HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,366
- 94,547
Kwa watumiaji wa vinywaji vya kampuni ya Coca Cola Kwanza, hivi karibuni soda zao zina walakini.
Soda hazina gesi kabisa, hii inasababisha tuhisi ni soda feki.
Coca Cola tusaidieni watumiaji wa vinywaji vyenu maana soda zenu zinakera sana.
Soda za Fanta huwa zinakuwa mbaya ni kama unakunywa damu
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Soda hazina gesi kabisa, hii inasababisha tuhisi ni soda feki.
Coca Cola tusaidieni watumiaji wa vinywaji vyenu maana soda zenu zinakera sana.
Soda za Fanta huwa zinakuwa mbaya ni kama unakunywa damu
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app