuna soda nyingine inakuja kwa kasi kutokea huko huko Cocacola, ila inapigwa vita hatari na cocacola hao hao kiasi cha kumtumia hadi msemaji wa coca.